Ukiwasikiliza vizuri wazee hawa Lowassa, Sumaye na Membe utagundua kuwa vyama vyote vya Upinzani ni mali ya CCM

Unajua watu wanaoviponda vyama vya upinzani mimi huwashangaa kwa sababu hakuna hata mmoja, hasa kutoka chama tawala, ambaye ameonyesha ubavu wa kuanzisha huo upinzani imara. Mimi watu kama akina Zitto, Mbowe na wengine nawakubali sana kwa uthubutu wa kutenda wakati wengine wamekalia kulia lia tuu oooh Tanzania hakuna upinzani wa kweli oooh wapinzani wana uchu wa madaraka but zaidi ya hizo lawama wao wamekunja mikono, pengine yuko kaunta na konyagi yake na simu yake wana comments kirahisi tuu.
 
Kuna wakati Nape Nnauye akiwa Katibu wa uenezi wa CCM aliwahi kutoa siri kwa kusema Katibu mkuu wa Chadema wakati ule Dr Slaa alikuwa bado anamiliki kadi ya CCM na yeye Nape akamlipia Ada ya uanachama hadi 2020

Mzee Lowassa aliwahi kusema hajawahi kuihama CCM.

Mzee Sumaye akasema alienda Chadema ili kuifanya CCM isilale usingizi.

Membe anasema hajawahi kuhama CCM.

Ukiwasoma vizuri hawa wastaafu utagundua kuwa Upinzani wa Tanzania ni wa bandia na ndio maana hayati Magufuli alividharau sana vyama vya upinzani vyenye kimbelembele.

Mungu ni mwema wakati wote!
Upinzani wa Tanzani ni BANDIA Original
 
Nimekosa la kufanya mbali ya kukupa hiyo 'wow'! kwa mada yako hii, ambayo inanilazimu niseme kwa mara ya kwanza umenishawishi nikupe 'like'!

Lakini upungufu pekee wa mada yako unapoonekana ni kutoandika chochote kuhusu 'ungangari' waliokutana nao hao watu walipojaribu kuifuta CHADEMA.

WOTE WAMESHINDWA!

Na sasa chama hicho kinaelekea kuwa tisio kwa uhai wa CCM.

Kwa hiyo nakupa nafasi ya kutafakari ili siku nyingine uje na mada ambayo sitakuwa na shida kabisa ya kukupa 'like', hata "Love" kabisa, kama utaweza kuiwasilisha mada inayochambua kushindwa kwa hao wote uliowataja na wengineo kwa kushindwa kwao katika harakati hiyo.

Isingekuwa unazi wako ulioteka akili yote, nadhani chembechembe za u-GT unazo kichwani mwako. Itazame TANZANIA, achana na hizo takataka nyingine.
Mbowe hatakiwi kufutwa kabisa, kwa maslahi ya ccm......ye anabaki kule 'kuweka mambo sawa'! Kinachofanyika ni kuwekewa miundombinu tu ili aendelee kuwepo na 'uzalishaji uendelee'. Uzalishaji huu huleta 'dunia' pamoja. Wenye akili watanielewa, uliyekosa karibu kutukana!
 
No need beating about the bush. Achana na kauli ya ubabaishaji ya “vyama vya upinzani”. Taja CHADEMA. Hiyo ndiyo homa ya siasa za Tanzania. Ndiyo movement iliyotibua mpango wa dola kuunda vyama “rafiki” vya upinzani modeli ya UDP, TLP na NCCR.

Magufuli hakuwahi kuidharau CHADEMA. Alikuwa anaishi katika kivuli cha hofu ya nguvu ya kisiasa ya CHADEMA. Siku zote alitawala nchi akitumia propaganda, muda na nguvu nyingi kuzima viashiria vya uwepo wa “CHADEMA” katika jamii ya Watanzania. Tatizo, CHADEMA ndio sauti mbadala wa serikali hata ndani ya CCM. Haizimiki kirahisi kwa porojo za wazee wa fursa wa CCM.

Kuhusu kadi ya CCM, wahenga karibu wote wanayo tangu enzi za chama kimoja, lakini mfu. CCM ingekuwa inafuata maadili yake kadi nyingi zingeshafutwa.

Habari ya Membe na ACT ilikuwa comedy tu. Alitokeza muda mfupi na kupotea mapema sana zilipoanza kampeni za 2020.
Mbona unajistukia 'kamanda'?!!!!
 
Kuna wakati Nape Nnauye akiwa Katibu wa uenezi wa CCM aliwahi kutoa siri kwa kusema Katibu mkuu wa Chadema wakati ule Dr Slaa alikuwa bado anamiliki kadi ya CCM na yeye Nape akamlipia Ada ya uanachama hadi 2020

Mzee Lowassa aliwahi kusema hajawahi kuihama CCM.

Mzee Sumaye akasema alienda Chadema ili kuifanya CCM isilale usingizi.

Membe anasema hajawahi kuhama CCM.

Ukiwasoma vizuri hawa wastaafu utagundua kuwa Upinzani wa Tanzania ni wa bandia na ndio maana hayati Magufuli alividharau sana vyama vya upinzani vyenye kimbelembele.

