Ukondefu unaninyima amani nifanyeje ili nipate walau vinyama kidogo

Aisee kumbe mawazo yangu yalikua sahihi bna .
Huwa naona kuna watu ni wembaba mnoo mpaka unajiuliza huyu upepo ukivuma haumbebi kweli!!?
Kumbe wengi wao hawaipend ile hali aisee daah .

Na kuna wanene pia aisee, yujitahidi tuwe wastani tu jama
 
Nyama ni chakula chenye kuongeza uzito haraka, kila mlo wako kula nyama na ikiwezekana nunua nyama ya kidari.

Kula chakula na kilevi iwe wine au beer.

Baada ya siku 28 utupe mrejesho.
Pole mkuu, ungepima na kale kakipimo ketu mkuu
 
Au ukute mwamba Ana roho ya korosho, wivu kwa wenzake na vilawama vya hpa na pale. Tungemuuliza na tabia yke ikoje in society
 
Penye mshahara Sasa,
 
big up bonge na advice babu,,,***** ka hatafuata huu ushaul bora amuache tu huyo anaemdanganya
 
Asante mkuu nimedandia huu ushauri, mi mwenyewe ni mwembamba hadi naogopa kupima uzito ingawa nachukulia poa tu sijawai kujishughurisha na hilo, ila ushauri wako nitaufanyia kazi na mimi nione.

Duh! Unapotezwa hivi hivi unajiona.. unashauriwa kutumia kilevi, kijana zinduka!

Ushauri wangu, tafuta mtaalam wa kuongeza uzito, atakushauri vyakula gani vya kutumia na visivyotakiwa kutumiwa..
 

khaaa mi nimecheka kama mazuri. Kwanza nikuulize…ushanenepa au bado? Mi hapa nawaza kukonda ww unawaza kunenepa…kweli life isn’t the same
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…