UKUTA: CHADEMA Rukwa kufanya mikutano 449

UKUTA: CHADEMA Rukwa kufanya mikutano 449

Ruzuku za hazijulikani zinatumika vp,chama hakina ofisi kwa miaka zaidi ya 20 sasa ,mi nadhan mngefanya maandamano ya kufanya harambee ili mpate hela za kijenga ofisi zenu kwanza.
chama cha siasa hakijawa national housing
 
Naomba watakao shikishwa UKUTA
Siku hiyo wasipewe Tiba ktk hospitari za Serikali
Maana huu ni upumbavu.
Vijana wanafanya vitu kwa shinikizo la Viroba na kufuata mkumbo.
Mkuu hii kushikishwa ukuta ina maana nyingi[emoji12] [emoji12]
 
Naomba watakao shikishwa UKUTA
Siku hiyo wasipewe Tiba ktk hospitari za Serikali
Maana huu ni upumbavu.
Vijana wanafanya vitu kwa shinikizo la Viroba na kufuata mkumbo.
haaa!haaa!kijana haki inatafutwa ndo ipatikane kwa udikiteta huu ni wale wenye akili fupi kama zako tu ndio hawawezi kuelewa na kunawengine wanaelewa ila uccm unawatia wazimu!nawengine wana akili mbili ya kuvalia nguo na kupisha magari barabarani hawa ndio mabogasi kabisa kila ukiongea point za msingi yanaishia kusema hapa kazi tu huku yakishindia mlo mmoja kwa siku ukiyaambia vipi utasikia mkuu kabana aisee pesa hakuna.
 
Ruzuku za hazijulikani zinatumika vp,chama hakina ofisi kwa miaka zaidi ya 20 sasa ,mi nadhan mngefanya maandamano ya kufanya harambee ili mpate hela za kijenga ofisi zenu kwanza.
Ushauri huyo pelekea familia yako pengine mnaweza kupata hata kibanda cha kuishi
 
Sisi huku Rukwa hatuna mpango wowote wa kuandamanishwa kipumbavu, huo ni uongo wako usiokuwa na tija. HATUANDAMANI NG'O
Hebu acha kutuchafua watu wa Rukwa hatupo wendawazimu kiasi hicho. Uko nyang'wale unajifanya uko Rukwa. Hebu taja mtaa hats mmoja wa mji wowote ndani ya rukwa au taja wilaya zote tuone
 
Mungu yu pamoja nasi wana rukwa.shime tarehe moja .majengo,katandala kizwite mazwi etc tuungane
Kizwite Chama kubwa- Aminia watu wangu wa mtaa wa makwasa-kizwite. Much missing my Home land


Dedication to myself: Am coming Home
 
Back
Top Bottom