menny terry
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 509
- 667
watu wengi hawajui bikira yaani kale kautando kwa akina dada kana maana gani na imefikia pahala watu wanao ulizia kwa sasa kuonekana washamba. .Ukweli ni huu siku za nyuma ilikuwa ikitiliwa mkazo kwa kuwa kulikuwa hakuna cha kufunga ndoa.So ile kitu hasa inapotoa damu baada kufanya mapenzi kwa mara ya kwanza huesabiwa kuwa ni agano yaani mkataba wa kuishi pamoja.Na hii ndio maana wanawake huwa wanakuwa wepesi kuwavulia chupi wapenzi wao wa kwanza.Si kwakuwa hawajiheshimu ila ni kwasababu ya agano ambalo walili weka.Ushauri wangu kwa vigoli kama mpo usikubali mtu mbae humuamini akakuvua chupi wakati hana mpango na wewe utajikuta unakuwa mtumwa wa mapenzi bure hasa utakapo olewa na mtu ambae haku kubikiri..kwani ile njemba iliyo kubikiri itakapo kuwa ikihitaji utaipatia bila shaka.Na kama ndo mnaishi kitaa kimoja basi ndo itakuwa balaa.Nina ushahidi na haya niliyo yaandika so take care..