Just talker
Member
- Jan 6, 2021
- 50
- 63
UKWELI KUHUSU MAISHA YA MBELE YA BINADAMU.
Na: @justtalker
Binadamu tunaishi leo, lakini kila mwaka ulioko mbele ambao utauishi, tayari una maisha yake, yaani upo kila mwaka wa mbele ambao utauishi sijui kama naeleweka.
Namaanisha hivi, kwa mfano huu ni mwaka 2021, mbele yetu kuna miaka yote kuanzia 2022, 2023, 2024 na kuendelea. Kwahiyo kama labda utaishi hadi 2050 labda kabla ya kukata roho basi kuanzia 2022 hadi 2050 kila mwaka upo tayari, sio kila mwaka utafika au utauona ila ipo hivi inapo fika mwisho wa mwaka ulipo kwa mfano ilipo fika tarehe ya mwisho ya 2020 kuingia 2021 wewe wa 2020 uliishia 2020 wewe wa mwaka huu ni mwingine sio yule wa mwaka Jana tena ila mungu anakuwekea kumbukumbu ya miaka yote ambayo wewe wa miaka hiyo uliiishi. Kwa maana nyingine niseme kama umepangiwa kuishi miaka 50 duniani basi kuna akina wewe watu 50 ambao kila mmoja yupo mwaka wake kuanzia mwaka wa kuzaliwa hadi mwaka wa mwisho wa kufa.
Kwamaana hiyo ikifika tarehe ya mwisho ya mwaka 2021 ukiwa umelala utakapo amka usingizini mwaka 2022 kama utakuwa ulikuwa umelela basi wewe ni wa mwaka 2022 sio huyu wa mwaka huu. Na kama hauta lala utafika hadi 2022 basi ujue mpo wawili wewe wa 2021 na wewe wa 2022 ila utakapo lala basi wewe wa 2021 hautaamka tena utayeyuka atakaye amka ni wewe wa 2022.
Kuna jamaa aliwahi kusafiri kwenda maisha ya mbele ( time traveling 🧳) alipo fika alijiona yeye wa mwaka huo alio enda japo dunia haikumuamini lakini hii inaonesha kuwa mwaka alio enda ulikuwa na yeye mwingine wa mwaka huo ambaye alimkuta ashazeeka.
Ni suala ambalo lakufikirika sana, lakini ukifikiria kuhusu time traveller utanielewa zaidi. Ndiyo maana hata zile movie za kurudi nyuma au kwenda mbele zinamuonesha mtu aliye rudi nyuma au kwenda mbele pamoja na mwingine yeye wa mwaka huo alio enda kuuona.
Swali la kujiuliza kwanini kama mwaka Jana kuna kitu kilikuumiza bado kitaendelea kukuumiza Wakati wewe sio yule aliye umizwa, au kwanini kama ulikuwa una makovu au alama yoyote haitafutika. Majibu yake ni kuwa mungu tayari anayo taswila yako ambayo alikuumbia ya maisha yako yote, maisha ya binadamu ni kama script ambayo tayari ishaandikwa. Mungu ni mmoja binadamu kwasasa tupo billion 7 na zaidi ujiulize anawezaje kutuangalia kila siku kila mmoja wetu pasipo kukosea, utaniambia wapo malaika wanao tuangalia inaweza kuwa kweli labda lakini hata malaika sio wote wazuri maana hata shetani alikuwa akiishi mbinguni akaasi kwahiyo siaamini kama mungu ataziamini taarifa zote atakazo pewa na malaika.
Sasa je? Mungu anawezaje kutuangalia wote, majibu ni kuwa kila binadamu maisha yake tayari yashatengenezwa toka kuzaliwa hadi kufa kwake, kwahiyo kazi ya mungu ni kuendelea kuwaumba wengine, na kazi ya malaika ni kutulinda dhidi ya matatizo yanayo tunyemelea watu wake mungu ambayo wao tayari wanayajua kwa miaka yetu yote ya mbele hadi kufa kwetu.
