Ukomo wa umri nafasi za JKT

Ukomo wa umri nafasi za JKT

Hakuna uwiano wa umri mkubwa na kuwa usalama wa taifa, IQ yako na uwezo wa kutambua mambo kwa haraka unaweza kuipata kazi, mfano wanaweza kuja wakasema tunahitaji walinzi wa kwenda kulinda minara, sifa awe form 4 au 6 mwenye division 1-3 kwa akili ya kawaida mtu mwenye matokeo mazuri ya shule anawaza bakabaka ghafla akalinde minara, hutotaka sasa watakao tambua kuwa ni kazi ya usalama watafanya usaili, wakiondoka ndio zinabaki stori kuwa jamaa walikuja kuchukua watu wa tiss
Kwahiyo hata maafsa wao wanaweza wakawa ni form 4 na form 6?
 
Back
Top Bottom