Mungu ni mwema wakati wote!
Magufuli yule naye!
 
Kuna wakati Nape Nnauye akiwa Katibu wa uenezi wa CCM aliwahi kutoa siri kwa kusema Katibu mkuu wa Chadema wakati ule Dr Slaa alikuwa bado anamiliki kadi ya CCM na yeye Nape akamlipia Ada ya uanachama hadi 2020

Mzee Lowassa aliwahi kusema hajawahi kuihama CCM.

Mzee Sumaye akasema alienda Chadema ili kuifanya CCM isilale usingizi.

Membe anasema hajawahi kuhama CCM.
Mungu ni mwema wakati wote!
Vyama vya Upinzani Tuna cha Kujifunza

 
No need beating about the bush. Achana na kauli ya ubabaishaji ya “vyama vya upinzani”. Taja CHADEMA. Hiyo ndiyo homa ya siasa za Tanzania. Ndiyo movement iliyotibua mpango wa dola kuunda vyama “rafiki” vya upinzani modeli ya UDP, TLP na NCCR.

Magufuli hakuwahi kuidharau CHADEMA. Alikuwa anaishi katika kivuli cha hofu ya nguvu ya kisiasa ya CHADEMA. Siku zote alitawala nchi akitumia propaganda, muda na nguvu nyingi kuzima viashiria vya uwepo wa “CHADEMA” katika jamii ya Watanzania. Tatizo, CHADEMA ndio sauti mbadala wa serikali hata ndani ya CCM. Haizimiki kirahisi kwa porojo za wazee wa fursa wa CCM.

Kuhusu kadi ya CCM, wahenga karibu wote wanayo tangu enzi za chama kimoja, lakini mfu. CCM ingekuwa inafuata maadili yake kadi nyingi zingeshafutwa.

Habari ya Membe na ACT ilikuwa comedy tu. Alitokeza muda mfupi na kupotea mapema sana zilipoanza kampeni za 2020.
Mbona hawataki kuruhusu mikutano ya hadhara na tume huru ya uchaguzi kama ni kweli hakuna upinzani? wapuuzi wakubwa
 
Kuna wakati Nape Nnauye akiwa Katibu wa uenezi wa CCM aliwahi kutoa siri kwa kusema Katibu mkuu wa Chadema wakati ule Dr Slaa alikuwa bado anamiliki kadi ya CCM na yeye Nape akamlipia Ada ya uanachama hadi 2020

Mzee Lowassa aliwahi kusema hajawahi kuihama CCM.

Mzee Sumaye akasema alienda Chadema ili kuifanya CCM isilale usingizi.

Membe anasema hajawahi kuhama CCM.

Ukiwasoma vizuri hawa wastaafu utagundua kuwa Upinzani wa Tanzania ni wa bandia na ndio maana hayati Magufuli alividharau sana vyama vya upinzani vyenye kimbelembele.

Mungu ni mwema wakati wote!
Aliyetudharau na sisi tulimdharau na hatimaye Muumba akamdharau na akampeleka jehanam
 
Kuna wakati Nape Nnauye akiwa Katibu wa uenezi wa CCM aliwahi kutoa siri kwa kusema Katibu mkuu wa Chadema wakati ule Dr Slaa alikuwa bado anamiliki kadi ya CCM na yeye Nape akamlipia Ada ya uanachama hadi 2020

Mzee Lowassa aliwahi kusema hajawahi kuihama CCM.

Mzee Sumaye akasema alienda Chadema ili kuifanya CCM isilale usingizi.

Membe anasema hajawahi kuhama CCM.

Ukiwasoma vizuri hawa wastaafu utagundua kuwa Upinzani wa Tanzania ni wa bandia na ndio maana hayati Magufuli alividharau sana vyama vya upinzani vyenye kimbelembele.

Mungu ni mwema wakati wote!
Alividharau wp wkt vilimtoa jasho mpaka kupelekea kupora uchaguzi 2020
 
Kuna wakati Nape Nnauye akiwa Katibu wa uenezi wa CCM aliwahi kutoa siri kwa kusema Katibu mkuu wa Chadema wakati ule Dr Slaa alikuwa bado anamiliki kadi ya CCM na yeye Nape akamlipia Ada ya uanachama hadi 2020

Mzee Lowassa aliwahi kusema hajawahi kuihama CCM.

Mzee Sumaye akasema alienda Chadema ili kuifanya CCM isilale usingizi.

Membe anasema hajawahi kuhama CCM.

Ukiwasoma vizuri hawa wastaafu utagundua kuwa Upinzani wa Tanzania ni wa bandia na ndio maana hayati Magufuli alividharau sana vyama vya upinzani vyenye kimbelembele.

Mungu ni mwema wakati wote!
Kwa usahihi zaidi ni kwamba tuna vyama vingi ndani ya mfumo wa chama kimoja. Kila chama cha upinzani kinapofurukuta kinajikuta kinabanwa na chama kimoja - CCM bado inashika hatamu kidola!
 
Back
Top Bottom