Na: @justtalker
Binadamu tunaishi leo, lakini kila mwaka ulioko mbele ambao utauishi, tayari una maisha yake, yaani upo kila mwaka wa mbele ambao utauishi sijui kama naeleweka.
Namaanisha hivi, kwa mfano huu ni mwaka 2021, mbele yetu kuna miaka yote kuanzia 2022, 2023, 2024 na kuendelea. Kwahiyo kama labda utaishi hadi 2050 labda kabla ya kukata roho basi kuanzia 2022 hadi 2050 kila mwaka upo tayari, sio kila mwaka utafika au utauona ila ipo hivi inapo fika mwisho wa mwaka ulipo kwa mfano ilipo fika tarehe ya mwisho ya 2020 kuingia 2021 wewe wa 2020 uliishia 2020 wewe wa mwaka huu ni mwingine sio yule wa mwaka Jana tena ila mungu anakuwekea kumbukumbu ya miaka yote ambayo wewe wa miaka hiyo uliiishi. Kwa maana nyingine niseme kama umepangiwa kuishi miaka 50 duniani basi kuna akina wewe watu 50 ambao kila mmoja yupo mwaka wake kuanzia mwaka wa kuzaliwa hadi mwaka wa mwisho wa kufa.
Kwamaana hiyo ikifika tarehe ya mwisho ya mwaka 2021 ukiwa umelala utakapo amka usingizini mwaka 2022 kama utakuwa ulikuwa umelela basi wewe ni wa mwaka 2022 sio huyu wa mwaka huu. Na kama hauta lala utafika hadi 2022 basi ujue mpo wawili wewe wa 2021 na wewe wa 2022 ila utakapo lala basi wewe wa 2021 hautaamka tena utayeyuka atakaye amka ni wewe wa 2022.
Kuna jamaa aliwahi kusafiri kwenda maisha ya mbele ( time traveling 🧳) alipo fika alijiona yeye wa mwaka huo alio enda japo dunia haikumuamini lakini hii inaonesha kuwa mwaka alio enda ulikuwa na yeye mwingine wa mwaka huo ambaye alimkuta ashazeeka.
Ni suala ambalo lakufikirika sana, lakini ukifikiria kuhusu time traveller utanielewa zaidi. Ndiyo maana hata zile movie za kurudi nyuma au kwenda mbele zinamuonesha mtu aliye rudi nyuma au kwenda mbele pamoja na mwingine yeye wa mwaka huo alio enda kuuona.
Swali la kujiuliza kwanini kama mwaka Jana kuna kitu kilikuumiza bado kitaendelea kukuumiza Wakati wewe sio yule aliye umizwa, au kwanini kama ulikuwa una makovu au alama yoyote haitafutika. Majibu yake ni kuwa mungu tayari anayo taswila yako ambayo alikuumbia ya maisha yako yote, maisha ya binadamu ni kama script ambayo tayari ishaandikwa. Mungu ni mmoja binadamu kwasasa tupo billion 7 na zaidi ujiulize anawezaje kutuangalia kila siku kila mmoja wetu pasipo kukosea, utaniambia wapo malaika wanao tuangalia inaweza kuwa kweli labda lakini hata malaika sio wote wazuri maana hata shetani alikuwa akiishi mbinguni akaasi kwahiyo siaamini kama mungu ataziamini taarifa zote atakazo pewa na malaika.
Sasa je? Mungu anawezaje kutuangalia wote, majibu ni kuwa kila binadamu maisha yake tayari yashatengenezwa toka kuzaliwa hadi kufa kwake, kwahiyo kazi ya mungu ni kuendelea kuwaumba wengine, na kazi ya malaika ni kutulinda dhidi ya matatizo yanayo tunyemelea watu wake mungu ambayo wao tayari wanayajua kwa miaka yetu yote ya mbele hadi kufa kwetu.
) alipo fika alijiona yeye wa mwaka huo alio enda japo dunia haikumuamini lakini hii inaonesha kuwa mwaka alio enda ulikuwa na yeye mwingine wa mwaka huo ambaye alimkuta ashazeeka.