Ukweli ambao hautajwi ulioua AZIMIO LA ARUSHA

shungurui

JF-Expert Member
Sep 1, 2008
3,765
5,153
Kuna mambo mengi yamekuwa yakitajwa kuwa ndio yamepelekea kuvunjika kwa AZIMIO LA ARUSHA.Lakini haya hapa ndio ukweli wenyewe.

1.HAKUKUWA NA UKWELI KATIKA BAADHI YA MISINGI YAKE
Mfano “Binadamu wote ni sawa” kama ni kweli yalitoka wapi maneno “ zidumu fikra za Mwenyekiti wa CCM” na kwanini basi Raisi wa nchi yetu hawezi kushitakiwa hata kama kafanya makosa yaliyo wazi kabisa.
Kumbuka Raisi ni Mwenyekiti wa CCM! Hata chama hakiwezi kumwajibisha

Kama kweli Nyerere alikuwa anamaanisha hivyo, yeye kipindi hicho kama Mwenyekiti na Raisi mbona hakutoa mwanya kwa wenye nafasi hizo (yaani Mwenyekiti na Raisi)wawajibishwe wanapokwenda kinyume na misingi hiyo ya kiazimio la Arusha, au yeye hakuwa Banadamu kipindi kile na amekuwa Binadamu baada ya kuuacha uraisi na uenyekiti.

Ndio maana wengine wanasema hili Azimio la Arusha lilikufa kabla halijaanza.(nimenukuu).

2.LILIKUWA NI AZIMIO LA NYERERE

Hivi ni nani alishilikishwa kuunda hili Azimio ? ni wanachama wa CCM au mwananchi?

MIMI naamini hakuna ambaye aliyeshilikishwa kati ya mwananchi au mwanachama wa CCM. kama alidiliki kuunda katiba ya nchi yeye mwenywe
Why ashindwe Azimio la Arusha?(Yaliyofanyika ni kiinimacho tu, si unajua zidumu fikra za Mwenyekiti ).yaani bora kama lingekuwa limeundwa na wananchi wa Arusha kidogo kungekuwa na uafadhari.Yaani halikuwa hata ni azimio la chama cha mapinduzi

Pia ndio maana hakulifanya Azimio liwe na nguvu ya kisheria,that's why likafa kilahisi (natural death)

Huo ndio ukweli wenyewe,ndio maana hata siasa ya ujamaa na kujitegemea nayo ikafa, Hivyi ni lini sisi wenye nchi tulikaa tukaamua kuwa tuwe na siasa ya ujamaa na kujitegemea au sera ya vijiji ya kuwatoa wananchi na kuwarundika sehemu moja hivi hakuna hata mmoja aliyekuwa na vision kuwa vijiji vitakuja na kuwa miji?inawezakana walikuwepo ila waliogopa kumwambia si unajua tena zidumu fikra za mwenyekiti.
Bila shaka kuna wale ambao hawaamini kama dar es salaam ilianza kama kijiji.

Ndugu zangu nawaomba tupoteze muda wetu mwingi katika kujadili na hatimaye kuunda katiba yetu sisi wananchi.

MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
Hawakushirikishwa? What are you talking?

Wananchi wote waliondamana wakati huo waliandamana kulipinga?

Alafu wewe ni mtoto kiasi gani... Nani alikumbia azimio la arusha lilianzishwa wakti wa CCM .... hivyo likawa la chama na sio la wanachi?
 
Kuna mambo mengi yamekuwa yakitajwa kuwa ndio yamepelekea kuvunjika kwa AZIMIO LA ARUSHA.Lakini haya hapa ndio ukweli wenyewe.

1.HAKUKUWA NA UKWELI KATIKA BAADHI YA MISINGI YAKE
Mfano "Binadamu wote ni sawa" kama ni kweli yalitoka wapi maneno " zidumu fikra za Mwenyekiti wa CCM" na kwanini basi Raisi wa nchi yetu hawezi kushitakiwa hata kama kafanya makosa yaliyo wazi kabisa.
Kumbuka Raisi ni Mwenyekiti wa CCM! Hata chama hakiwezi kumwajibisha

Kama kweli Nyerere alikuwa anamaanisha hivyo, yeye kipindi hicho kama Mwenyekiti na Raisi mbona hakutoa mwanya kwa wenye nafasi hizo (yaani Mwenyekiti na Raisi)wawajibishwe wanapokwenda kinyume na misingi hiyo ya kiazimio la Arusha, au yeye hakuwa Banadamu kipindi kile na amekuwa Binadamu baada ya kuuacha uraisi na uenyekiti.

