Ukweli Juu Ya Wanaomchukia Rais Magufuli

Ukweli Juu Ya Wanaomchukia Rais Magufuli

Boniphace Kichonge

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2017
Posts
1,605
Reaction score
1,957
Wadau
Utafiti uliofanywa tokea Mhesh Rais Magufuli aingie madarakani umeonyesha kuwa % kubwa ya wanaopingana na juhudi zake wanavijitabia vifuatavyo:-
1. Wengi mafisadi
2. Waliozoea kutumia madaraka yao vibaya
3. Wapiga deal
4. Wasiotaka kulipa kodi
5. Wasaliti
6. Wazembe
7. Waliokosa uzalendo
8. Wahaini
9. Wezi na wabadhilifu.
10. Matapeli
11. Washirikina
12. Wasiopenda kufuata sheria
JPM Kanyaga Twende Mamilioni ya Watanzania Tunakuunga mkono.
Karibuni
 
Wadau
Utafiti uliofanywa tokea Mhesh Rais Magufuli aingie madarakani umeonyesha kuwa asilimia kubwa ya wanaopingana na juhudi zake wanavitabia vifuatavyo:-
1. Wengi wao ni mafisadi
2. Waliozoea kutumia madaraka yao vibaya
3. Wapiga deal
4. Wasiotaka kulipa kodi
5. Wasaliti
6. Wazembe
7. Wasiojielewa
8.Wahaini
9. Wezi na wabadhilifu.
Karibuni
Huo utafiti ulifanyikaje.

Elezea namna ulivyofanya hadi ukapata hilo hitimisho.

La sivyo ndio ninyi wenye PhD fake mnatoa majibu mepesi kwa maswali magumu
 
Wadau
Utafiti uliofanywa tokea Mhesh Rais Magufuli aingie madarakani umeonyesha kuwa % kubwa ya wanaopingana na juhudi zake wanavijitabia vifuatavyo:-
1. Wengi mafisadi
2. Waliozoea kutumia madaraka yao vibaya
3. Wapiga deal
4. Wasiotaka kulipa kodi
5. Wasaliti
6. Wazembe
7. Waliokosa uzalendo
8. Wahaini
9. Wezi na wabadhilifu.
10. Matapeli
11. Washirikina
12. Wasiopenda kufuata sheria
JPM Kanyaga Twende Mamilioni ya Watanzania Tunakuunga mkono.
Karibuni
Umesikia Magufuli kalipiameliya Wachina kuja kutibu watu Tanzania?
 
Wadau
Utafiti uliofanywa tokea Mhesh Rais Magufuli aingie madarakani umeonyesha kuwa % kubwa ya wanaopingana na juhudi zake wanavijitabia vifuatavyo:-
1. Wengi mafisadi
2. Waliozoea kutumia madaraka yao vibaya
3. Wapiga deal
4. Wasiotaka kulipa kodi
5. Wasaliti
6. Wazembe
7. Waliokosa uzalendo
8. Wahaini
9. Wezi na wabadhilifu.
10. Matapeli
11. Washirikina
12. Wasiopenda kufuata sheria
JPM Kanyaga Twende Mamilioni ya Watanzania Tunakuunga mkono.
Karibuni
13. WENYE WIVU na JPM na wenye WIVU na maendeleo ya Tz.
 
Nikweli kabisa ndugu yangu mambo anayofanya rais yako wazi kabisa hakuna wa kuambiwa tazama wak as to uko uwanjani unaweza kuliza mpira unavokwenda? Si upunguwani huo acha tulioko uwanjani tunaona kila kitu hata walioko nje ya uwanja kwamaana ya nchi za nje wanafatilia hadi wanakuja kutoa pongezi kwa jpm kama biligeti mnakumbuka alitoa dola ngapi? Muogopeni mungu juu ya dhulma mnayoifanya.
 
Ndo maana ID yako ni real ili akuone...!! haya kashakuona unataka zawadi gani ?
 
