UKUTA: CHADEMA Rukwa kufanya mikutano 449

UKUTA: CHADEMA Rukwa kufanya mikutano 449

Hawa ndio viongozi wabunifu sio wale wanaosema watakusanya watu waandamane.

Hapa ndipo penye umuhimu wa kuwa na ofisi za chama kila tawi .
Vikao na mikutano kidogo midogo ya kujadili agenda kama hizi za UKUTA zingekua zinafanywa nchi nzima kwa kupitia waraka maalum. Na kila mwanachama aelimishwe na kuelewa namana ya kujipanga kwa ajili ya kuhakikisha uchaguzo wa serikali za mitaa ujao 2019 CCM inapoteza mapema asubuhi.
Mikitano mikubwa ma maandamano yamefanyika sana lakini hayakuwa matokeo mazuri sana zaidi ya ushabiki wa muda mfupi na uchaguzi ukifika watu wanaangalia nyimbo na push up za CCM na kuwapigia kura. Wanachama mashabiki wa vyama vya upinzani inabidi wapate semina na mikutano mingi sana ya ndani ili wajitambue na wajue malengo ya chama cha siasa ni kushika dola kwanza ili waondoe mifumo inayonyanyasa vyama vya upinzani na kuweka mfumo mzuri wa kikatiba unaotoa fursa sawa kwa wote.
 
Sisi huku Rukwa hatuna mpango wowote wa kuandamanishwa kipumbavu, huo ni uongo wako usiokuwa na tija. HATUANDAMANI NG'O
 
Polisi watakua bize sana UKUTA day
 
sioni haja ya polis kuwapiga mabomu watu wanaotekeleza haki yao yakikatiba kamwe. cha msingi jeshi la polis watoe ulinzi kama katiba inavyosema....
 
Heri kufirisika mali kuliko kufirisika akili.
 
Ruzuku za hazijulikani zinatumika vp,chama hakina ofisi kwa miaka zaidi ya 20 sasa ,mi nadhan mngefanya maandamano ya kufanya harambee ili mpate hela za kijenga ofisi zenu kwanza.
acha ujinga wewe
 
Mungu yu pamoja nasi wana rukwa.shime tarehe moja .majengo,katandala kizwite mazwi etc tuungane
 
Back
Top Bottom