Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
Hahahaha hahahah,Hahahaaaaaaaaaa! Hebu naomba nitumie namba ya kamanda aiseeeeeeee! Ulifikiria mbali sana na kwa haraka na nadhani aliisoma huyo.
Ni wazo tu lilinijia nikaamua kumwandikia ivo,
Si matusi pekee au kelele ndio zinaonesha kukasirisha hata hiyo nadhan ilifaa tu,
Hahahah hahah unataka kumripoti nani swaiba!!