Wadau
Utafiti uliofanywa tokea Mhesh Rais Magufuli aingie madarakani umeonyesha kuwa % kubwa ya wanaopingana na juhudi zake wanavijitabia vifuatavyo:-
1. Wengi mafisadi
2. Waliozoea kutumia madaraka yao vibaya
3. Wapiga deal
4. Wasiotaka kulipa kodi
5. Wasaliti
6. Wazembe
7. Waliokosa uzalendo
8. Wahaini
9. Wezi na wabadhilifu.
10. Matapeli
11. Washirikina
12. Wasiopenda kufuata sheria
JPM Kanyaga Twende Mamilioni ya Watanzania Tunakuunga mkono.
Karibuni
Watumishi wa umma wanaonyanyaswa kwa kunyimwa stahiki zao kwa kisingizio cha uhakiki,wapenda democrasia,wasio na ajira ila wanadaiwa na bodi ya mikopo walipe,watu waliobomolewa nyumba zao,wote pamoja hawatampenda.
 
Acha uongo wewe! Mbona yeye mwenyewe ni fisadi, mkwapuzi, mwizi, lini kaanza kufuata sharia za nchi? umesikia anavyochota pesa hazina bila bunge kuziidhinisha? Umesikia anavyopindisha sharia za nchi mfano swala na kufoji vyeti la Bashite, kesi ya Mnyeti kutoa rushwa, kutowagusa mafisasi akina Chenge, Tibaijuka, Lugumi, Ngeleja na wengine wengi, ukawapuzi wa bilioni 16 alioufanya wa pesa za wahanga kule Kagera. Acha uzushi tumia akili yako ipasavyo badala ya kuruhusu wahuni na mafisadi waitumie akili yako vile watakavyo wao.

Wadau
Utafiti uliofanywa tokea Mhesh Rais Magufuli aingie madarakani umeonyesha kuwa % kubwa ya wanaopingana na juhudi zake wanavijitabia vifuatavyo:-
1. Wengi mafisadi
2. Waliozoea kutumia madaraka yao vibaya
3. Wapiga deal
4. Wasiotaka kulipa kodi
5. Wasaliti
6. Wazembe
7. Waliokosa uzalendo
8. Wahaini
9. Wezi na wabadhilifu.
10. Matapeli
11. Washirikina
12. Wasiopenda kufuata sheria
JPM Kanyaga Twende Mamilioni ya Watanzania Tunakuunga mkono.
Karibuni
 
13. WENYE WIVU na JPM na wenye WIVU na maendeleo ya Tz.
Kwa bahati mbaya tunashindwa kutofautisha kati ya kilio cha mwanasiasa na kilio cha mwananchi

Sidhani kama yupo mwananchi anayemchukia Magu kwa sababu hizo zilizowekwa, la hasha.

Kwa mwananchi kam mm, naangalia tu jinsi hali ya uchumi wangu inavyoyumbishwa na mipango ya hovyo ya serikali, naangalia jinsi huduma ya afya inavyozid kupaa, naangalia mfumuko wa bei, naangalia jinsi ongezeko la thaman linavyonila kweny miamala n.k

Lakin mwanasiasa yey anaangalia jinsi mazingira ya kaz yake yalivuokuwa magumu.
Waziri leo hana instrument, mbunge kapokonywa mamlaka, diwani ndo hata hajui NEC kuna nn
 
Wafanyakazi wasiopandishwa mshahara, malimbikizo na nyongeza ya mshahara
Wafanyabiashara wanaonyanyashwa na TRA kulipishwa kodi bila kuzingatia vigezo husika
Kuminywa kwa demokrakia na hali ngumu ya maisha nadhani hivyo ndivyo vitu vinavyomfanya asiwe na mvuto
 
Kwa hiyo wanaompenda ni wale waliofanya lile tukio pale dom na kisha wakafungua kamera na kwenda kuzifunga kwa pumba?
Nashangaa mnaongelea camera utadhani ilikuwa yake, mimi nifunge camera halafu wengine wanataka iwe yao. Ungekuwa mwanasiasa ungesha gundua kuwa hiyo haikufanywa na serikali bali na chadema wenyewe. Fungua macho kijana tumia akili zako changanya na za utafiti utapata jibu kuliko kupaza sauti kwa ulicho kisikia tu kama kasuku. Eti alifanyiwa cpr aka survive wapi? Bongo hata first world cpr mitaani ni asilimia 10 tu wana survive. Amka ujue mengi.
 
Watumishi wa umma wanaonyanyaswa kwa kunyimwa stahiki zao kwa kisingizio cha uhakiki,wapenda democrasia,wasio na ajira ila wanadaiwa na bodi ya mikopo walipe,watu waliobomolewa nyumba zao,wote pamoja hawatampenda.
Na wale waathirika wa kagera
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom