Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 10,769
- 22,176
Pole mkuu, ungepima na kale kakipimo ketu mkuuNyama ni chakula chenye kuongeza uzito haraka, kila mlo wako kula nyama na ikiwezekana nunua nyama ya kidari.
Kula chakula na kilevi iwe wine au beer.
Baada ya siku 28 utupe mrejesho.
Au ukute mwamba Ana roho ya korosho, wivu kwa wenzake na vilawama vya hpa na pale. Tungemuuliza na tabia yke ikoje in societyYani unashindilia nyama na bia on a daily basis hunenepi? Kweli binadamu tunatofautiana.
Watu tuna 130kgs hapa. Hatukutumia mwezi kufika hapa. Inabidi ule heavily na ule vizuri (NYAMA) kila siku ya maisha yako. Hata kilo 200 utafika. Pia gonga sana sugary foods, soda, keki, mavitu ya supermarket yenye sukari.
Always kunenepa au kukonda hakutakiwi temporay adjustment in meal habits ila permanent one.
Daah pole aisee, upepo hua haukuyumbishi mkuu ?Mimi huyooView attachment 1172843
Unatuonyesha cheni na cm huna loloteSipend hali ya umbaumbauView attachment 1172845
Penye mshahara Sasa,We kula vitu vya sukari na mafuta tu ila nyama ndio nzuri kwa kujaza misuli. Hakikisha hukosi bakuli ya supu ya ng'ombe deile.
Mchana ugali na nyama ya kitimoto roast.
Jioni kuku choma na chips zitakufaa sana mkuu. Huku ukisindikizia na malta.
Nakupa mwezi na nusu tu, ulete majibu hapa.
mbona upo kawaida mwamba!!huo mwili upo fresh sana babu,,unaweza nenepa zaid ya hapo ukawa kitukoWanaoitaji picha N.B mahitaji msaada sereously huu wembamba unaninyika michongoView attachment 1172849
big up bonge na advice babu,,,***** ka hatafuata huu ushaul bora amuache tu huyo anaemdanganyaWeee Jamaa acha kumkufuru Mungu unawajua vimbaumbau wewe????Mamaee mpaka misuli naiona unataka Ubonge upeleke wapi????? Sasa huo ulionao ndo mwili wa kiume labda kama demu wako kasema usiponenepa anakuachaUkapagawaa ukaja mbiombio huku kuomba ushauri kwa kitu cha kijinga..
UBONGE HAULIPI...huo ndo mwili wa kiume acha kuendeshwa na MWANAMKE.
Asante mkuu nimedandia huu ushauri, mi mwenyewe ni mwembamba hadi naogopa kupima uzito ingawa nachukulia poa tu sijawai kujishughurisha na hilo, ila ushauri wako nitaufanyia kazi na mimi nione.
Kilichobaki kwako kama unakula vyakula vyenye protini punguza mapenzi tu.Mimi huyooView attachment 1172843
Hahahah si anataka awe bonge chapPenye mshahara Sasa,
Sio mara zote ukafanikiwaUkitaka kupungua uzito ukitoa pombe na nyama kwenye ratiba yako umefanikiwa
HABARI WAKUU.
Wakubwa kwa Wadogo salamu kwenu
Mimi ni kijana mwenye 28 years..!
Tatzo langu ni uwembamba uliopitiliza natamani walau na mimi niwe na vinyama kidogo. Nakumbuka mwaka jana niliwahi kupima uzito wangu nikawa 48kg uzito wa Jogoo la kienyeji iliniuma sana nilikaa wiki zima nikitafakari hatma ya afya yangu hadi hapo nilipoenda kupima magonjwa yote nikakutwa nipo smart sina tatzo la kiafya!
Nikaamua kujianzishia Dozi ya kula matunda kila baada ya chakula na mara kwa mara hali ambayo ilikuwa inanigalimu kila siku kutumia galama zaidi ya elfu kumi 10,000 kwa ajili ya Kuimalisha Afya yangu pia nilipata ushauri wa kula kitimoto na Bia moja kila siku! Hali ambayo sikuona shida nilikuwa nafanya hivyo hadi kujikuta nakuwa mlevi wa bia, Maana nilikuwa nakunywa bia moja kwa ajili ya Afya ila hatmae nikajikuta nakunywa bia zaidi ya 5 kwa siku maana tabia ya Bia nilikuwa nikinywa moja natamani kuongeza nyingine na nyingine hadi nikajikuta nakuwa mlevi pasipo kukusudia hali hii ilikuwa inanipelekea kukosana na watu wanaonizunguka kila nikinywa pombe nawatambia majirani zangu kuwa hawana hela na kusababisha fujo hadi nyumbani kwangu! Ikabidi nijishauri mwenyewe nakuacha dozi hii kwa sasa situmii tena.
Ila katika kumbukumbu zangu kipindi nafanya haya walau nilianza kuona mabadiliko kidogo ya afya mwilini mwangu nikaanza kutokeza kakitambi kwa mbali na kunenepa shavu na nilipopimwa uzito nilikuwa nimefikisha 60Kg hadi watu walianza kuniambia nimenenepa pasipokujua hiyo hali inaniingiza galama kiasi gani!
Nilikuwa nimeanza kunyanyua kakibanda kangu ila nilisimamisha shughuli ya ujenzi, pesa yote niliokuwa napata katika mihangaiko yangu ikawa inatumika kwa ajili ya kufanyia kile ninachokitamani, baada ya kuacha tena dozi hii kwa sasa nimepururuka vibaya mno jana nimepima uzito nakuta 52kg tu na kila kukicha nazidi kukonda tena!
Nimeamua kuja hapa ili wataalamu mnipe namna ambayo itakuwa si ghali sana ambayo nitatumia ili ninenepe huu ukondefu unaninyima michongo mingi sana!
Atakaeweza kunisaidia nipo tayari kumlipa!