Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,752
- 21,974
wakuu habari zenu
kama tujuavyo sote ya kwamba kuna uzoefu uliozoeleka na kukaa mawazoni na katika fahamu za watu yumkini hata mimi na wewe, hii ni LAANA ambayo inaweza kutokana ati na wazazi, mizimu, au Mwenyezi Mungu, katika kufikiria hili nikapata maswali yafuatayo:-
*Je laana ni imani tu au ni uhalisia umpatao mhusika na kumuathiri bila yeye kuwa na njia ya kuepuka?
* Je, sayansi inaweza kutoa ushahidi wowote juu ya hili suala au itathibitisha tu matokeo ya laana mfano maradhi, njaa, ukame, umasikini au vita?
*Je, ni namna gani laana husafiri kutoka kwenye chanzo (mtoa laana) hadi kwa mhanga (anaye laaniwa)?
Karibuni tujuzane wakuu
kama tujuavyo sote ya kwamba kuna uzoefu uliozoeleka na kukaa mawazoni na katika fahamu za watu yumkini hata mimi na wewe, hii ni LAANA ambayo inaweza kutokana ati na wazazi, mizimu, au Mwenyezi Mungu, katika kufikiria hili nikapata maswali yafuatayo:-
*Je laana ni imani tu au ni uhalisia umpatao mhusika na kumuathiri bila yeye kuwa na njia ya kuepuka?
* Je, sayansi inaweza kutoa ushahidi wowote juu ya hili suala au itathibitisha tu matokeo ya laana mfano maradhi, njaa, ukame, umasikini au vita?
*Je, ni namna gani laana husafiri kutoka kwenye chanzo (mtoa laana) hadi kwa mhanga (anaye laaniwa)?
Karibuni tujuzane wakuu