Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,605
- 1,957
Wadau
Utafiti uliofanywa tokea Mhesh Rais Magufuli aingie madarakani umeonyesha kuwa % kubwa ya wanaopingana na juhudi zake wanavijitabia vifuatavyo:-
1. Wengi mafisadi
2. Waliozoea kutumia madaraka yao vibaya
3. Wapiga deal
4. Wasiotaka kulipa kodi
5. Wasaliti
6. Wazembe
7. Waliokosa uzalendo
8. Wahaini
9. Wezi na wabadhilifu.
10. Matapeli
11. Washirikina
12. Wasiopenda kufuata sheria
JPM Kanyaga Twende Mamilioni ya Watanzania Tunakuunga mkono.
Karibuni
Utafiti uliofanywa tokea Mhesh Rais Magufuli aingie madarakani umeonyesha kuwa % kubwa ya wanaopingana na juhudi zake wanavijitabia vifuatavyo:-
1. Wengi mafisadi
2. Waliozoea kutumia madaraka yao vibaya
3. Wapiga deal
4. Wasiotaka kulipa kodi
5. Wasaliti
6. Wazembe
7. Waliokosa uzalendo
8. Wahaini
9. Wezi na wabadhilifu.
10. Matapeli
11. Washirikina
12. Wasiopenda kufuata sheria
JPM Kanyaga Twende Mamilioni ya Watanzania Tunakuunga mkono.
Karibuni