Ukweli kuhusu dunia (earth)


Hapo nilipobold hapana mkuu...ni kwamba kama gari ilikuwa inasafiri kwa 80km/h na wewe ukaruka...basi kwa muda fulani utaendelea kusafiri kwa hyo hyo speed ya 80km/h then speed itapungua na wewe utaanguka chini PWAAAAA...hapo air resistance inachukua nafasi ndo maana utapunguza speed na kujibwaga chini...ila isingekuwepo air resistance basi ungendelea kusafiri kwa speed hyo hyo mpaka wapi sijiui..
 
Ni kweli mkuu, hiyo air resistance ndio external force
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtabishana sana apo lkn dunia ni kama mimba tu 😉 (just a joke) m nna swali hapo kuna nguvu gan inayofanya atmosphere iwe katika mwendo pamoja na dunia maana hapo naona kama vle tunalazmisha jibu ili tu kukubaliana na theory ya kusema kua kila kitu katika ulimwengu kipo katika mwendo
 
Dark Energy ndo kitu pekeee ambacho kina drive motion ya every particle kwenye universe hii ...

Mpaka sasa bado formular yake haijulikani kwa sisi ila inasemekana ishafamika kwenye kamati ya wenye dunia hii...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama dunia ni bapa yaani tambarare,naomba unielezee usiku na mchana unapatikanaje hapo ?
 
Uwaweke kwenye mizani ya Elimu kwa kiwango chako au kwa reference na elimu ya nani ??

Sent using Jamii Forums mobile app

Kaka mimi sina elimu ila kuna wakubwa zangu katika elimu na nina marejeo yasiyopitwa na wakati.

Mimi mbele yao huwa nachukua tu,na kufanyia kazi. Cha msingi wataje ili tuwajue,au kuna masharti wametoa ?
 
Kaka mimi sina elimu ila kuna wakubwa zangu katika elimu na nina marejeo yasiyopitwa na wakati.

Mimi mbele yao huwa nachukua tu,na kufanyia kazi. Cha msingi wataje ili tuwajue,au kuna masharti wametoa ?
kwa mfano tukiwataja hapa sasa hivi ,itakuchukua muda gani kuleta mrejesho wa ukweli wa uwepo wao...?? make si umesema kuwa kuna wakubwa zako huwa unawapelekea ndo unakuja na mrejesho...??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
elimu ya nani ??

Hili swali rahisi sana kuwahi kuulizwa. Nakujibu hivi, "Elimu haina mwenyewe bali elimu ina watu wake".

Na chanzo cha maarifa/Elimu yote ni Mola muumba wa mbingu na ardhi na vyote vilivyomo.

Nipo ....
 
kwa mfano tukiwataja hapa sasa hivi ,itakuchukua muda gani kuleta mrejesho wa ukweli wa uwepo wao...?? make si umesema kuwa kuna wakubwa zako huwa unawapelekea ndo unakuja na mrejesho...??

Sent using Jamii Forums mobile app

Nakupa faida hii,niliposema wakubwa zangu nilimaanisha maana zaidi ya moja,maana ya kwanza nikuwauliza wale walio nizidi elimu na ninao waamini na maana ya pili ni kurejea vitabu vyao hao wanazuoni ninao wakubali. Kwa muda huu hii maana ya pili ndio naifanyia kazi,kwani wakubwa zangu katika elimu na umri kalamu zao zilisha nyanyuka na wino wao ulishakauka,yaani kilia kitu kilishandikwa na kudhibitiwa,yaani ukiwataja nakupa jibu lako muda huu huu bila kupepesa macho na hii ni kwa ile maana ya pili.

Nipo ...
 
Ndo mana nikakuliza tukiwataja wenye ulimwengu huu ,itachukua muda gani kwako kuja na mrejesho juu yao...??

Swali gumu et eee...??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeshakujibu tayari. Nasubiri uwataje.
umesema lazima ukawaulize hao wakubwa zako juu ya hao watu...ndp nakulizs itachukua muda gani kuja kuleta mrejesho hapa...?? Make umesema huwajui hao watu manake hutakiwi kuwapinga leo hii hii make mpaka uende ukajadiliane na hao ndugu zako wakubwa zako waliokuzidi maarfa...

kuwa muwazi tumalize kazi mzee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo mana nikakuliza tukiwataja wenye ulimwengu huu ,itachukua muda gani kwako kuja na mrejesho juu yao...??

Swali gumu et eee...??

Sent using Jamii Forums mobile app

Nacheka sana,natumiaKiswahili chepesi mno,soma maneno yangu ya mwisho,nimekwambia nakupa jibu muda huu huu bila kupepesa macho. Wewe wataje tu hao unaosema wenye ulimwengu wao. Tuokoe muda hili jambo dogo sana.
 

Wewe ndio unapoteza muda,au Kiswahili changu hakieleweki ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…