Ndio maana wengine wanasema hili Azimio la Arusha lilikufa kabla halijaanza.(nimenukuu).

2.LILIKUWA NI AZIMIO LA NYERERE

Hivi ni nani alishilikishwa kuunda hili Azimio ? ni wanachama wa CCM au mwananchi?

MIMI naamini hakuna ambaye aliyeshilikishwa kati ya mwananchi au mwanachama wa CCM. kama alidiliki kuunda katiba ya nchi yeye mwenywe
Why ashindwe Azimio la Arusha?(Yaliyofanyika ni kiinimacho tu, si unajua zidumu fikra za Mwenyekiti ).yaani bora kama lingekuwa limeundwa na wananchi wa Arusha kidogo kungekuwa na uafadhari.Yaani halikuwa hata ni azimio la chama cha mapinduzi

Pia ndio maana hakulifanya Azimio liwe na nguvu ya kisheria,that's why likafa kilahisi (natural death)

Huo ndio ukweli wenyewe,ndio maana hata siasa ya ujamaa na kujitegemea nayo ikafa, Hivyi ni lini sisi wenye nchi tulikaa tukaamua kuwa tuwe na siasa ya ujamaa na kujitegemea au sera ya vijiji ya kuwatoa wananchi na kuwarundika sehemu moja hivi hakuna hata mmoja aliyekuwa na vision kuwa vijiji vitakuja na kuwa miji?inawezakana walikuwepo ila waliogopa kumwambia si unajua tena zidumu fikra za mwenyekiti.
Bila shaka kuna wale ambao hawaamini kama dar es salaam ilianza kama kijiji.

Ndugu zangu nawaomba tupoteze muda wetu mwingi katika kujadili na hatimaye kuunda katiba yetu sisi wananchi.

MUNGU IBARIKI TANZANIA

Hujalisoma Azimio la Arusha wala historia yake. Mawazo yako hapa yanaonesha kwamba wewe ni mbabaishaji. Nakushauri kalisome kwanza ndio uje humu kulijadili. Kama hujui kitu ni busara ukikaa kimya, na wala sio lazima uweke thread humu. Ona sasa unavyojiaibisha.
 
Immature brain, amateur and silly thinking! You have not read much to corroborate your arguments! You have not learned your country's history! Hujui ulisemalo.
 
Kuna mambo mengi yamekuwa yakitajwa kuwa ndio yamepelekea kuvunjika kwa AZIMIO LA ARUSHA.Lakini haya hapa ndio ukweli wenyewe.

1.HAKUKUWA NA UKWELI KATIKA BAADHI YA MISINGI YAKE
Mfano "Binadamu wote ni sawa" kama ni kweli yalitoka wapi maneno " zidumu fikra za Mwenyekiti wa CCM" na kwanini basi Raisi wa nchi yetu hawezi kushitakiwa hata kama kafanya makosa yaliyo wazi kabisa.
Kumbuka Raisi ni Mwenyekiti wa CCM! Hata chama hakiwezi kumwajibisha

Kama kweli Nyerere alikuwa anamaanisha hivyo, yeye kipindi hicho kama Mwenyekiti na Raisi mbona hakutoa mwanya kwa wenye nafasi hizo (yaani Mwenyekiti na Raisi)wawajibishwe wanapokwenda kinyume na misingi hiyo ya kiazimio la Arusha, au yeye hakuwa Banadamu kipindi kile na amekuwa Binadamu baada ya kuuacha uraisi na uenyekiti.

Ndio maana wengine wanasema hili Azimio la Arusha lilikufa kabla halijaanza.(nimenukuu).

2.LILIKUWA NI AZIMIO LA NYERERE

Hivi ni nani alishilikishwa kuunda hili Azimio ? ni wanachama wa CCM au mwananchi?

