Ukizaa na mwanamke hamuwezi achana

Ukizaa na mwanamke hamuwezi achana

manSniper

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2015
Posts
814
Reaction score
683
Kuna msichana mmoja 2008 nilifanya nae mapenzi tena mara 1tu akabeba mimba ilikuwa balaa ilinipelekea hadi nikaekwa ndani police nilipo toka niliondoka ilikua mwanza nikarudi zangu Moshi.

Tulipotezana mpaka 2012 tulipokuja kupata mawasiliano nikawa natuma matumizi nilimwambia tayari nimeoa ilikua mwaka 2014 nikiwa kikazi Luduwa aliniambia ananiletea mtoto nimsomeshe kiukweli alimleta niliwachukulia lorge maana mimi pia nilikua siishi hapo.

Usiku nilienda kuwaaga chumbani kuna vitu vya mtoto alikua akaniambia hadi mtoto akalala sasa sii akanisogelea nikakuta nimepiga nilipo pizi nilijilaumu sana nikatoka spidu kurudu chumbani alikaa pale siku Tatu.

Sikwenda tena chumbani hadi anaondoka nikabaki na mtoto nikampeleka Moshi sasa nikiwa Dar huku ni mwaka kila siku akaniambia tuonane sjawah kubali juzi ananipigia anashida na mimi niende kwake mimi sitaki kabisa.
 
Kuna dem mmoja 2008 nilisex nae tena mara 1tuu akabeba mimba ilikuwa balaa ilinipelekea adi nikaekwa ndani police nilipo toka niliondoka ilikua mwanza nikarudi zangu moshi tulipotezana mpaka 2012 tulipokuja kupata mawasiliano nikawa natuma matumizi nilimwambia tayari nimeoa ilikua mwaka 2014 nikiwa kikaz luduwa aliniambia ananiletea mtoto nimsomeshe kiukweli alimleta niliwachukulia lorge maana mm pia nilikua niishi hapo usiku nilienda waaga rum Kuna vitu vya mtoto alikua akaniambia hadi mtoto akalala sasa ci akanisogelea nikakuta nimepiga nilipo piz nilijilaum sana nikatoka spid kurud rum alikaa pale siku Tatu sikuenda tena rum adi anaondoka nikabaki na mtoto nikampeleka moshi sasa nikiwa Dar huku ni mwaka kila siku akaniambia tuonene cjawah kubal juzi ananipigia anashida na mm niende kwake mm sitaki kabisa
Duuu nimeshindwa kukuelewa kwa asilimia mia
 
Kuna vitu vya mtoto alikua akaniambia hadi mtoto akalala sasa ci akanisogelea nikakuta nimepiga nilipo piz nilijilaum sana nikatoka spid kurud rum alikaa pale siku Tatu sikuenda tena rum adi anaondoka nikabaki na mtoto a
HAPO MBONA KAMA HUJAELEWEKA
 
Kuna dem mmoja 2008 nilisex nae tena mara 1tuu akabeba mimba ilikuwa balaa ilinipelekea adi nikaekwa ndani police nilipo toka niliondoka ilikua mwanza nikarudi zangu moshi tulipotezana mpaka 2012 tulipokuja kupata mawasiliano nikawa natuma matumizi nilimwambia tayari nimeoa ilikua mwaka 2014 nikiwa kikaz luduwa aliniambia ananiletea mtoto nimsomeshe kiukweli alimleta niliwachukulia lorge maana mm pia nilikua niishi hapo usiku nilienda waaga rum Kuna vitu vya mtoto alikua akaniambia hadi mtoto akalala sasa ci akanisogelea nikakuta nimepiga nilipo piz nilijilaum sana nikatoka spid kurud rum alikaa pale siku Tatu sikuenda tena rum adi anaondoka nikabaki na mtoto nikampeleka moshi sasa nikiwa Dar huku ni mwaka kila siku akaniambia tuonene cjawah kubal juzi ananipigia anashida na mm niende kwake mm sitaki kabisa

asante kwa hadithi nzuri inatufundisha nini
 
Nimependa story yako ila nimependa zaidi uandishi wako aseee..changamoto
 
Kuna dem mmoja 2008 nilisex nae tena mara 1tuu akabeba mimba ilikuwa balaa ilinipelekea adi nikaekwa ndani police nilipo toka niliondoka ilikua mwanza nikarudi zangu moshi tulipotezana mpaka 2012 tulipokuja kupata mawasiliano nikawa natuma matumizi nilimwambia tayari nimeoa ilikua mwaka 2014 nikiwa kikaz luduwa aliniambia ananiletea mtoto nimsomeshe kiukweli alimleta niliwachukulia lorge maana mm pia nilikua niishi hapo usiku nilienda waaga rum Kuna vitu vya mtoto alikua akaniambia hadi mtoto akalala sasa ci akanisogelea nikakuta nimepiga nilipo piz nilijilaum sana nikatoka spid kurud rum alikaa pale siku Tatu sikuenda tena rum adi anaondoka nikabaki na mtoto nikampeleka moshi sasa nikiwa Dar huku ni mwaka kila siku akaniambia tuonene cjawah kubal juzi ananipigia anashida na mm niende kwake mm sitaki kabisa
Hebu punguza mchecheto. Tulia ili ueleze vizuri
 
Mbona wengi wameachana.

Kwa mtu mwingine kuzaa na wewe sio tija
 
Back
Top Bottom