Unanipaje jibu wakati umesema huwafahamu...??Nacheka sana,natumiaKiswahili chepesi mno,soma maneno yangu ya mwisho,nimekwambia nakupa jibu muda huu huu bila kupepesa macho. Wewe wataje tu hao unaosema wenye ulimwengu wao. Tuokoe muda hili jambo dogo sana.
Unanipaje jibu wakati umesema huwafahamu...??
We jamaaaa bana...sijui akili yako huwa inawazi viazi mbatata muda wote
Usiku mwema...Sina uwezo wa kubishana na wewe mwenye Elimu kubwa bana...
Usiku mwema chief wa mambo
Sent using Jamii Forums mobile app
sijasoma utumbo huu labda wengine watakuja kusoma...Nacheka sana. Hata wenzako wakiona hili watakucheka.
Huwa sishangai kuona unashindwa kung'amua mambo madogo kama haya,iweje uje kupatia mambo makubwa au ya wastani.
Nikisema mizani tuna maanisha marejeo ya kipimo,leo ninaweza nikawa sijui urefu wako,ila tukikuchukua au ukienda kwenye kipimo cha kupimia urefu tukakupima bila shaka tutaujua urefu wako yaani ukweli kuhusu urefu wako. Na mimi kweli hao jamaa siwajui,ila sababu mizani ipo yaani marejeo ukinitajia nina wapima kisha nakwambia hakika yao yaani ukweli wa mambo ulivyo juu ya hao unao waita wenye ulimwengu.
Leo hii ni zaidi ya mara ya pili,unakimbia hoja zangu kwa kubabatiza uongo. Ila ninakushauri kitu kimoja mzee,katika hii mijadala ya namna hii jitahidi sana kuwa fundi katika lugha na uwe ukisoma hizo chereko zenu uwe unafikiria kwanza na kujiuliza je umeelewa au umekariri ?
Ajabu ya watu wa leo hata sanaa ya lugha na kuhoji mambo hamna tofauti hata na wale wakubwa zenu wa kale kidogo walikuwa wanajitutumua katika lugha mpaka ikafikia kipindi wakaitwa "Watu wa kucheza na maneno"
Nipo ...
sijasoma utumbo huu labda wengine watakuja kusoma...
Usiku mwema...endelea kusoma Quran
Sent using Jamii Forums mobile app
sijasoma utumbo huu labda wengine watakuja kusoma...
Usiku mwema...endelea kusoma Quran
Sent using Jamii Forums mobile app
Dunia inazunguka na anga lake lililopo juu, ukienda nje ya anga ndio unakua static huzunguki na duniaMaelezo ni mengi mifano ni mingi ila huna akili hujamweliwa jamaa, anasema dunia inapozunguka huzunguka na vilivyomo duniani, sasa vipi kuhusu helcopter au ndege inayoruka angani maana angani sio duniani je kama kweli dunia inazunguka from west to east basi ingekuwa ikiruka juu mfano ipo marekani ikiruka juu ingetulia kuisubiri China ije kwenye hilo anga?? Kisha itue chini kwanini ipae angani kutoka magharibi ielekee mashariki ilhali dunia inazunguka???
Ninavoona kama ingekuwa dunia inazunguka kwa hyo speed ndege zingeshindwa kufanya chochote na kusingekuwa na uwezekano wa safari.
Sent using Jamii Forums mobile app
MKUU..! HUO NI UPOTOSHAJI.
Kuhusu speed
Unasema; > Hekicopter zingekuwa zinatulia angani na kusubiria mji wanaotaka wafike ukufikie. Kwa hyo spidi hapo juu inatakiwa mtu aifeel maana ni spidi kubwa sana.
Hebu fikiria upo kwenye gari lenye mwendo fulani (lets say 80km/hr),na ndani kuna nzi anaranda randa tu humo, tuchukulie huyo nzi yupo mbele kwa dereva na anataka aifike siti ya nyuma, je, kwa huo mtazamo wako unafikiri ataweza kuifikia hiyo siti kwa kuruka na kuganda hewani na kusubiri siti ya nyuma imfikie mahali alipo kisha atue, bila yeye kusafikiri kutoka mbele hadi nyuma kwenye hiyo siti?