MIMI naamini hakuna ambaye aliyeshilikishwa kati ya mwananchi au mwanachama wa CCM. kama alidiliki kuunda katiba ya nchi yeye mwenywe
Why ashindwe Azimio la Arusha?(Yaliyofanyika ni kiinimacho tu, si unajua zidumu fikra za Mwenyekiti ).yaani bora kama lingekuwa limeundwa na wananchi wa Arusha kidogo kungekuwa na uafadhari.Yaani halikuwa hata ni azimio la chama cha mapinduzi

Pia ndio maana hakulifanya Azimio liwe na nguvu ya kisheria,that's why likafa kilahisi (natural death)

Huo ndio ukweli wenyewe,ndio maana hata siasa ya ujamaa na kujitegemea nayo ikafa, Hivyi ni lini sisi wenye nchi tulikaa tukaamua kuwa tuwe na siasa ya ujamaa na kujitegemea au sera ya vijiji ya kuwatoa wananchi na kuwarundika sehemu moja hivi hakuna hata mmoja aliyekuwa na vision kuwa vijiji vitakuja na kuwa miji?inawezakana walikuwepo ila waliogopa kumwambia si unajua tena zidumu fikra za mwenyekiti.
Bila shaka kuna wale ambao hawaamini kama dar es salaam ilianza kama kijiji.

Ndugu zangu nawaomba tupoteze muda wetu mwingi katika kujadili na hatimaye kuunda katiba yetu sisi wananchi.

MUNGU IBARIKI TANZANIA

Nenda shule ukasome mdogo wangu. Utajifunza kitu kinaitwa "Tools of Analysis", na kitu hicho kitakusaidia sana katika kupambanua pumba na mchele. Hapo juu umeandika pumba tupu.
 
Nadhani huyo mtoa mada alitaka kufikisha ujumbe kuwa hilo Azimio la Arusha halikuwa na mantiki kwa wananchi bali, kwa sababu ya uwelewa mdogo na na Forcing power aliyokuwa nayo Nyerere dhidi ya viongozi wengine watu walijikuta wanakubali kitu wasichokijua impact yake katika maisha yao. Na kwa sababu hiyo ndio maana hizo azimio halikuweza kufanikiwa mara tu baada ya kutoka madarakani.

Kama kweli watu walilielewa na kulikubali kwa dhati sioni kwanini livunjike kirahisi hivyo at just Mwinyi time and fully dead at Mkapa time and totally buried at Kikwete time.

Kimsingi hakuna namna Azimio hili kurudi tena maana ni tishio kwa watawala zaidi kuliko hata raia.
 
mnajua huu wakati si wa azimio la Arusha tena,Azimio hili lililenga hasa upeo wa wananchi wake nyerere aliwaza kupitisha hili kwa sababu wananchi wake walikuwa wanategemea fikra zake!sasa hivi mashallah watu wamesoma maswala ya azimio hayatatusaidia kitu kinachotakiwa 2cwape mwanya mafisadi watuhadae katika mchakato wa katiba wa2 wajitokeze katika huu mchakato wa muswada
 
AZIMIO LA ARUSHA, 1967 ni zamani sana sijui ni wangapi humu JF walikuwa na uelewa tayari.
Kiongozi hakuruhusiwa kujilimbikizia mali, wakati huo cheo ilikuwa dhamana tofauti na sasa.
Hawa wabunge waliitwa ndugu sasa ni waheshimiwa.
Rasilimali zetu zilikuwa ni kwa ajili yetu tofauti na sasa ni kwa ajili yao.
Mnyonyaji alikuwa adui tofauti na sasa mafisadi ndo chama dola kinawakumbatia.
NOW IT'S TIME WHEN THE ARUSHA DECLARATION IS NEEDED MOST.
 
Kitendo cha kujaribu kutunadia Azimio La Arusha si tu kwamba tunataka kufanywa wajinga wakuuziwa mbuzi katika gunia, bali tunafananishwa na vipofu tutakao bebeshwa mzigo tusioujuwa.

Chanzo cha umaskini leo ni maazio yasiokuwa na mwelekeo kama haya. Tunajua Azimio lilifeli katika uongozi uliowahi kuwa bora katika historia yetu (kwa madai ya wengi), iweje leo chini ya uongozi legelege tulinadi tena au na sisi watanzania wote tupo kama 'Taifa Stars' kichwa cha mwendawazimu.

Azimio la Arusha halina kipya wala si kitu cha kujivunia kwa kweli ni bora tungeanza kuangalia sera zingine, un'gan'ganizi wetu na vitu vya nyuma unaashiria kutokuwa wabunifu. Na kama tunakosa ubunifu taifa alitasogea mbele kamwe tutarudi nyuma kwa kutumia sera zilezile zilizo tuweka hapa tulipo na umaskini wetu.

Si ajabu wengine bado wana imani ya kuwa mwalimu was the best thing ever to set afoot in our politics and his thought remain unchallenged. Ni fikra mgando kama hizi ndio zinalelea matatizo kwa kuwa mwalimu ndio alikuwa chanzo cha matatizo.
 
