Ukweli kuhusu Dr. Dau na NSSF

Hivi unakumbuka hali ya shirika hilo wakati Dr anaingia kwenye shirika hilo?????????????????????
 
Hivi unakumbuka hali ya shirika hilo wakati Dr anaingia kwenye shirika hilo?????????????????????
Nakumbuka ametoka na utajiri wa kutisha na ameliacha shirika likigubikwa na tuhuma za udini na ubaguzi wa kutisha.
 
Nakumbuka ametoka na utajiri wa kutisha na ameliacha shirika likigubikwa na tuhuma za udini na ubaguzi wa kutisha.
wapumnbavu kama nyie siku zote mmekazania udini. kila siku udini popote palipo kiongozi muislam hamuachi kuingiza chockochoko zenu za udini. tumeona mkiwaita akina Mh. Kikwete, Dr. Dau, Prof. Asad, Mh. Zitto, Prof. Lipumba, Mzee Kinana mpaka hata watu ambao siamini hata kama huko msikitini walifika lini mara ya mwisho akina Prof. Kapuya.
Hii imekuwa ni tabia yenu.
SIJAWAHI, NARUDIA SIJAWAHI kuona muislam yeyote humu akileta uzi unaoelezea na kukashifu kuhusu dini ya kiongozi yeyote wa kikirsto humu japokuwa pengine wadini wapo, na hata ukiangalia teuzi nyingi za Magufuli ni watu wa dini yake. Lakini kamwe hakuna muislam aliye busy kuleta nyuzi za aina hiyo kama mlivyokuwa mkifanya kwa Kikwete pamoja na kuwa kwenye serikali yake mlikuwa mmejaa mkiiba tu. lakini nyie wa..senge kila kukicha nyuzi za kuwatukana waislam kisa dini yao haziishi humu, na wala ukiulizwa uutaje huo udini wao hauna Zaidi ya kusema nilimuona au nachukizwa na kavaa kanzu, ana ndevu, kaingia msikitini au aliswali pale kazini. waambie na hao mbwa wenzako kuwa nchi hii yetu sote. haihitaji kubaguana.
 
Jihad
 
hayo yameshasemwa sana hakuna jipya hapo, na dr dau keshaondolewa nssf, ataletwa mwingine kutoka kanisani mambo yote yataenda vizuri. save your breath mkuu.


Mkuu kwanini atoke kanisani na hiyo sio taasis ya dini?
 
Mkuuu nashundwa kukuelewa teuxi za Magufuli zimejaa watu Wa dini yake kivip?sijaona japo binafsi simkubali magufuli ni vema ungetoa mfano
 
ENOUGH IS ENOUGH. ..ALL OF YOU. ..MWACHENI AFANYE KAZI SASA JAMANI. ..DAH!
 
Mkuu kushindanisha idadi sio suluhisho inawezekana kuna waislam400wakrsitu700ila wakristu hawana vigezo au kinyume chake?silaha ni uchunguzi huru tena auditing firm ya kimataifa ili kuondoa conflict of interest
 
Mkuuu nashundwa kukuelewa teuxi za Magufuli zimejaa watu Wa dini yake kivip?sijaona japo binafsi simkubali magufuli ni vema ungetoa mfano
naona kila anapoteua wange wao ni wakirsto tu. hata jana kateua wajumbe wa bodi za vyuo wa5 na wote kama sio wa4 ni wa upande mmoja. angalia baraza lake la mawaziri na manaibu wake, makatibu wakuu na manaibu wake, wakuu wa mikoa. kidogo nimeona amejitahidi kabalance kwa wakurugenzi na madc.

tafadhali nisahihishe kama niko wrong kwenye hili, labda huenda ni perception tu ukizingatia jinsi mlivyobize kutushambulia.
 
Binafsi kwa jinsi nilivomuelewa mtoa Uzi ni kwamba,ili Ku justify maelezo yake iundwe auditing team utafutwe ukweli.naona watu wanakimbilia Mara waislam wangapi au wakristu wangapi?idadi sio kigezo cha Ku onesha haki
.inawezekana either waislamu au wakrstu wengi waliingia bila vigezo au walipanda vyeo kwa upendeleo?auditing ifanyike tena ikibidi na foreign firm ili ninong'ono iishe ukweli uwekwe wazi
 
Mkuu kushindanisha idadi sio suluhisho inawezekana kuna waislam400wakrsitu700ila wakristu hawana vigezo au kinyume chake?silaha ni uchunguzi huru tena auditing firm ya kimataifa ili kuondoa conflict of interest
kwa nini hilo mnaliongelea tu kwa viongozi waislam? kama ni kukosa vigezo kwa nini msiongelee hata mashirika mengine, hata hayo manne yaliyobaki ya mifuko ya hifadhi za jamii kama NSSF?
hebu kuweni wastaarabu bana. nchi yetu sote hii na tuongoze sote kwa masilahi mapana ya vizazi vyetu sote. mbona mmeongoza kwa miaka Zaidi ya 50 mnachofanya ni kuiba tu Zaidi ya kulisaidia taifa? hamridhiki tu?
 