Pili, Kuna ndege inaitwa North American X-15, nafikiri ndiyo ndege inayoongoza kwa speed kubwa, inatembea kwa 7,200 km/h.
View attachment 466011
Hiyo sio speed ndogo mkuu, sasa tuchukulie upo humo ndani, unataka kuniambia utaifeel hiyo speed eti kwa sababu tu ni kubwa?
Kuhusu gravity
Unasema;Wanasayansi wanasema gravity ni kubwa sana inashikilia majengo, maji yaliyopo baharini na kadhalika ila hyo gravity imeshndwa kushikilia vitu vidogo kama wadudu, ndege mnyama na samaki waliopo baharini.
Kwanza, unatakiwa ujue kuwa force ya gravity huathiriwa na medium (fluids), hapa nina maanisha kuwa kitu kikiwa kwenye fluid(hewa au kimiminika) yeyote huwa kuna force inayokinzana na gravity, inaitwa upthrust, kiwango cha upthrust kinategemea nature ya fluid yenyewe(viscosity), pamoja na mass ya kitu chenyewe.
Halafu pia ujue kuwa gravity haijashindwa kushikilia vitu vidogo, hao wadudu na ndege wanaoruka huruka kwa msaada wa hewa (inayo-offer upthrust kwa msaada wa mabawa yao), and trust me, isingekuwa hewa wasingeweza kuruka. Na huwa wanatumia nguvu kubwa kupata momentum ya kuruka juu kukinzana na gravity, hadi watakapopata desired momentum ndio wanarelax. Lakini kwa wadudu wadogo sana garavity huwa inaeffect ndogo sana kwao(kama jinsi ilivyo kwa unyoya mwepesi unaoelea angani),hii ni kwa sababu hewa inakuwa inaoffer upthrust kubwa inakaribiana mno na gravity. Ndio maana wadudu kama mbu,utaona kama hawathiriwi na gravity, ila sio kweli. Effect huwa ipo ila nayo inakuwa cancelled na upthrust ya hewa.
Sasa mkuu kama Dunia ni flat disc ina maana kutakuwa na pande mbili tu! Nazo ni mashariki na magharibi. Kaskazini inaweza ikawepo, inaweza kuitwa ndiyo center. Kwa mantiki hiyo ncha ya kusini haitakuwepo....DUNIA NI KAMA SARAFU, NI DUARA KWENYE KINGO ZAKE ILA NI TAMBARARE KWENYE SURFACE YAKE...NA NDIO MAANA KUNA PANDE KUU NNE ZA DUNIA, NEWS(NORTH, EAST, WEST, SOUTH) WAZUNGU KWA KUTUMIA DIRA YA DUNIA TAARIFA YA HABARI IKAITWA NEWS KIFUPI CHA NORTH, EAST, WEST, SOUTH, CHUKUA SARAFU IGAWE MARA 4,SASA KAMA DUNIA NI DUARA JE NORTH INAANZIA WAPI KWENDA WAPI?
Hongera sana Mkuu. Hakuna zaidi ya QURAN.Najivunia sana hiki kitabu "Qur'an" kwani kimenifanya mimi kuwa hivi nilivyo.
Kwa iyo mkuu wanaoamini kitabu tofaut na Quran maisha Yao baada ya kufa yatakuaje .
Kwa iyo mkuu wanaoamini kitabu tofaut na Quran maisha Yao baada ya kufa yatakuaje .
Zingatia hili: dunian kuna watu zaidi za billion 7 wanaoiamini Quran ni billion 1 na point kadha
Kwa iyo kwa mtu ambae hana dini anatakiwa afate Imani ganiKila mmoja na imani yake Mkuu. Kwangu mimi hiyo ndio the best. Ciao!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulishasema kwamba hana dini, so!!!!Kwa iyo kwa mtu ambae hana dini anatakiwa afate Imani gani
Hii comment ilitakiwa ifunge huu mjadala.Kama dunia ipo km meza naomba nipeleke ukingoni nkapatazame pamefananaje.napenda sana utalii
Mi mwenyewe nashangaa eti dunia inazunguka !
Mbona mi kila siku niko pale pale sizunguki nikafika hata china ?