zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,081
- 28,742
Airport na bandarini hakuna ukuta?? Je waliwezaje kutorosh Tanzanite miaka yote kma ukuta upo na kuna mashine za kukagua na mapolisi kibao??Kwenye mikataba mambo yashakuwa sawa sasa. Hili la ukututa ndio ulikuwa mwanya wa mwisho