Ukiyaona haya magari-chunguza and take care!!

Shame.utafikiria hakuna traffic police barabarani
 
Shame.utafikiria hakuna traffic police barabarani

Polisi wapo wameliona na walilikamata isipokuwa tayari wameshachukua chao wamaweka mifukoni wakaliachia. Cha ajabu wanashindwa kujua hicho walichochukua kitawatafuna wenyewe endapo maafa yatasababishwa na ajali inayoweza kutokea. Halafu polisi au mtu aliyesababisha akiandamwa na mabalaa anasema amemlogwa kumbe kajiloga mwenyewe.

 
Kweli hii afrika...kila uozo wetu sie why jaman

Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…