Ukweli kuhusu Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine

Ukweli kuhusu Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine

kwa mfano nkibadilisha facult na mkopo nmepata 82% je mkopo utapungua or utaongezeka, endapo nkabadil kutoka bachlor of informatics kwenda eductn with informatics & mathematics!
 
kwan medical 4m ukdownload unafany checking ukiwa hom or uko uko chuo?

check up unafanyiwa homE hakikishA doctor anagonga mhuri na sahihi katika iyo form ili iweze kutambulikA hapa chuoni
 
Dahh ze dudu nimeanza kukusikia kitambo tangu nipo kidato cha tano hadi leo hii naingia sua mwaka wa kwanza mkuu shida nini na utamaliza lini.......kingine nitafutie kademu kazurikazuri mkuu

kijaNa kwanza Hongera kwa kuchaguliwa suA .. mimi nipo kijaNa we njoo utanikuta.. mademu wapo wengi saNa.. ni wewe tu mkuu.. ila kumbuka kutumia kinga coz hichi chuo chetu na vyuo vyote hapa nchini kuna sungura topE wale watoto wa mama salma ukiwashikA vibaya wanakuachia doa...kwa ushauri wangu we njoo upige shule hawa wadada wapogo haina haja ya kuhatarisha maisha yako bure kisa ' mbunYe ' karibu sua home of excellence kijana
 
we jamaa unawaza ngono tuu...sua haina masihara sana..karibu mazimbu dogo!!

kiongozi mimi napenda mbunye kichizi na ili nisome kwa amani kila siku lazima nipate hiyo mambo yani am addicted to it ndo mana naulizia mapema ili nikifika tu tarehe 13 nikamatie totoz nackia kuna jamaa(lecturer) huwa nae anapenda sana totoz za first year kwenye kozi yetu sasa yule nitaenda nae sawa..
 
Hv ss first year to k


vp kuhusu accommodation mana tusije kulala nje nimesikia upew mpaka usajili upite
 
Hv ss first year to k


vp kuhusu accommodation mana tusije kulala nje nimesikia upew mpaka usajili upite

ili upate room inabidi uwe umefanya registration.. kwa ushauri wangu inakubidi uwahiii ili ukamilishe mambo yako mapema
 
kiongozi mimi napenda mbunye kichizi na ili nisome kwa amani kila siku lazima nipate hiyo mambo yani am addicted to it ndo mana naulizia mapema ili nikifika tu tarehe 13 nikamatie totoz nackia kuna jamaa(lecturer) huwa nae anapenda sana totoz za first year kwenye kozi yetu sasa yule nitaenda nae sawa..

haHaH... pouwa kijaNa all da best .. ila ukumbuke ku graduate with A's na si AIDS
 
Daahh umenichekesha sana mzazi!! shida humu watu wanataka waonekane wanasoma rocket science...yaani mambo magumuuuu kumbe vitu kawaida tu!!!

Poapoa mkuu lordville

Nimekusoma
 
Jamani vp kuhuxu fucuty ya Horticulture na Agronomy ipi nzur na unapata ajira haraka en zina deal na nin hz cozi zote mbl???
 
wakuu ii koz ya AEA ikoje koje apo?????

ni kozi nzuriii saNa iyo ukifanikiwa ku graduate... but inabidii uwe mzuri sana kwenye mathematics pamoja na uchumi all da best kijanA
 
Jamani vp kuhuxu fucuty ya Horticulture na Agronomy ipi nzur na unapata ajira haraka en zina deal na nin hz cozi zote mbl???

horticulture ina deal saNaa na mambo ya mbogamboga na matunda na agronomy ina deal na sayansi ya udongo.. na naskia iko tight kimtindo so inabidi uje umejipanga.. afu kozi zote mbili itakuwa pouwa sana kama ukijiajiriiii ... afu kumbuka kuwa kozi zinazoendana na kilimo kwa sasa ni deal.. all the best
 
haHaH... pouwa kijaNa all da best .. ila ukumbuke ku graduate with A's na si AIDS

mkuu ze dudu hadi sasa nishakamatia totoz mbili nadhan wiki ijayo ntaanza kushughulika nazo then miaka ya juu wakirudi nitadeal nao pia vizuri.....watt wanaonyesha watamu sana kiongozi kweli hii ndo chuo kikuu
 
Back
Top Bottom