Ukwel kwenye mapenzi

Ukwel kwenye mapenzi

Kwa kweli tunafanya sana, na hata takwimu zinaonyesha kuwa wanaume ndio tunaongoza katika kufanya hayo, ila jambo la msingi ni kuhakikisha mpenzi wako/mke wako hapati fursa hata ya kukuhisi na hiyo inamjengea heshima na kujiamini, ukiweka ukweli kwenye mapenzi kwa 100% ujue hapo ndio unayabomoa,

Hivyo uongo unadumisha mapenzi zaidi kuliko ukweli, ndio hayo yaliyomkuta Bi mdada
Hahaaaa. Nimepata kitu hapa mkuu ila kuna sehemu na sehemu ya kutumia uongo japokuwa kwa huyu dada ndio ilikuwa sehemu sahihi tena sio uongo bali kumezea raha alizopatiwa na hilo dume ili kuyalinda mahusiano yake.

Sababu angejinyamazia ingebaki kuwa siri yake na maisha yangeendelea tu.
 
......Inategemea sana.
tena hapo pia itakuwa nimemueshimu sana Emmy. Je kama nikiamua kujirudi yaani kumsamehe Alafu nikam BASHITE sindio atokaa na kunisahau kabisa katka maisha yake yoote.

Hahahaaaa. "Eti ukambashite lol" ila kwa upande wangu mtu akikosea ni vyema akajua kakosea ili kama wa kajirekebisha ajirekebishe na kama ni wa kuanza maisha mengine mapya akaanze tu kwakweli kuliko kufanyiana wema usiotoka moyoni ambao baadae unakuwa na madhara tena sio madogo ujue.


Hivi mkuu hilo jina ni neno la kilugha ama. Sababu kikwetu kwetu kule Tanga inamaana ya jambo la ajabu "chirozo"
 
Hahaaaa. Nimepata kitu hapa mkuu ila kuna sehemu na sehemu ya kutumia uongo japokuwa kwa huyu dada ndio ilikuwa sehemu sahihi tena sio uongo bali kumezea raha alizopatiwa na hilo dume ili kuyalinda mahusiano yake.

Sababu angejinyamazia ingebaki kuwa siri yake na maisha yangeendelea tu.
Well said mummy
 
Hahahaaaa. "Eti ukambashite lol" ila kwa upande wangu mtu akikosea ni vyema akajua kakosea ili kama wa kajirekebisha ajirekebishe na kama ni wa kuanza maisha mengine mapya akaanze tu kwakweli kuliko kufanyiana wema usiotoka moyoni ambao baadae unakuwa na madhara tena sio madogo ujue.


Hivi mkuu hilo jina ni neno la kilugha ama. Sababu kikwetu kwetu kule Tanga inamaana ya jambo la ajabu "chirozo"
Chirozo maana yake ni Maajabu au kitu cha kushangaza.
wewe unatokea tanga Sehemu gani?
mm pia mtu wa huko huko tanga ila now nipo nje ya Africa kwenye arakati za kutafuta life.
 
umerogwa wewe si bure! Umempa risasi ya kwanza kakukosa anaomba nyingine sie tunasubiri mrejesho hatuna la kukwambia
 
Jambo hili linatia mashaka kidogo. Mtu hujamkamata wala kumuwekea shaka yoyote kwamba amefanya udanganyifu kwenye mahusiano yenu alafu yeye mwenyewe akiwa na akili timamu pasipo kushurutishwa eti aseme ukweli.
Duh! Inashangaza hakika. Kwa akili ya hiki kizazi cha nyoka si rahisi kiasi hicho hata kama ni muumini mzuri kiasi gani kwenye dini zetu pendwa.
Labda wakati anatenda hayo anahisi au kuna mtu alimuona hivyo ana wasiwasi anaweza akafikisha ubuyu kwako, ameona ni heri nusu shari kuliko shari kamili.
Au upo kwenye kipindi cha uchunguzi. Anataka agundue kuwa una moyo wa kusamehe au kosa moja na kutukaniana wazazi na mkong'oto juu? Kuwa makini labda unachezeshewa kiberiti.
Mwisho pengine umechokwa baba. Ameanza kukupa virungu vya kichwa vya live ili upaniki uchukue maamuzi huku yeye akipritendi ameumizwa na hilo jambo na kuomba msamaha wa kinaa.
Yote kwa yote utamu wa ngoma aujuae mchezaji.
 
Mrudishie na wewe...
Nenda katembee na mwingine alafu muombe msamaha...

Hiyo ni njia ya kukuambia kwamba anatiana na wewe na huyo mwingine kwa hiyo mvumiliane...

Reaction utakayopata... Ndiyo utaamua mbivu au mbichi...


Cc: mahondaw
 
Ukiona anakuomba msamaha kila siku ujue anampenda huyo jamaa na anakumbukia jaramba alilopigwa
 
Mkuuu we unafikiri ni kwanin amekwambia !!!!! Mda mwingne akufukuzaye akwambii toka yaaani hapo binti katumia ustaarabu tu kukutaarifu kwamba amepata mtu mwingine ......
Jiongoze mjin hapa
 
Hahahaaaa. Umenikumbusha ule uzi duuh. Tumeshajanjaruka sasa na sie.

Mkitaka ushauri anzisheni uzi tutawashauri na sio kuja huko kwa Prime Minister.

nenda usikatae waswahili wanasema kubali wito kataa ushauri,ika mm huyu naona hana lengo zuri huko PM hahahah
 
Neno"naona" maan yake unahisi, so hunauhakika 100% kama anakupenda
 
Back
Top Bottom