cyrustheruler
JF-Expert Member
- Jul 20, 2015
- 2,044
- 1,867
kwenye diplomasia kuna eneo la dplomasia ya ubembelezi i guess utasikia wakina desmond tutu wanapiga kambi hapa kumbembeleza astep down akiringa ndio vile tenaTataendelea kumsihi kwa njia ya amani
ambayo ni tunu ya taifa letu ili aondoke.
afu nadhani ni vyema ukatuwekea ibara nzima
ili tuone kama hakuna kipengere kinachosema
akigoma tufanye nini.