Wanaweza wawe sahihi na pia wasiwe sahihi.On paper Dar inaonekana kuwa mji ulio busy sana kibiashara kuliko miji mingine hapa nchini,In reality miji kama ya Arusha,Shinyanga,Mwanza,nk ndiyo iliyopaswa kuwa wachangiaji wakubwa wa kodi na shughuli nyingine nyingi za maendeleo ya kiuchumi ya Tanzania isipokuwa mfumo wa centralized government umeigeuza hii Miji yenye rasilimali nyingi kuwa sehemu ya mavuno ya hizi rasilimali na kisha kupelekwa Dar wanakoamini kwamba ndiyo kila kitu.Angalia nchi kama USA ambayo inafuata mfumo wa decentralized government Jimbo lenye rasilimali nyingi kama California ndilo linaloongoza kwa kuchangia sana katika shughuli za maendele za nchi hiyo badala ya jimbo la New York ambao ndilo jiji maarufu la kibiashara kule USA.