It is very easy to criticize, you just provide an alternative-and it doesn't matter how valid it is. No one can come up with an idea that is perfect, it will always need improvement here and there. What is important is that the foundation of that idea serves the majority, the oppressed, the deprived.

I think coming up with Arusha Declaration (AD) was a difficult call for Nyerere because the leaders and people who led the struggle for independence were on the loosing side. Most of them were well-off (John Rupia, Dossa Aziz), they were the first casualties of AD. You must have noted these days how MPs increase their salaries and allowances at will and there is no one to stop them. No one is willing to tell them you can't increase your salaries while your meeting (sitting) allowances are far bigger than the starting salary of a teacher It had to be done single-handedly by a courageous leader and that is why many citizens supported it. I give him credit because he had a vision, he knew where he wanted to take our people to.
 
Kuna mambo mengi yamekuwa yakitajwa kuwa ndio yamepelekea kuvunjika kwa AZIMIO LA ARUSHA.Lakini haya hapa ndio ukweli wenyewe.

1.HAKUKUWA NA UKWELI KATIKA BAADHI YA MISINGI YAKE
Mfano Binadamu wote ni sawa kama ni kweli yalitoka wapi maneno  zidumu fikra za Mwenyekiti wa CCM na kwanini basi Raisi wa nchi yetu hawezi kushitakiwa hata kama kafanya makosa yaliyo wazi kabisa.
Kumbuka Raisi ni Mwenyekiti wa CCM! Hata chama hakiwezi kumwajibisha

Kama kweli Nyerere alikuwa anamaanisha hivyo, yeye kipindi hicho kama Mwenyekiti na Raisi mbona hakutoa mwanya kwa wenye nafasi hizo (yaani Mwenyekiti na Raisi)wawajibishwe wanapokwenda kinyume na misingi hiyo ya kiazimio la Arusha, au yeye hakuwa Banadamu kipindi kile na amekuwa Binadamu baada ya kuuacha uraisi na uenyekiti.

Ndio maana wengine wanasema hili Azimio la Arusha lilikufa kabla halijaanza.(nimenukuu).

2.LILIKUWA NI AZIMIO LA NYERERE

Hivi ni nani alishilikishwa kuunda hili Azimio ? ni wanachama wa CCM au mwananchi?

MIMI naamini hakuna ambaye aliyeshilikishwa kati ya mwananchi au mwanachama wa CCM. kama alidiliki kuunda katiba ya nchi yeye mwenywe
Why ashindwe Azimio la Arusha?(Yaliyofanyika ni kiinimacho tu, si unajua zidumu fikra za Mwenyekiti ).yaani bora kama lingekuwa limeundwa na wananchi wa Arusha kidogo kungekuwa na uafadhari.Yaani halikuwa hata ni azimio la chama cha mapinduzi

Pia ndio maana hakulifanya Azimio liwe na nguvu ya kisheria,that's why likafa kilahisi (natural death)

Huo ndio ukweli wenyewe,ndio maana hata siasa ya ujamaa na kujitegemea nayo ikafa, Hivyi ni lini sisi wenye nchi tulikaa tukaamua kuwa tuwe na siasa ya ujamaa na kujitegemea au sera ya vijiji ya kuwatoa wananchi na kuwarundika sehemu moja hivi hakuna hata mmoja aliyekuwa na vision kuwa vijiji vitakuja na kuwa miji?inawezakana walikuwepo ila waliogopa kumwambia si unajua tena zidumu fikra za mwenyekiti.
Bila shaka kuna wale ambao hawaamini kama dar es salaam ilianza kama kijiji.

Ndugu zangu nawaomba tupoteze muda wetu mwingi katika kujadili na hatimaye kuunda katiba yetu sisi wananchi.

MUNGU IBARIKI TANZANIA

Mungu aibariki Tanzania kwa upuuzi ulioandika, wewe mweh.... nini!!!
 
Nenda shule ukasome mdogo wangu. Utajifunza kitu kinaitwa "Tools of Analysis", na kitu hicho kitakusaidia sana katika kupambanua pumba na mchele. Hapo juu umeandika pumba tupu.

pamoja sana! Halafu nahisi haka ni kafisadi fulani.
 
pamoja sana! Halafu nahisi haka ni kafisadi fulani.

kwa watoto wa sasa na kizazi cha sasa I am afraid kwa conclusion yako utawaita woote vifisadi!

