Ukweli kuhusu Dr. Dau na NSSF

Kwahiyo kukisoma kwenye Blog yako siyo kosa la jinai, au unavyoendelea kusambaza upupu huu siyo jinai
Mwandwanga,
Dunia ya leo ndiyo ilivyo mtandao umebadilisha mengi.
Imekuwa tabu sana kupiga marufuku chochote kilichoandikwa.

Tofauti na enzi ile kuwa kilichoandikwa kipo gazetini na kwenye
kitabu.

Njozi anasomwa siku zote miaka yote tena bure.
Elimu bila khiyana elimu bila mipaka.

Nimependa neno, ''upupu.''
Umelitumbukiza pake khasa panapostahili.

Upupu unawasha.

Ukimsoma Njozi lazima utabadili fikra katika mengi kuhusu suala
la udini.
 
Kwa majibu haya, mnasababisha kuhalalisha kile alichokileta mwanzisha
Mada . Pia Nimeshangazwa sana na utetezi wa Mohamed Said.
 
Manufaa unayapima vpi wewe nyumbu? Kwa kuwa unatumia simu kupost ujinga ndo unaona manufaa? Kuna watu hizi din zinatupa hofu ya Mungu kama wewe unavyoona manufaa kwenye simu na nguo ulizovaa
Teh teh teh. Dah.
Kiongozi naona unamnyonyoa huyu kifaranga Stayfar bila maji ya moto.
Naona Anapima kina cha maji na mguu.
Kibaya alichoona yeye ni Dini tu. Ukute hapo alipo amepaka mikorogo mpk kwenye ulimi kuutafuta huo huo weupe.

Hatari sana.
 
wewe ni muwongo haupo NSSF kama ni ajira za udini mbona mtoto wa jamaa yangu muislam na alikuwa na masters ya account hakupata ajira? na dr alipiga marufuku miziki ya kidini maofisini kwa kuwaambia hii ni ofisi ya umma na mkamzushia eti kaweka msikiti ofisini na huo sio msikiti mpaka uitwe msikiti ni waumini wawe arobaini.
NSSF imesaidia kujenga UDOM kama ilianguka kiuchumi wangeweza kujenga na daraja la kigamboni?
 
Teh teh teh. Dah.
Kiongozi naona unamnyonyoa huyu kifaranga Stayfar bila maji ya moto.
Naona Anapima kina cha maji na mguu.
Kibaya alichoona yeye ni Dini tu. Ukute hapo alipo amepaka mikorogo mpk kwenye ulimi kuutafuta huo huo weupe.

Hatari sana.

Yaani ni ajabu sana, yeye kaona manufaa ni kuletewa nguo na vitu vingine anavipokea ila wenzake wakipokea dini anawaona hawna akili
 

Wewe ulichoandika ni upuuzi maana huijui Nssf na dau,dau alikuwa mtume enzi zake akiwa Nssf,dau na chiku matesa wameajiriwa ndugu zao zaidi ya 400 Nssf na wengine darasa LA Saba,ukitaka ushahidi upo
 
Wewe ulichoandika ni upuuzi maana huijui Nssf na dau,dau alikuwa mtume enzi zake akiwa Nssf,dau na chiku matesa wameajiriwa ndugu zao zaidi ya 400 Nssf na wengine darasa LA Saba,ukitaka ushahidi upo
punguzeni chuki kwa wenzenu wanaoswali kuelekea makkah,chuki haijeng nchi,matokeo yake yatakudhuru wewe na vizazi vyako
 
Katika watu ambao wanaongoza kwa matatizo ya akili jf ww ni wa kwanza udini umekujaa kupita maelezo ndo maana kila mwaka kwenye matokeo lazima mikoa ya mwisho ni ya kusini na pemba kumbe akili hamna kwel
 
Hahahahaha hiyo ni lazima iwepo hata ukatae maana naelewa mkipewa kona nyie hamkopeshi tena waziwazi na hili swala la udini halina tofauti na ukabila so serve your words anaweza kua sawa.Pia akiwekwa mgalatia akifanya hivyo msishangae now the game is over maana mnavopenda kulialia mpewe nafasi kla kona wakati mkipewa ni shida.
 
