Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,812
- 156,946
Kumbe hunaga akkili kiasi hiki?Hawa jamaa ni matapeli sana!
Mbowe aliwaambia wasitoke nje ya dodoma kwa siku 14 ili kama wana maambukizi wasiwaplekee wananchi wao.
Makonda leo kawatekenya kila mtu kajua walipo
Mjini akili nguvu kijijini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua leo kuwa unakichwa chenye nyasi na sio nywele
Sent using Jamii Forums mobile app