Uko wapi upinzani waliouasisi Mabere Marando na Lyatonga Mrema?

Uko wapi upinzani waliouasisi Mabere Marando na Lyatonga Mrema?

Hoja hizi ndio za wajinga waliobaki. Wenye akili wanaangalia mambo mengine ya maana.
 
Mwandishi wa bandiko acha kujitoa ufahamu,unajua Kila kitu kuhusu siasa za Tanzania kwa sasa,unaleta bandiko Kama hili ili iweje?

Ajabu Sana,unauliza maswali ambayo majibu unayo ,au umwtumwa?
 
Ulikiwa ni upinzani wenye nguvu, maana walikiwa wakisema kitu kina ukweli ndani yake. Walikuwa wakisema juu ya ufisadi flani unakuta ni 98% hakuna chembe ya uongo hata kidogo. Kama wakisisema leo rais amevaa soksi nyeusi basi ni nyeusi kweli. Hawa watu walikuwa wanatisha.

Leo hii tunakuwa na wapinzani hawana data. Wanaibuia ufisadi wa tril 1.5 bila ushahidi. Wapinzani gani hawa?

Mnakumbuka ngumi zilivyopigwa wakati Nccr Mageuzi inasambaratika? Hawa walikuwa wanaume na miamba ya shoka.
Shem on you tangu lini shushu akawa mpinzani wewe boya unakera
 
Ulikiwa ni upinzani wenye nguvu, maana walikiwa wakisema kitu kina ukweli ndani yake. Walikuwa wakisema juu ya ufisadi flani unakuta ni 98% hakuna chembe ya uongo hata kidogo. Kama wakisisema leo rais amevaa soksi nyeusi basi ni nyeusi kweli. Hawa watu walikuwa wanatisha.

Leo hii tunakuwa na wapinzani hawana data. Wanaibuia ufisadi wa tril 1.5 bila ushahidi. Wapinzani gani hawa?

Mnakumbuka ngumi zilivyopigwa wakati Nccr Mageuzi inasambaratika? Hawa walikuwa wanaume na miamba ya shoka.
Shem on you tangu lini shushu akawa mpinzani wewe boya unakera
 
Watu wanajifikiza huku wewe umekalia majungu!! Utakufwa usicheze corona...kuraaa nyungu ...maana hii ndiyo kauli mbiu ya taifa kwa sasa...

Chanjo za mabeberu hatuzitaki...wajichanje wenyewe !!

CCM oyeeee.....!!
Mbowe ni mwizi wa posho za wabunge wenzake au nasema uongo?

Sent from my Android using JamiiForums mobile app
 
Kwenye ishu ya kuibua masuala ya ufisadi, kwa mtazamo wangu Dr. Wilbrod Slaa, David Kafulila, John Mnyika na Tundu Lissu! Ndiyo ambao walifanya kazi kubwa na hasa wakati serikali ya JK ilipokuwa madrakani.
Muondoe mpuuzi Tundu Lissu
 
Kabla haujau attack upinzani jiulize hivi, hii ndiyo nchi aliyotuachia Mwl Nyerere?? nchi iliyoheshimika kwa kulinda haki za raia, nchi ambayo iliheshimika kwa kuheshimu Demokrasia, Nchi ambayo pamoja na umasikini wake lkn viongozi wake waliheshimika kote duniani
 
Mbona upinzani huu wa Lissu ulihoji uhalali wa vitambulisho vya machinga hadi boss wenu akasema havina umuhimu ila yeye ndio aliviasisi

Hivi kitambulisho hakina hata picha wala jina unaweza kuombea mkopo Benki ?
 
Ulikiwa ni upinzani wenye nguvu, maana walikiwa wakisema kitu kina ukweli ndani yake. Walikuwa wakisema juu ya ufisadi flani unakuta ni 98% hakuna chembe ya uongo hata kidogo. Kama wakisisema leo rais amevaa soksi nyeusi basi ni nyeusi kweli. Hawa watu walikuwa wanatisha.

Leo hii tunakuwa na wapinzani hawana data. Wanaibuia ufisadi wa tril 1.5 bila ushahidi. Wapinzani gani hawa?

Mnakumbuka ngumi zilivyopigwa wakati Nccr Mageuzi inasambaratika? Hawa walikuwa wanaume na miamba ya shoka.
Iko wapi ile CCM iliyokuwa inaheshimu demokrasia, iliyokuwa inaheshimu haki za binadamu, inaheshimu uhuru wa maoni? CCM ya Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete?
 
Kwani Chama Cha mrema kiko wapi na Mrema yuko wapi, tuanzie hapo kwanza
 
Mbona upinzani huu wa Lissu ulihoji uhalali wa vitambulisho vya machinga hadi boss wenu akasema havina umuhimu ila yeye ndio aliviasisi

Hivi kitambulisho hakina hata picha wala jina unaweza kuombea mkopo Benki ?
Tulia.
 
Siasa ni Biashara.

Covid 19 weeek chache kabla ya kufika gereji ya bunge waliitwa Wanawake wa Shoka

Leo hii ni wachumia Tumbo.

Jiulizeni nani asiechumia Tumbo lake? Nani ataki maisha mazuri?
 
Ulikiwa ni upinzani wenye nguvu, maana walikiwa wakisema kitu kina ukweli ndani yake. Walikuwa wakisema juu ya ufisadi flani unakuta ni 98% hakuna chembe ya uongo hata kidogo. Kama wakisisema leo rais amevaa soksi nyeusi basi ni nyeusi kweli. Hawa watu walikuwa wanatisha.

Leo hii tunakuwa na wapinzani hawana data. Wanaibuia ufisadi wa tril 1.5 bila ushahidi. Wapinzani gani hawa?

Mnakumbuka ngumi zilivyopigwa wakati Nccr Mageuzi inasambaratika? Hawa walikuwa wanaume na miamba ya shoka.

upinzani saaahv ni nani anapata ruzuku kubwa
 
Back
Top Bottom