Ukweli kuhusu eneo la Kilombero Arusha huu hapa

Mkuu hayo unayosema sooon yatatimia. Nilikuwa Arusha juzi na nikashuhudia jinsi wale vijana walivokuwa wanavunja ule uzio wa mabati na kila mmoja kuondoka na bati lake.
Kwa kweli ile ni ishara kwamba vijana watafikia mahali na kuvamia maeneo au nyumba zilizojengwa kwa uvamizi wa kifisadi wa maeneo ya wazi. Na walikuwa wanaimba ''Nchi Imeuzwa Na Sisi Tuchukue Chetu''.

Ikifiaka huko nadhani watu watakuwa wanakwapua kwa akili na angalau inapita hata miaka mitano mafanikio yanaonekana na si sasa mtu anashika kitengo January kufika December anawaacha gap kubwa kupita maelezo.

Ilisemwa na mwanafalsafa mmoja enzi hizo kwamba ili kuleta usawa kundi la HAVE NOT (ambao ni wengi) wawaondoe hawa kundi la HAVE
 
Kwa mtu anaeiangalia hii issue kisiasa ataishia kusema wametumwa na kuchukua hatua za kisheria dhidi ya waliovamia na kuishia hapo but kwa yule anaeiangalia hii issue kisayansi atajiuliza chanzo cha tatizo ni nini ili tatizo kama hili lisitokee tena huku akitafuta mbinu ya kuwapoza wavamizi.

Nilichojifunza hapo ni kwamba SENSE OF OWNERSHIP kwa wananchi wengi imaimarika kwa kutambua umuhimu wa rasilimali za taifa tofauti na miaka ya nyuma mtu akichakachua mali za serikali wananchi wanamwangalia tu lakini kwa hili watu wanaona huyu si mtu mzuri japokuwa nasikitika tu mbinu iliyotumiwa kuchukua eneo though serikali inabidi ijifunze kitu kwamba wengi wakichoka matokeo yake ni hayo kinachotakiwa ni kufanya mambo kwa tahadhali. Bob Marley katika wimbo wake wa THEM BELLY FULL aliimba verse moja "Them belly full but we are hungry, the hungry mob is angry mob"
 
Subirini ya Tanganyika Mines nayo yalipuke (Urasa & Pesambili).
 
nakubali kabisa wachangiaje wengine walivyo sema, lkn wao ndio walio kalia pabaya. si mbali, watu wamechoka sana ila wao hawasomi tu alama za nyakati! next ni vijana na wote wanoona kutotendewa sawa kuenda straight kwenye nyumba zao au kwa namna yeyote ile ili wapate haki na wakitakacho.
unajua ukizoea kuiba tena hasa ukinogewa na ukawa huna cha kuiba basi utajiibia mwenyewe ilimradi tu kwa siku husika uridhike kuwa nimetimiza azma yangu wa wizi, wafiche tu, kwa wake zao, vimada, watoto lkn ipo siku. mbona hata huyuuu, huyuuuu, huyu jamaa yetu mjomba. c watoto wake wananunua na kumiliki sana tu japo kazi hana na sijui kasomea wapi lakini wanapeta tu, walala hoi wanalia na mzigo wa kodi.
lakini siku ikifika cjui watatembealea wapi hizo cruser zao
 
nakubali kabisa wachangiaje wengine walivyo sema, lkn wao ndio walio kalia pabaya. si mbali, watu wamechoka sana ila wao hawasomi tu alama za nyakati! next ni vijana na wote wanoona kutotendewa sawa kuenda straight kwenye nyumba zao au kwa namna yeyote ile ili wapate haki na wakitakacho.
unajua ukizoea kuiba tena hasa ukinogewa na ukawa huna cha kuiba basi utajiibia mwenyewe ilimradi tu kwa siku husika uridhike kuwa nimetimiza azma yangu wa wizi, wafiche tu, kwa wake zao, vimada, watoto lkn ipo siku. mbona hata huyuuu, huyuuuu, huyu jamaa yetu mjomba. c watoto wake wananunua na kumiliki sana tu japo kazi hana na sijui kasomea wapi lakini wanapeta tu, walala hoi wanalia na mzigo wa kodi. lakini siku ikifika cjui watatembealea wapi hizo cruser zao
 
Tusubiri mengi tutayasikia maana ufisadi kila kona kisa watanzania wapole hawawezi kuchukua hatua yoyote.
 
2016 jamaa wa ermoil market soln wanajenga uzioasi ulee wa mabati, elerai ndo mjenzi, sasa nashindwa kuelewa je hilo eneo ndo limekuaga halali kwa hao jamaa???
 
Michael Urassa aliekuwa (au bado yupo) Manispaa kwenye mipango mji, right??
Kama ni huyu jamaa ni Beste wa Mramba saaaana. Amejenga Njiro chini kidogo ya Amani Bar karibu na jeshi, kwa uoga jumba kalipiga layers tatu za Fensi ya umeme, kafunga CCTV kila kona.
Pesa zake anaziweka account tofauti tofauti, kwa kuwafungulia mkewe na wake wote accounts ili kuhifadhi fedha hizo.

Huyu jamaa Ndie anaesimamia kampuni ya Mramba ya Tanganyika Mines.
Jamaa ni Fisadi Bigtym.

Kuelekea Njiro karibu na chuo cha veta kushoto kuna njia inaelekea mashariki pale ana viwanja alivyojigawia zaidi ya Ishirini, baadhi amejenga na kuachia kwenye renta na vyote vina nguzo za saruji na havijawekewa waya unaambaa hadi jirani Tume ya mionzi .
 
Back
Top Bottom