Watoto wakishua wote hawaijua dunia na mazingara yake.ukiona mtu aamini uchawi basi ajarongwa,ajatembea,na wala hajawai kukaa mbali na baba na mama.nilishawa wai kukutana na KUNDI LA WATU,km 500.nikiwa natoka disco miaka hiyo.mbaya zaidi nilikua mwenyewe.rakini kwa sababu nilikua najua kua hawa ni wachawi nami nikajibarisha kua mchawi zaidi yao..!!NILIVUA NGUO zote alafu nikapita katikati yao.baada ya kuwapita kugeuka nyuma hakuna mtu.apo sasa ujasiri wote,kwisha aaah mbio kelele...mpaka home.sirudi kwenda disco tena.