Imekuwa ikinipa tabu kuamini kauli za viongozi mbalimbali wakisema asilimia 80% ya mapato ya serikali inatoka Dar es salaam. Kauli hii inatia shaka kwa kuzingatia kuwa Dar ni sehemu ndogo tu katika nchi hivyo si sahihi kuwa inatoa asilimia zote hizo pekee, ukizingatia raslimali nyingi zipo sehemu nyingine ya nchi.
Naomba wenye uelewa wa hili watupe ufafanuzi, ni vigezo gani vinavyotumiwa kuthibitisha 80% ya mapato ya serikali yanatoka Dar.
Ufafanuzi huu ni muhimu kwani inaleta unyonge kwa mikoa mingine kuonekana si chochote katika uchumi wa taifa ili.
Naomba wenye uelewa wa hili watupe ufafanuzi, ni vigezo gani vinavyotumiwa kuthibitisha 80% ya mapato ya serikali yanatoka Dar.
Ufafanuzi huu ni muhimu kwani inaleta unyonge kwa mikoa mingine kuonekana si chochote katika uchumi wa taifa ili.