Wewe ulichoandika ni upuuzi maana huijui Nssf na dau,dau alikuwa mtume enzi zake akiwa Nssf,dau na chiku matesa wameajiriwa ndugu zao zaidi ya 400 Nssf na wengine darasa LA Saba,ukitaka ushahidi upo
Lete ushahidi
 
ni utafiti uliojaa mahaba na chuki, sasa ni vema kuendelea na utafiti, tuletee sababu za TRA kuwa na wachaga wengi kuliko kabila jingine, kwanini waislam ni wachache au sio wajuzi wa hesabu, mradi wa bakwata uliofadhiliwa na NSSF. TAKWIMU ZA DINI NYINGINE KAMA SSRA, LAPF,PSPF , PPF NK. deni la CCM INAYODAIWA NA NSSF ni shilingi ngapi. kwanini kipindi cha mkulo F. SUMAYE Alikopeswa fedha za kununua nyumba akiwa waziri mkuu wakati nssf sio bank, na jee mkuu wa nssf alikuwa dini gani. dr Kitilya alokuwa TRA NI dini gani, je ukusanyaji wa kodi ulikuwaje kitaasisi. je unazo takwimu za TANAPA, NECTA.....
 
kwa mwanastrategia hata kama waislam wengekuwa asilimia 100% nssf, hakuna madhara katika taifa kwani nssf sio taasisi ya kimkakati kama TRA, JESHI, MAWAZIRI, WAKUU WA WILAYA|MIKOA WAKURUGENZI NA MAKATIBU WAKUU. hawa ndiyo wanaendesha nchi, sasa tupe takwimu zao kwa mujibu wa dini zao.
 
Hivi kwanini ukristo unakuwa replaced na uislam Europe?
 
vitu vyote vibaya alovikataza mwenyezi mungu wazungu na waafrica wenye fikra za kizungu huvipenda. mfano ndoa ya jinsia moja, mwanamke kuwa juu ya mwanaume ktk mambo mbali mbali, chuki, ubaguzi wa ngozi nk. na vyote anavyoovipenda mungu binadam huvipiga vita, mfano unaweza kusema umekutana na malaika katika kundi la watu lakini ukaonekana mzushi wala hakuna atakaekusikiliza lakini ukisema umekutana na shetani dunia nzima itakutafuta ukaoneshe alipo shetani wamuone. kwa kifupi wema huwa maadui na maadui tunawasifia na kuwaona wema.
 

Wandugu huyu dau ni laana ni wa kunyongwa tu,tuna ushahidi mwingine juu yake
 
GAZETI KUBWA NA UMEJITAHIDI SANA KUANDIKA LAKN ULICHOANDIKA KINA UKAKASI MAANA HAKUNA USHAHIDI ZAIDI YA MAELEZI AMBAYO HATA MLEVI AU MVUTA BANGE ANAWEZA KUANDIKA AU KUELEZA..! THIBITISHA MADAI YAKO KWA TAKWIMU NA USHAHIDI WA KUONEKANA MFANO: VYETI VYA WALIONYIMWA AJIRA NA VYETI VYA WALIOPEWA AJIRA ILI TULINGANISHE NAVTUJIRIDHISHE KAMA HUNA HIVYO VITU FUNGA DOMO MAANA "NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK" ITAKUWA NI MANENO YA KWENYE VIJIWE VYA KAHAWA TUU...!!
 
Mh! Govt ipi?
Kabla ya kutazama kibanzi cha Dau wahangaike kutoa boliti la Magu kwanza! Maana kanda ya titi ni wengi haielezeki ktk awamu hii!

 
Kwa majibu haya, mnasababisha kuhalalisha kile alichokileta mwanzisha
Mada . Pia Nimeshangazwa sana na utetezi wa Mohamed Said.
Tujitegemee,
Mimi nilichosema ni kuwa ikiwa tatizo ni udini NSSF basi na tuliangalie
tatizo hili kwa marefu na mapana yake na ndipo nilipoweka hizo rejea.

Watafiti wa tatizo hili la udini wanasema wadini si Waislam.
Msome P van Bergen, Sivalon na Njozi.

Kidole kinaelekeza kwengine.
Tujadili hili.

Mimi binafsi nimetafiti na kuandika kwa kirefu kuhusu udini na nimenza
toka 1950s wakati wazee wetu wanaanza harakati za kudai uhuru wa
Tanganyika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…