Solotov
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 263
- 295
Hivi karibuni kumekuwa na muamko wa watanzania kutaka kujua kuhusu biashara ya Forex.Aidha kumekua na madarasa kadhaa yakitoa elimu hiyo kwa vijana wa kitanzania na kwa bahati nzuri na mimi sikuwa nyuma sana kutaka kufahamu kuhusu Forex, hivyo nilifanya jitiahada binafsi kung'amua mawili matatu kuhusu biashara hiyo.
Wiki mbili zilizopita nilipokea simu kutoka kwa rafiki yangu akiniambia kuna fursa ya biashara anataka kunishirikisha na kuniomba nifike kwenye presentation inayoelezea namna ya kufanya hiyo biashara.Alinielekeza sehemu ulipo ukumbi ambapo presentation inafanyika, na mimi bila hiyana nikafika kuskiliza
Kwanza tulianza kwa kuelekezwa machache kuhusu forex na namna inavyofanywa ili uweze kunufaika
Mwisho tukaelezwa kuhusu IML[international market live] na muanzilishi wake CHRISTOPHER TERRY.Na kuombwa kujiunga na IML ili tuweze kutrade kwa kufuata mafunzo yanayotolewa na IML na gharama ya kujiunga nao ni USD 195 sawa na TSH 439,256.ambapo utaweza kupata mafunzo yanayotolewa na IML na ukitaka kutrade unaweka USD 200 sawa na TSH 450,519 kisha wanakusaidia kutrade wao mpaka utakapojua vizuri kutrade peke yako.
Kingine ni kwamba kuna kufanya networking ambapo ukishirikisha watu kujiunga na IML utapata commision, mfano umeshirikisha watu watano utalipwa USD 150 na kiwango kitaongezeka kadri ya watu ulionao.
KWA ANAYEFAHAMU UKWELI KUHUSU KINACHOITWA IML NA FOREX ANIFAHAMISHE KAMA KUNA UKWELI NA WANACHOKIFANYA.ASANTENI
Wiki mbili zilizopita nilipokea simu kutoka kwa rafiki yangu akiniambia kuna fursa ya biashara anataka kunishirikisha na kuniomba nifike kwenye presentation inayoelezea namna ya kufanya hiyo biashara.Alinielekeza sehemu ulipo ukumbi ambapo presentation inafanyika, na mimi bila hiyana nikafika kuskiliza
Kwanza tulianza kwa kuelekezwa machache kuhusu forex na namna inavyofanywa ili uweze kunufaika
Mwisho tukaelezwa kuhusu IML[international market live] na muanzilishi wake CHRISTOPHER TERRY.Na kuombwa kujiunga na IML ili tuweze kutrade kwa kufuata mafunzo yanayotolewa na IML na gharama ya kujiunga nao ni USD 195 sawa na TSH 439,256.ambapo utaweza kupata mafunzo yanayotolewa na IML na ukitaka kutrade unaweka USD 200 sawa na TSH 450,519 kisha wanakusaidia kutrade wao mpaka utakapojua vizuri kutrade peke yako.
Kingine ni kwamba kuna kufanya networking ambapo ukishirikisha watu kujiunga na IML utapata commision, mfano umeshirikisha watu watano utalipwa USD 150 na kiwango kitaongezeka kadri ya watu ulionao.
KWA ANAYEFAHAMU UKWELI KUHUSU KINACHOITWA IML NA FOREX ANIFAHAMISHE KAMA KUNA UKWELI NA WANACHOKIFANYA.ASANTENI