Unajua kujificha kwenye kuitana majina bila hoja ni manifestation ya failure!

watu wa aina ya huyu muanzisha thread wanatakiwa kujibiwa kwa points na sio kejeli, guys watu waliozaliwa miaka ya mwaka 90 leo wana miaka 21! ni watu wazima they know nothing abt AD, their parents never taught them, teachers never taught them......

Huwa hawajibiwi kwa namna mlivyojibu! no wonder why CCM will continue to rule, kwa sababu nyie wenye upeo hamna muda wa kufundisha wengine. huu nao ni ufisadi mwingine
 
Kuna mambo mengi yamekuwa yakitajwa kuwa ndio yamepelekea kuvunjika kwa AZIMIO LA ARUSHA.Lakini haya hapa ndio ukweli wenyewe.

1.HAKUKUWA NA UKWELI KATIKA BAADHI YA MISINGI YAKE
Mfano "Binadamu wote ni sawa" kama ni kweli yalitoka wapi maneno " zidumu fikra za Mwenyekiti wa CCM" na kwanini basi Raisi wa nchi yetu hawezi kushitakiwa hata kama kafanya makosa yaliyo wazi kabisa.
Kumbuka Raisi ni Mwenyekiti wa CCM! Hata chama hakiwezi kumwajibisha

Kama kweli Nyerere alikuwa anamaanisha hivyo, yeye kipindi hicho kama Mwenyekiti na Raisi mbona hakutoa mwanya kwa wenye nafasi hizo (yaani Mwenyekiti na Raisi)wawajibishwe wanapokwenda kinyume na misingi hiyo ya kiazimio la Arusha, au yeye hakuwa Banadamu kipindi kile na amekuwa Binadamu baada ya kuuacha uraisi na uenyekiti.

MUNGU IBARIKI TANZANIA
Shungurui, ongera sana kwa jitahada zako, japokuwa kuna makosa madogo madogo kwenye hoja yako, lakini ipo siku nawe utakuwa mwandishi mahiri kama hao wengine wenye kusifiwa, hata binadamu uanza kutembea tata, kisha ndio wakaja kukimbia, basi nawe usikatishwe tamaa na hao wanao kudhihaki.

Ujumbe uliotaka kuuwasilisha hapa umefika, hao wanao kukandia ujumbe umewakamata bara bara...!

Kwa kuongezea tu ni kwamba Azimio la Arusha lilikuwa ni kaburi la Watanzania, walilochimbiwa na yule mwenye fikra zilizokuwa zikidumu kwenye vichwa vya Watanzania.

Soma Topic hizi hapa chini ambazo kidogo zinafanana na hicho ulichokiandika hapa.


 
Kuna mambo mengi yamekuwa yakitajwa kuwa ndio yamepelekea kuvunjika kwa AZIMIO LA ARUSHA.Lakini haya hapa ndio ukweli wenyewe.

1.HAKUKUWA NA UKWELI KATIKA BAADHI YA MISINGI YAKE
Mfano “Binadamu wote ni sawa” kama ni kweli yalitoka wapi maneno “ zidumu fikra za Mwenyekiti wa CCM” na kwanini basi Raisi wa nchi yetu hawezi kushitakiwa hata kama kafanya makosa yaliyo wazi kabisa.
Kumbuka Raisi ni Mwenyekiti wa CCM! Hata chama hakiwezi kumwajibisha

Kama kweli Nyerere alikuwa anamaanisha hivyo, yeye kipindi hicho kama Mwenyekiti na Raisi mbona hakutoa mwanya kwa wenye nafasi hizo (yaani Mwenyekiti na Raisi)wawajibishwe wanapokwenda kinyume na misingi hiyo ya kiazimio la Arusha, au yeye hakuwa Banadamu kipindi kile na amekuwa Binadamu baada ya kuuacha uraisi na uenyekiti.

Ndio maana wengine wanasema hili Azimio la Arusha lilikufa kabla halijaanza.(nimenukuu).

2.LILIKUWA NI AZIMIO LA NYERERE

Hivi ni nani alishilikishwa kuunda hili Azimio ? ni wanachama wa CCM au mwananchi?

