Ukosefu wa ajira ni chanzo cha umaskini

nkwaru

Senior Member
Jan 16, 2013
126
42
Ajira hakuna, tumesoma kwa taabu! watoto wa maskini tukitumai angalau elimu itusaidie na tupate kuendelea kidogo, lakini mwaka wa pili sasa unaisha bila matumaini, wengine wanasema tukalime, tutarudije kulima na jembe la mkono na wazazi wetu? si bora tusinge soma basi! hata mikopo yenyewe ni shida. tunaomba mikakati ya namna ya kupunuza tatizo la ajira na sio kuwwaanbia vijana heti mkajiajiri wakati hakuna miundombinu wezeshi na imara ya kujiajiri.
 
Umasikini na ukosefu wa ajira vyote ni sababu ya ujinga.
Unapokuwa mjinga utachagua ujinga ukuongoze badala ya ELIMU*3
Mshahara wa kuongozwa na ujinga ni ukosefu ajira, umasikini, n.k.
 
Umasikini na ukosefu wa ajira vyote ni sababu ya ujinga.
Unapokuwa mjinga utachagua ujinga ukuongoze badala ya ELIMU*3
Mshahara wa kuongozwa na ujinga ni ukosefu ajira, umasikini, n.k.
Mungu akusamehe bure kwa kuwa hujui ulisemalo.
 
Mungu akusamehe bure kwa kuwa hujui ulisemalo.
Hivi kama umesoma na huwezi kujitengenezea hata kazi yako ya kukuingizia kipato, unaweza kufanya nini?
Hivi unategemea serikali itoe ajira kwa wahitimu wote?
Kama mtu alieshia shule ya msingi anajishughulisha kivyake na kulipa kodi serikalini, huo usomi wako ni faida au hasara kwa jamii?
Sasa endelea kulialia ukisubiri ushuhiwe ajira kama Mana vile.
 
Back
Top Bottom