sepema
JF-Expert Member
- Jun 13, 2019
- 591
- 1,000
Salaam wakuu,
Kwanza nitoe angalizo kuwa mada yangu hailengi kuwaondolea heshima wanawake kwani umuhimu wao kwenye jamii zetu umetukuka.
Nimeona niwashirikishe kisa kufupi Cha mwanamke huyu aliyekataa kuolewa na rafiki yangu kwa kuhofia kukosa misaada kwa mchepuko wake.
Unaweza kushangaa lakini ndo ukweli.
Dada mmoja msomi wa kiwango Cha Kati ambaye ameajiriwa chini ya wizara ya afya amegoma kabisa kuolewa na rafiki yangu ambaye nae kwa kipato chake anaweza kuendesha maisha Kama wanandoa wengine.Rafiki yangu alikua serious kweli kutaka kumuoa kutokan naumri kusogea.
Dada huyo amemweleza jamaa kuwa kweli anampenda lakini anashindwa kumwacha huyo mchepuko wake kwani kamfanyia Mambo mengi sana ikiwemo connection ya ajira.
Kilichonishangaza zaidi nikwamba huyo mchepuko wa mdada ni mume wa mtu na alishamwambia yule dada akipata mume aolewe tu kwani hawezi kuoa wake wawili.
Kingine cha ajabu nikwamba walau kwa mshahara namarupurupu yake,dada huyu inakuaje amtegemee mume wamtu hadi asitake kuwa na ndoa yake.
Kwa kuwa huyu rafiki yangu nae alimpenda yule dada na ukizingatia yupo kwenye uhitaji mkubwa wakuoa, amempa yule dada muda wakufikiria ili aone namna yakumwacha huyo mchepuko. Alimwahidi yule dada Kuwa atajitahidi wakioana wafanye maendeleo ambayo hayatatoa nafasi yakujutia maamuzi yake yakumwacha mchepuko.
Mwezi Sasa umekata dada hajarudisha majibu.
Mwisho: huyu dada yupo sahihi kukataa ndoa kisa kuogopa kukatika kwa misaada toka kwa mume wa mtu?
Naamini huyu bado kafungwa kweny fikra za utegemezi, anahitaji ukombozi.
Kwanza nitoe angalizo kuwa mada yangu hailengi kuwaondolea heshima wanawake kwani umuhimu wao kwenye jamii zetu umetukuka.
Nimeona niwashirikishe kisa kufupi Cha mwanamke huyu aliyekataa kuolewa na rafiki yangu kwa kuhofia kukosa misaada kwa mchepuko wake.
Unaweza kushangaa lakini ndo ukweli.
Dada mmoja msomi wa kiwango Cha Kati ambaye ameajiriwa chini ya wizara ya afya amegoma kabisa kuolewa na rafiki yangu ambaye nae kwa kipato chake anaweza kuendesha maisha Kama wanandoa wengine.Rafiki yangu alikua serious kweli kutaka kumuoa kutokan naumri kusogea.
Dada huyo amemweleza jamaa kuwa kweli anampenda lakini anashindwa kumwacha huyo mchepuko wake kwani kamfanyia Mambo mengi sana ikiwemo connection ya ajira.
Kilichonishangaza zaidi nikwamba huyo mchepuko wa mdada ni mume wa mtu na alishamwambia yule dada akipata mume aolewe tu kwani hawezi kuoa wake wawili.
Kingine cha ajabu nikwamba walau kwa mshahara namarupurupu yake,dada huyu inakuaje amtegemee mume wamtu hadi asitake kuwa na ndoa yake.
Kwa kuwa huyu rafiki yangu nae alimpenda yule dada na ukizingatia yupo kwenye uhitaji mkubwa wakuoa, amempa yule dada muda wakufikiria ili aone namna yakumwacha huyo mchepuko. Alimwahidi yule dada Kuwa atajitahidi wakioana wafanye maendeleo ambayo hayatatoa nafasi yakujutia maamuzi yake yakumwacha mchepuko.
Mwezi Sasa umekata dada hajarudisha majibu.
Mwisho: huyu dada yupo sahihi kukataa ndoa kisa kuogopa kukatika kwa misaada toka kwa mume wa mtu?
Naamini huyu bado kafungwa kweny fikra za utegemezi, anahitaji ukombozi.