chendelela
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 1,145
- 1,002
Rekebisha hapo modes nadhan ni mods=moderatorsModes naona privacy ya JF inavunjwa na mtu hapigwi ban vip?Mazungumzo na bidada hapo juu ni ya PM inakuaje yanawekwa wazi kwetu?Hata kama bidada alikwazwa ilitakiwa tu aripoti kwa modes ambao wangechukua hatua stahiki,pole kwa tatizo lako but huna right ya kuvunja kanuni na taratibu za JF.