Ukweli kuhusu bikira na ushauri wangu kwa vigoli kama mpo..!

Sidhan kama kuna mtu unamhusu huu ushauri hapa jf,kuna bikra kweli?
watu wengi hawajui bikira yaani kale kautando kwa akina dada kana maana gani na imefikia pahala watu wanao ulizia kwa sasa kuonekana washamba. .Ukweli ni huu siku za nyuma ilikuwa ikitiliwa mkazo kwa kuwa kulikuwa hakuna cha kufunga ndoa.So ile kitu hasa inapotoa damu baada kufanya mapenzi kwa mara ya kwanza huesabiwa kuwa ni agano yaani mkataba wa kuishi pamoja.Na hii ndio maana wanawake huwa wanakuwa wepesi kuwavulia chupi wapenzi wao wa kwanza.Si kwakuwa hawajiheshimu ila ni kwasababu ya agano ambalo walili weka.Ushauri wangu kwa vigoli kama mpo usikubali mtu mbae humuamini akakuvua chupi wakati hana mpango na wewe utajikuta unakuwa mtumwa wa mapenzi bure hasa utakapo olewa na mtu ambae haku kubikiri..kwani ile njemba iliyo kubikiri itakapo kuwa ikihitaji utaipatia bila shaka.Na kama ndo mnaishi kitaa kimoja basi ndo itakuwa balaa.Nina ushahidi na haya niliyo yaandika so take care..
 
Nasikia bikra nyingine zinatolewa na baiskeli na michezo ya rede.Ukimbahatisha wa hivyo inakuwa afadhali aisee.
 
mimi darasa la saba pia unanifaa.
Ahsante muheshimiwa mtoa mada.
usiwe na hasira si uliamua kuipoteza mwenyewe mapema hicho kitu kina THAMANI KUBWA kwa mwanamke hasa akiolewa nayo najua wengi huwa mnajilaum lakin ndyo hivyo tena endeleeni na maagano yenu.nalog off
 
mimi darasa la saba pia unanifaa.
Ahsante muheshimiwa mtoa mada.
Mhhh, :flame:ngoja nijinyamazie tu hapa..

usiwe na hasira si uliamua kuipoteza mwenyewe mapema hicho kitu kina THAMANI KUBWA kwa mwanamke hasa akiolewa nayo najua wengi huwa mnajilaum lakin ndyo hivyo tena endeleeni na maagano yenu.nalog off

Asante, labda wewe atakuelewa..
 
watu wengi hawajui bikira yaani kale kautando kwa akina dada kana maana gani na imefikia pahala watu wanao ulizia kwa sasa kuonekana washamba. .Ukweli ni huu siku za nyuma ilikuwa ikitiliwa mkazo kwa kuwa kulikuwa hakuna cha kufunga ndoa.So ile kitu hasa inapotoa damu baada kufanya mapenzi kwa mara ya kwanza huesabiwa kuwa ni agano yaani mkataba wa kuishi pamoja.Na hii ndio maana wanawake huwa wanakuwa wepesi kuwavulia chupi wapenzi wao wa kwanza.Si kwakuwa hawajiheshimu ila ni kwasababu ya agano ambalo walili weka.Ushauri wangu kwa vigoli kama mpo usikubali mtu mbae humuamini akakuvua chupi wakati hana mpango na wewe utajikuta unakuwa mtumwa wa mapenzi bure hasa utakapo olewa na mtu ambae haku kubikiri..kwani ile njemba iliyo kubikiri itakapo kuwa ikihitaji utaipatia bila shaka.Na kama ndo mnaishi kitaa kimoja basi ndo itakuwa balaa.Nina ushahidi na haya niliyo yaandika so take care..
Kwa hiyo mara baada ya kubikiriwa, msichana ndiyo hukoma kuwa na maamzi juu ya mwili wake? Yaani from that point on ndiyo hugeuka Zombi kila amuanpo mbikiri wake?
Acha uvivu wa kutumia akili, na msipende ku project mambo yaliyowatokea as if ndiyo maisha yenyewe kumbe masikii ni bahati mbaya zenu zinawaandama, kiasi hata uwezo kuwaona wazuri hamunao mnaishia kuota masua vichwa tu
 
Back
Top Bottom