Ukwel kwenye mapenzi

Ukwel kwenye mapenzi

Msamehe,,ukisamehe huitajiki kuomba ushauri tena,,use ur brain to think
 
Sababu kiuhalisia swala kama hilo sio la kusema uanze kujifikiria kutoa maamuzi yaani maamuzi yake yanakujaga papo hapo.

Ila kama ni kweli huwa kuna wanawake vichwa maji aiseee yaani anajifumanisha mwenyewe. Hahahaaa.
Demu alikuwa anatest kama limbwata limekolea vizuri
 
Njia ya kwenda kwao iko wazi aisee
Umeona mkuu na sidhani kama ungemchelewesha kuja eti kuja kuanzisha uzi zaidi ya kufanya maamuzi papo kwa hapo.

Huku labda ungekuja kusema Mke wangu alifanya hivi na mie nikachukua maamuzi haya ila ni muda umepita sasa najikuta nammiss nifanyeje wakuu?

Hapo ndio tungeelewa.
 
Umeona mkuu na sidhani kama ungemchelewesha kuja eti kuja kuanzisha uzi zaidi ya kufanya maamuzi papo kwa hapo.

Huku labda ungekuja kusema Mke wangu alifanya hivi na mie nikachukua maamuzi haya ila ni muda umepita sasa najikuta nammiss nifanyeje wakuu?

Hapo ndio tungeelewa.
Haswaa, kwa mwanaume anayejitambua anafanya maamuzi magumu mwenyewe, then baadae ndio anatoa mrejesho period,

Sio unakuja kulialia humu eti umegongewa, aibu
 
Hahahaaa. Ila wanaume mna kazi sana aisee.

Ungekuwa wewe Mkuu ungemfanyaje huyo mdada anayekwambia kirahisi rahisi hivyo huku raha alishaipata?
Na mimi ningemlaghai tu.
Inakuwa ngoma droo, ila kinachofuata baada ya hapo ni kumgeuza chombo cha Starehe kwangu tu , Sina malengo nae tena.
 
Haswaa, kwa mwanaume anayejitambua anafanya maamuzi magumu mwenyewe, then baadae ndio anatoa mrejesho period,

Sio unakuja kulialia humu eti umegongewa, aibu
Aibu sana yaani. Halafu eti unasema kila siku ananiomba msamaha. Lol.

Hizi ni dalili kwamba bado hajajitambua sababu hata uchungu wa kugongewa hajui unakaaga wapi. Hahahaaaa.
 
Na mimi ningemlaghai tu.
Inakuwa ngoma droo, ila kinachofuata baada ya hapo ni kumgeuza chombo cha Starehe kwangu tu , Sina malengo nae tena.

Hahahaa. Kumlaghai ukimaanisha kwamba utamwambia haina shida tuendelee mama ama vipi mkuu?

Hahaaaa. We ndio hutaki mchezo aiseee. Ila utakuwa umempa maumivu makubwa sana ni bora kama kumuacha umuache mapema tu ajue kuliko kumfanya chombo cha starehe.
 
Back
Top Bottom