'crown ndo kitu gani sisi uku kwetu hatuitambui'.wanyama hawa hapa sedans
NISSAN FUGA
NISSAN MAXIMA*
NISSAN ALTIMA
NISSAN TEANA
NISSAN SKYLINE
crown ndo kitu gani sisi uku kwetu hatuitambui
RAV4 zina tatizo la kuwa na migulubaja... Linachutama, hilo ni tatizo kuu la hizo gari, wheel alignment inahitajika nafikiri kila baada ya KM 3000 duhnimeicheki ni kali, naona waliamua waachane na vile vi body vyao ndio maana imekuwa kali
Basi ngoja ni ahirishe kuliagiza... kumbe mabovu hivyoo.. lisije nitesa bure'Hebu itizame new model land rover defender'
Aisee hio gari ni takataka kabisa from design(shape mbaya kinyamaaa) mpk reliability.
Kuna a/c maarufu huko youtube inaitwa Fast lane car jamaa alinunua hio gari akaenda nayo off-road ya kawaida maana anasema huko alikoenda gari yoyote ile yenye 4wd inaenda,wkt anarudi kwake gari ikamuwashia check engine light kumbuka mpk hapo gari ina Km 270 tu na ina siku mbili tu tangu imenunuliwa,ikabidi ipelekwe kwa dealers kutengenezwa imerudi tena barabarani jamaa anagundua camera za nyuma hazifanyi kazi na kwa US sheria zao kwa sasa ni camera ya nyuma ni lazima ikabidi irudi kwa dealer tena,na anasema mpk muda ule engineers wa LR hawajaweza kutatua tatizo hilo,hawajui shida iko wapi.
Inatengeneza K-Leg.Sio body tu hata arrangement ya miguu haiko poa inazingua sana
Piga chini tu mzee baba,hakuna kitu pale.Basi ngoja ni ahirishe kuliagiza... kumbe mabovu hivyoo.. lisije nitesa bure
Na likishachutama linakuwa kama mbuzi jike anayekojoaRAV4 zina tatizo la kuwa na migulubaja... Linachutama, hilo ni tatizo kuu la hizo gari, wheel alignment inahitajika nafikiri kila baada ya KM 3000 duh
Pia tukumbuke kuwa hizi crown ambazo zimejaa hapa Tanzania ni za kitambo kuanzia 2005-2013..
Sasa kama matoleo yanaishia mwakani naona bado kuna muda mwingi wa kuendelea kuagiza haya Magari,nahisi bado crown zitaendelea kutumika mpaka mwaka 2030
Germans wapo kwenye ligi yao.
Toyota hafikii hata nusu yake.
Mnyama nilikiwa namkubali sana kwenye safari ndefu kitu kimetulia puling ya kutosha TOYOTA, shida wanamuwaza sana RANGE ROVER ..... wabaki kwenye mstari tu vinginevyo mambo yatakuwa magumu sana
Design ya gari exterior na interior inavutia, yaani ukiambiwa milioni mia unasema kweli. Sasa tizama Toyota, hakuna ata effort ya ku justify milioni mia
LR ni Luxury brand lakini iko vizuri kwenye offroading, kwanini uende vitani na luxury brand? halafu toyota ni cheap na wana option nyingi ya SUV. Kila kitu kwenye toyota ni cheap compared to LR. Sio spea tu, yaani design na material wanazotumia ni cheap. Huwezi kufananisha na range rover.
Mfano tuchukulie RR sport na Prado. Wewe tizama interior tu ilivo, Prado iko so basic, yaani kama hujaekewa ile screen na kubadilishiwa bodi huna tofauti na anaendesha na prado old. Kwenye toyota hupati feeling kama upo kwenye luxury vehicle sasa kaa ndani ya range rover.
Nchi kuwa na gari nyingi za brand moja ni choice tu ya raia wake, mfano hapa Tanzania tunapenda toyota, ukienda kwa jirani apo Kenya unakutana na ma nissan. Hapo Australia na japani ni magomeni na kariakoo tu. Range mpaka uitoe uingereza ya leo hayo!
Toyota inapendwa kwa engine reliability, upatikanaji wa spea ni rahisi ila price ya magari yao huwezi kujistfy na comparable model ya RR.
In short toyota ni engine tu na gearbox zake ila gari hazina mvuto kabisa ukiweka na RR.
'Hebu itizame new model land rover defender'
Aisee hio gari ni takataka kabisa from design(shape mbaya kinyamaaa) mpk reliability.
Kuna a/c maarufu huko youtube inaitwa Fast lane car jamaa alinunua hio gari akaenda nayo off-road ya kawaida maana anasema huko alikoenda gari yoyote ile yenye 4wd inaenda,wkt anarudi kwake gari ikamuwashia check engine light kumbuka mpk hapo gari ina Km 270 tu na ina siku mbili tu tangu imenunuliwa,ikabidi ipelekwe kwa dealers kutengenezwa imerudi tena barabarani jamaa anagundua camera za nyuma hazifanyi kazi na kwa US sheria zao kwa sasa ni camera ya nyuma ni lazima ikabidi irudi kwa dealer tena,na anasema mpk muda ule engineers wa LR hawajaweza kutatua tatizo hilo,hawajui shida iko wapi.
Ni Land rover defender sio toyota, wametoa new model.mkuu si nilisikia Toyota Defender imeshafikia kikomo cha production yani wameacha kabisa kuyatengeneza miaka kadhaa iliyopita ?
Sawa ndugu yangu, lakini unapouza LC milioni 200 ikiwa na tech ya zamani na mwenzako anauza RR kwa milioni 200 ikiwa na tech ya sasa, wewe wa LC utakuwa unatuchezea sasa. Kwanini usiuze tu kwa bei ya zamani kama zilizopita labda uongeze kidogo tu. Nimesema kuna kipindi BBC walikuwa na pick up ambayo imewekwa gorofani sijui jengo ghorofa ngapi lile labda 10, likawa demolished, gari imetolewa inakwenda. RR ingekuwa ishavurugika kitambo. Tuzungumzie price kwa features ili ku justify pricing ya LC na hasa hasa haya wanayotamba nayo viongozi.Mkuu LC series 70 ni heavy duty sasa air suspension sio muhimu. Wao wameweka coil spring mbele na leaf spring nyuma sababu gari itafanya kazi nzito na mazingira magumu.
Hiyo air suspension nenda nayo kwenye njia korofi hata hiyo comfort ride hutoisikia zaidi ya gari kuhamahama.
Mfano ukichukua Lc pick up na L/Rover Defender pick up yenye coil spring mbele na nyuma ukazipa mzigo tani 1 kisha uingie njia mbaya mwisho wa safari mwenye L/Rover lazima ucheki bush na kuna uwezekano wa kukatika spring.
Ni Land rover defender sio toyota, wametoa new model.
Gari haina ata mvuto aisee. Ndio nasema bei yake, bora ununue RR utafurahi. Yaani haya LC yanashindanishwa na Vogue ila naona ata Velar tu inaifanya LC ionekane mkusanyiko wa vyuma.LC 200 ni mbaya kiasi kwamba vijana wetu wa veta wanaweza kudesign a better looking car.
Unatoa 300Mil kwa Land cruiser ipo poorly designed.