MIMI naamini hakuna ambaye aliyeshilikishwa kati ya mwananchi au mwanachama wa CCM. kama alidiliki kuunda katiba ya nchi yeye mwenywe
Why ashindwe Azimio la Arusha?(Yaliyofanyika ni kiinimacho tu, si unajua zidumu fikra za Mwenyekiti ).yaani bora kama lingekuwa limeundwa na wananchi wa Arusha kidogo kungekuwa na uafadhari.Yaani halikuwa hata ni azimio la chama cha mapinduzi

Pia ndio maana hakulifanya Azimio liwe na nguvu ya kisheria,that's why likafa kilahisi (natural death)

Huo ndio ukweli wenyewe,ndio maana hata siasa ya ujamaa na kujitegemea nayo ikafa, Hivyi ni lini sisi wenye nchi tulikaa tukaamua kuwa tuwe na siasa ya ujamaa na kujitegemea au sera ya vijiji ya kuwatoa wananchi na kuwarundika sehemu moja hivi hakuna hata mmoja aliyekuwa na vision kuwa vijiji vitakuja na kuwa miji?inawezakana walikuwepo ila waliogopa kumwambia si unajua tena zidumu fikra za mwenyekiti.
Bila shaka kuna wale ambao hawaamini kama dar es salaam ilianza kama kijiji.

Ndugu zangu nawaomba tupoteze muda wetu mwingi katika kujadili na hatimaye kuunda katiba yetu sisi wananchi.

MUNGU IBARIKI TANZANIA

tumekusikia mwanafisadi, mtoto wa azimio la zanzibar. Sema kitu kingine
 
Kuna mambo mengi yamekuwa yakitajwa kuwa ndio yamepelekea kuvunjika kwa AZIMIO LA ARUSHA.Lakini haya hapa ndio ukweli wenyewe.

1.HAKUKUWA NA UKWELI KATIKA BAADHI YA MISINGI YAKE
Mfano "Binadamu wote ni sawa" kama ni kweli yalitoka wapi maneno " zidumu fikra za Mwenyekiti wa CCM" na kwanini basi Raisi wa nchi yetu hawezi kushitakiwa hata kama kafanya makosa yaliyo wazi kabisa.
Kumbuka Raisi ni Mwenyekiti wa CCM! Hata chama hakiwezi kumwajibisha

Kama kweli Nyerere alikuwa anamaanisha hivyo, yeye kipindi hicho kama Mwenyekiti na Raisi mbona hakutoa mwanya kwa wenye nafasi hizo (yaani Mwenyekiti na Raisi)wawajibishwe wanapokwenda kinyume na misingi hiyo ya kiazimio la Arusha, au yeye hakuwa Banadamu kipindi kile na amekuwa Binadamu baada ya kuuacha uraisi na uenyekiti.

Ndio maana wengine wanasema hili Azimio la Arusha lilikufa kabla halijaanza.(nimenukuu).

2.LILIKUWA NI AZIMIO LA NYERERE

Hivi ni nani alishilikishwa kuunda hili Azimio ? ni wanachama wa CCM au mwananchi?

MIMI naamini hakuna ambaye aliyeshilikishwa kati ya mwananchi au mwanachama wa CCM. kama alidiliki kuunda katiba ya nchi yeye mwenywe
Why ashindwe Azimio la Arusha?(Yaliyofanyika ni kiinimacho tu, si unajua zidumu fikra za Mwenyekiti ).yaani bora kama lingekuwa limeundwa na wananchi wa Arusha kidogo kungekuwa na uafadhari.Yaani halikuwa hata ni azimio la chama cha mapinduzi

Pia ndio maana hakulifanya Azimio liwe na nguvu ya kisheria,that's why likafa kilahisi (natural death)

Huo ndio ukweli wenyewe,ndio maana hata siasa ya ujamaa na kujitegemea nayo ikafa, Hivyi ni lini sisi wenye nchi tulikaa tukaamua kuwa tuwe na siasa ya ujamaa na kujitegemea au sera ya vijiji ya kuwatoa wananchi na kuwarundika sehemu moja hivi hakuna hata mmoja aliyekuwa na vision kuwa vijiji vitakuja na kuwa miji?inawezakana walikuwepo ila waliogopa kumwambia si unajua tena zidumu fikra za mwenyekiti.
Bila shaka kuna wale ambao hawaamini kama dar es salaam ilianza kama kijiji.

Ndugu zangu nawaomba tupoteze muda wetu mwingi katika kujadili na hatimaye kuunda katiba yetu sisi wananchi.

MUNGU IBARIKI TANZANIA

Azimio la Arusha lilihitati kuboreswa lakini sio kwa uhuni uliofanyika kule Zanzibar. Masikini Tanganyika:frusty:
 
Back
Top Bottom