UKWELI KUHUSU AJIRA

UKWELI KUHUSU AJIRA

tuziii

Member
Joined
Sep 12, 2016
Posts
15
Reaction score
19
Juzi nilitembelea ofisi ya afisa elimu wa mkoa na kuhuliza lini ajira uwalimu ztatoka,alinijibu kuwa tutegemee mwezi wa kumi na moja au wa kumi na mbili mwanzoni ili watu waripoti mwakani mwezi wakwanza na akaniambia masomo yatakao pewa kipaumbele ni ya sayansi na mathematics na arts ni kiswahili na English ndo yenye upungufu
 
Bora huyo kakuambia ukweli,huyu jamaa alivyo mchumi hawezi kuajiri kipindi cha likizo halafu hela zake ziende bure hebu tegemeeni january
 
Uhakiki wanaanza necta then nacte lastly tcu. Halafu yataanza mashirikisho kama baraza la wafamasia, chama cha madaktari, wahasibu, maboharia na walimu ili wahakiki je ni kweli wale ni wanachama wao unaweza kuo aajira itakuwa may be july mwakani
 
Uhakiki wanaanza necta then nacte lastly tcu. Halafu yataanza mashirikisho kama baraza la wafamasia, chama cha madaktari, wahasibu, maboharia na walimu ili wahakiki je ni kweli wale ni wanachama wao unaweza kuo aajira itakuwa may be july mwakani
WW UMEONGEA CHA MAANA
 
Kweli huyu rais kaingia kutesa watu.tutalimia meno mwaka huu.hajali muda wetu kabisa
 
Ina maana wakuu ninyi katika kusoma soma kwenu hamkuwahi kukutana na neno "PLAN B"?
Kwani lazima uajiriwe na serikali? Tafuta kitu cha kifanya wakati ukivuta subira juu ya ajira mpya za serikali.Tatizo wengi wetu huwa viburi kwa tuliowaacha mtaani na sasa hatuna kazi na tunahitaji pesa ,kuwaomba tunashindwa na hapo ndipo malalamiko huanzia.
Dharau haipendezi jamani
 
Juzi nilitembelea ofisi ya afisa elimu wa mkoa na kuhuliza lini ajira uwalimu ztatoka,alinijibu kuwa tutegemee mwezi wa kumi na moja au wa kumi na mbili mwanzoni ili watu waripoti mwakani mwezi wakwanza na akaniambia masomo yatakao pewa kipaumbele ni ya sayansi na mathematics na arts ni kiswahili na English ndo yenye upungufu
Niliisha waeleza aliyezuia ajira mwenyewe alipiga pushups jukwaani ili kupata uongozi .......vipi nyie mpewe hiv hiv bila jasho.....mwaka huu hadi mumzidi pushups .....haya kazi kwenu....
 
Kwakweli hata mnaosubira kuajiriwa Kama KATIKA PITA PITA ZAKO ULIIBA CHETI SAHAU AJIRA WAZA KUFUNGWA AU KIMBIA HARAKA MAANA KUNA WATU WASHAANZA KUBAINIKA
 
Juzi nilitembelea ofisi ya afisa elimu wa mkoa na kuhuliza lini ajira uwalimu ztatoka,alinijibu kuwa tutegemee mwezi wa kumi na moja au wa kumi na mbili mwanzoni ili watu waripoti mwakani mwezi wakwanza na akaniambia masomo yatakao pewa kipaumbele ni ya sayansi na mathematics na arts ni kiswahili na English ndo yenye upungufu
na mm hivi tuionana na katibu mkuu utumishi Dk Laurian Ndumbalo, alijibu mpka mwishoni mwa mwez wa kumi na moja
 
Kiswahili na English????? Wewe mtoa mada unajifariji sana ww, je mtu akiwa history kiswahili, ama kiswahili Geo, ama History na english? Huyo afisa kakudanganya, huo utakuwa n upungufu ktk halimashauri yake.
 
Juzi nilitembelea ofisi ya afisa elimu wa mkoa na kuhuliza lini ajira uwalimu ztatoka,alinijibu kuwa tutegemee mwezi wa kumi na moja au wa kumi na mbili mwanzoni ili watu waripoti mwakani mwezi wakwanza na akaniambia masomo yatakao pewa kipaumbele ni ya sayansi na mathematics na arts ni kiswahili na English ndo yenye upungufu
Mkuu Haukudodosa kuusu GPA ambazo zitastahiki kuajiliwa na Serikali maana Prof Ndalichako alisema iliwatoe Product Bora wanaitaji Walimu Bora !!!!
 
Juzi nilitembelea ofisi ya afisa elimu wa mkoa na kuhuliza lini ajira uwalimu ztatoka,alinijibu kuwa tutegemee mwezi wa kumi na moja au wa kumi na mbili mwanzoni ili watu waripoti mwakani mwezi wakwanza na akaniambia masomo yatakao pewa kipaumbele ni ya sayansi na mathematics na arts ni kiswahili na English ndo yenye upungufu
Vp kuhusu uhamisho wa tamisemi mkuu hakugusia chochote?
 
Back
Top Bottom