Mkuu binafsi siamini katika mgawanyo wa100/100mana kuna dini zingine na wapagani pia cha msingi ni uwezo Wa aliowateua je ni best candidates?hata kama90%wangekuwa waislam au wakristu?kwa hilo la best sina la kusema kwa sababu ccm huwa wanaleana na kulindana mkuu kuhusu mawazir nadhan hata wabunge nearly 70%ni wakristu if I am not mistaken
 
kwa nini iwe kwa NSSF? una uhakika gani kuwa waislam hawaoni hata hiyo mifuko mengine uongozi wao hauna tofauti na uuongozi wa kigango na parokia?
wazo lako ni zuri ila lisiwa bias kama kweli ziko sahihi. Auditing ifanyikwe kote.
 


Mkuu unakosea kusema et viongozi Wa kiislam mbona waliotumbuliwa wengi ni wakristu?tens nadhani 70%labda?umeona wakristu wanamtetea director ametumbuliwa kisa dini ?hapa haki itenndeke dini isiwe ngao ya kumlinda muovu mkuu
 
kwa nini iwe kwa NSSF? una uhakika gani kuwa waislam hawaoni hata hiyo mifuko mengine uongozi wao hauna tofauti na uuongozi wa kigango na parokia?
wazo lako ni zuri ila lisiwa bias kama kweli ziko sahihi. Auditing ifanyikwe kote.


Mkuuu lisemwalo lipo kama halipo laja hili swala LA nssf la kitambo sana lipaswa limalizwe once and for all huko kigangoni unakema kama kuna uovu na upendeleo kweli kuwa wakristu wanabebwa am sure habar zinapatikana mana wapoo wafanyakazi waislam wanaeza pata nyeti za huko waziletee nchi haiwezi kuendelea kwa kuwapa nafasi wasio na uwezo regardless of his/her religion
 
Zanzibar ni nchi ya waislam kama sio ya kiislam, 99% plus ya wakazi ni dini hiyo ndo maana huwezi watenganisha na uislam hata kama hupendi. hata juzi magufuli akiwa Pemba alikaribishwa na Qur an tukufu. usifikiri ni kwa bahati mbaya bali ndo wanachoamini.

kusema eti kisa ni uwezo ndo kigezo cha kuteua huo ni unaha. unataka kuniambia Tanzania yote hakuna waislam wenye uwezo? this is real kidding! hatuhitaji taifa la aina hiyo ambalo lina viongozi wa kupendelea. ukiwa kama kiongozi wa juu ni vizuri kubalance viongozi kutoka matabaka mbali mbali. binafsi sikubalini hata na magufuli kwa jinsi alivyowafungia vioo wachaga a.k.a watani na wakwe zangu! unataka kuniaminisha kuwa hakuna kabisa wachaga wenye sifa?!
hebu tuwe serious na mambo yanayohusu umoja wetu.
 
usisahau kuwa waislam hatuna makuu. wakati mwengine tunaona lakini tunaamua kupuuzia tu. ni tofauti sana na nyie. mfano mzuri ni Kikwete hata baada ya kumtukana sana na kumuita kila aina ya majina amechukulia kawaida tu. usifikiri ilikuwa haimkeri. na bado hata waliokuwa wakimtukana na kutokumchagua kwenye chaguzi zake mbili yaani wachaga bado aliwateua kwenye serikali yake kama akila ludovick utoo. uisifikiri alikuwa hajui kama wanampinga. ila alijua hii dunia ni mapito tu. ngoja nitekeleze wajibu wangu niende zangu.

hili la kusema lisemwalo, usifikiri waislam wako kimya kwenye mifuko mingine hawana cha kusema. elewa hilo.
 
halafu ndio yuko malaysia badala ya lupango.
 
Mkuu kwanini atoke kanisani na hiyo sio taasis ya dini?
hayo yameshasemwa sana hakuna jipya hapo, na dr dau keshaondolewa nssf, ameletwa mwingine kutoka kanisani mambo yote yanaenda vizuri. save your breath mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…