winlicious
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,009
- 1,156
Niliju ni Mimi tu mpaka nikahisi kizunguzunguDuuu nimeshindwa kukuelewa kwa asilimia mia
Niliju ni Mimi tu mpaka nikahisi kizunguzunguDuuu nimeshindwa kukuelewa kwa asilimia mia
Kumbe ndo mchezo wake eehUsiwe unasikiliza story za wakubwa....
Utaathirika kisaikolojia...
Watoto wa siku hizi utawaweza? They got there own definition.Kumbe ndo mchezo wake eeh
Wameshindikana hawa....Watoto wa siku hizi utawaweza? They got there own definition.
nyooooKuna dem mmoja 2008 nilisex nae tena mara 1tuu akabeba mimba ilikuwa balaa ilinipelekea adi nikaekwa ndani police nilipo toka niliondoka ilikua mwanza nikarudi zangu moshi tulipotezana mpaka 2012 tulipokuja kupata mawasiliano nikawa natuma matumizi nilimwambia tayari nimeoa ilikua mwaka 2014 nikiwa kikaz luduwa aliniambia ananiletea mtoto nimsomeshe kiukweli alimleta niliwachukulia lorge maana mm pia nilikua niishi hapo usiku nilienda waaga rum Kuna vitu vya mtoto alikua akaniambia hadi mtoto akalala sasa ci akanisogelea nikakuta nimepiga nilipo piz nilijilaum sana nikatoka spid kurud rum alikaa pale siku Tatu sikuenda tena rum adi anaondoka nikabaki na mtoto nikampeleka moshi sasa nikiwa Dar huku ni mwaka kila siku akaniambia tuonene cjawah kubal juzi ananipigia anashida na mm niende kwake mm sitaki kabisa
Haaaa haaaaa kaka Huo utakuwa udhaifu wako tu MkuuKuna dem mmoja 2008 nilisex nae tena mara 1tuu akabeba mimba ilikuwa balaa ilinipelekea adi nikaekwa ndani police nilipo toka niliondoka ilikua mwanza nikarudi zangu moshi tulipotezana mpaka 2012 tulipokuja kupata mawasiliano nikawa natuma matumizi nilimwambia tayari nimeoa ilikua mwaka 2014 nikiwa kikaz luduwa aliniambia ananiletea mtoto nimsomeshe kiukweli alimleta niliwachukulia lorge maana mm pia nilikua niishi hapo usiku nilienda waaga rum Kuna vitu vya mtoto alikua akaniambia hadi mtoto akalala sasa ci akanisogelea nikakuta nimepiga nilipo piz nilijilaum sana nikatoka spid kurud rum alikaa pale siku Tatu sikuenda tena rum adi anaondoka nikabaki na mtoto nikampeleka moshi sasa nikiwa Dar huku ni mwaka kila siku akaniambia tuonene cjawah kubal juzi ananipigia anashida na mm niende kwake mm sitaki kabisa
hilo nalo swaliMkuu unahitaji pole,hongera au ushauri?