Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,431
kumbuka kujenga kwa wakwe ni sawa na kujenga kwenye hifadhi ya barabara
BONGOLALA mademu wa kichagga na kimakonde wepi noma?Hiyo ni kweli mkuu!wala wanaume tusiendekeze ujinga huo ingawa tanzania kuna waziri kwa sasa kajenga ukweni huku kwao hakuna hata choo!chezea mchaga weye
yaani unachokisema kuna mtu ametoka kutusimulia sasa hivi kuwa alianza kujenga ukweni nyumba ikafika kwenye linta ndoa ikaingia mdudu .Mama akamwambia mume we F**la kweli unaenda kujenga ukweni!kumbuka kujenga kwa wakwe ni sawa na kujenga kwenye hifadhi ya barabara
KYALOSANGI bora ukajenge kijijini kwa babu yako kuliko kujenga ukweni.yaani unachokisema kuna mtu ametoka kutusimulia sasa hivi kuwa alianza kujenga ukweni nyumba ikafika kwenye linta ndoa ikaingia mdudu .Mama akamwambia mume we F**la kweli unaenda kujenga ukweni!
Bujibuji ndio maana unaachwa kwenye mataa kila kukicha kwa misimamo yako iliyopitwa na wakati! Mwenzio Mwita Maranya kajenga kwetu tena kajenga ghorofa! Sasa hivi ndio kaanza kujenga kibanda kwao Tarime. Lol!@kyolosangi bora ukajenge kijijini kwa babu yako kuliko kujenga ukweni.
Hata mwaJ akinikubali leo, akisema tu nikajenge kwao, bora aendelee na Mwita Maranya wake.
Ukweni nitajenga tayari nikiwa na kwangu
tafuteni kiwanja mjenge haifai kujenga upande wa mke wala upande wa mume.....
akienda kwao atafikia wapi yeye na familia yake au ndo kujibana na wazazi kwenye kibanda kimoja.
oa mmachame kama hujajenga tena wanaleta familia nzima ukiishi nayekumbuka kujenga kwa wakwe ni sawa na kujenga kwenye hifadhi ya barabara
Bujibuji ndio maana unaachwa kwenye mataa kila kukicha kwa misimamo yako iliyopitwa na wakati! Mwenzio Mwita Maranya kajenga kwetu tena kajenga ghorofa! Sasa hivi ndio kaanza kujenga kibanda kwao Tarime. Lol!
Lodge zimewekwa za kazi gani? Kama hakuna sehemu ya kufikia, tutafikia hotel... Hela yenyewe iko wapi ya kujanga nyumba porini kisa kufikia..hiyo pesa si bora uweke kitega uchumi kikuzarishie maana kuna leo na kesho huwezi jua itakuaje?
Mambo ya kujenga ukweni sijui nyumbani ni jukumu la wazazi.. Watoto ni kusaidia tu ikiwezekana lakini sio lazima
Mi thijaelewa, unamzungumzia mwanamke kujenga ukweni au mwanaume kujenga ukweni? Maana wote, mke na mume wana wakwe...kumbuka kujenga kwa wakwe ni sawa na kujenga kwenye hifadhi ya barabara
maisha ni kusaidiana.mh!hivi y ujenge ukweni bana?labda km nyie mshajenga na mna uwezo wa kujenga huk kwa wazaz unless sioni umhim
kumbuka kujenga kwa wakwe ni sawa na kujenga kwenye hifadhi ya barabara
kumbuka kujenga kwa wakwe ni sawa na kujenga kwenye hifadhi ya barabara
oa mmachame kama hujajenga tena wanaleta familia nzima ukiishi naye
akienda kwao atafikia wapi yeye na familia yake au ndo kujibana na wazazi kwenye kibanda kimoja.