August_Shao
Senior Member
- Nov 23, 2007
- 164
- 47
Jamani naombeni msaada wenu.....Nina miaka yapata 12 sasa nina allergy ya ajabu sana. nimejaribu kutumia dawa lakini sipati majibu mazuri, dawa zote unazozifahamu za allergy hapa dunia nimetumia but still I got nothing.
Tatizo langu ni kwamba kila ninapogusa Maji huwa ninawashwa sana kwa muda wa dakika kama 15 hadi 20. na hii ni kila siku ya Mungu. Sasa naombeni mtu mwenye msaada wowote anisaidie hapa kwani nimemaliza kila aina za medication.
Tatizo langu ni kwamba kila ninapogusa Maji huwa ninawashwa sana kwa muda wa dakika kama 15 hadi 20. na hii ni kila siku ya Mungu. Sasa naombeni mtu mwenye msaada wowote anisaidie hapa kwani nimemaliza kila aina za medication.