Nowonmai
JF-Expert Member
- Jan 15, 2019
- 1,154
- 1,262
BBB.
Hahahaaaa.. Watakufa waliotengeneza sisi tupo tupo
Sawa Mkuu Ila Nakuomba uchukue hatua Hali ni mbaya.......!Conspiracy....haina tofauti na story fulani za kichawi za njiapanda.
Huko Italy wanaokufa ni wazee for real.
Everyday is Saturday......................😎
Ni Hatar mkuu....!which are taken from online activity, electronic shopping behaviour and reports from informers in civil society — we selected some of the worst offenders. These included human rights lawyers and activists, Christians, homosexuals, artists, intellectuals, people who speak foreign languages, and other undesirables.
Jr[emoji769]
Chukua TAHADHARI ndo mana serikali yetu imefunga mpaka shule zote.
Sawa dunia ni free sema unachotaka [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]"myth".
Then ni takataka kama takataka nyingine tu.
Kweli kaka Hali ni mbaya sanaNimesoma huu uzi mwanzo mwisho
Hakika kuna mambo ya siri sana ambayo ni muhimu.
Dunia tunaelekea mwisho ..
Watz wavivu kusoma sasa nadhan wengi tu hawajasoma hii thread wanaishia kusoma ccm na cdm vitu vya msingi wanaviacha...
Wachina watu wa ajabu ndio wametuletea corona...hamna cha kuficha na hili lazima wabebe mzigo ,tayar marekan inalijua hili nadhan wanachosubiri kwanza dawa ipatikane chanjo harafu mengine waanze kuishtak china.
Nadhan mwendelezo wa hili jambo unaweza athiri china dunian na hatimae hata vikwazo vikali itawekewa na umoja wa mataifa..sir zote ziko wazi.ila kinachofanyika mda huu watu hawawez focus kwenye kesi wakat wako kwenye janga..
[emoji23][emoji23][emoji23] huu usome Kwa faida yako duniani kuna mambo sio rahisi kama tunavyo dhaniTangu nijiunge Jf sijawahi kukutana na uzi mrefu kama huu.
Kiingereza kilichotumika ni rahisi tu ila ili uupate ujumbe wote inabidi misa uighairishe.
Atakayeumaliza kuusoma anifupishie