Ukiwa Zanzibar Ni Rahisi Kuiona Tanganyika!

Ukiwa Zanzibar Ni Rahisi Kuiona Tanganyika!

babalao 2

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
5,426
Reaction score
3,308
Kwa jinsi WanaZanzibar wanavyoripoti Habari Zao zinati ukakasi kwa Upande wa pili wa Muungano hebu soma hii kwa kina.

FREE ZANZIBAR PEOPLE
FROM MKOLONI MWEUSI

Home
View web version
Monday, February 3, 2014

FREE ZANZIBAR PEOPLE FROM MKOLONI MWEUSI
at 8:03 AM
1399439260745.jpg

NCHINI ZANZIBAR RAI WAWILI
WANAOSADIKIWA KUWA NI
WAFARANSA WAMEULIWA NA
KUFUKIWA KATIKA KISIMA CHA MAJI
JE PASPOTI ZITARUDISHWA ILI WAJULIKANE
WANAOINGIA NCHINI MWETU ZANZIBAR AU NDIO
MUUNGANO FEKI UDUMU WANYATURU WANAINGIA
WATAKAVYO WAKIUWA WATAKAVYO NA KUIBA
WATAKAVYO ATI NCHI HII INA MAMLAKA KAMILI TOKA
1964 YAGUJUUU SEMANI KWELI KUWA NCHI HII
IMEFANYWA JAAA LA KILA MACHAFU TOKA MWAKA
1964 HUO NDIO UKWELI WA MAMBO.
Nchini Zanzibar ni Aibu na masikitiko makubwa ya
kuliwa wafaransa wawili. Kikosi cha Zimamoto na
Uokoaji (KZU) na Polisi wa MKOLONI MWEUSI
TANGANYIKA wamefanikiwa kuvunja zege lililokuwa
limejengwa kufunika kisima walichotupwa raia wawili
wa Ufaransa, baada ya kuuawa na kupata sehemu za
miili yao ikiwamo fuvu la kichwa.
Ikielezwa kwamba waliotekeleza unyama huo walilenga
kupora nyumba na kiasi kikubwa cha fedha
walichokuwa nacho Wazungu hao.
Akizungumza na Mwandishi wetu wa siri jana,
Mkurugenzi na Makosa ya Jinai nchini Zanzibar (DCI)
Yussuf Illembo, alisema kuwa hadi jana mchana,
mifupa miwili ya mapaja, fuvu la kichwa na miwili ya
mbavu imepatikana kutoka ndani ya kisima hicho.
Alisema kwamba Kikosi Kazi cha Uokoaji kinaendelea
kufanya kazi eneo hilo la Matemwe lililopo Shehia ya
Kaskazini, Mkoa wa Kaskazini Unguja.
“Kazi bado ni ngumu, tunaendelea kuzamia ndani ya
kisima na itakapokamilika tutatoa taarifa. Tuacheni
kwanza tufanye kazi hii nzito na ngumu kwa wakati
huu,” aliomba DCI Illembo.
Zoezi hilo lilifanyika huku likishuhudiwa na ofisa mmoja
wa Ubalozi wa Ufaransa nchini na kuelezwa kuwa
marehemu hao walinunua eneo la ardhi na nyumba kwa
Sh150 milioni kwa kutumia jina moja la mzawa wa nchi
ya Zanzibar, kutokana na sheria kutoruhusu wageni
kumiliki ardhi nchini humo Zanzibar.
Watu hao, Francios Chererobert Daniel , aliyekuwa
mtumishi mstaafu wa ngazi za juu wa Serikali ya
Ufaransa na mkewe Brigette Mary, walipotea tangu
Desemba 27 mwaka jana.
Baadaye taarifa za kupotea kwa watu hao zilifikishwa
Polisi ndipo msako wa kuwatafuta ulipoanza na
baadaye kugundulika kuwa, kuna watu wameuawa na
miili yao kutupwa katika kisima cha maji kilichopo
ndani ya ua wa nyumba hiyo.
Hata hivyo, baadhi ya waokoaji na mashuhuda wa tukio
hilo, walimuambia Muandishi wetu kwamba sehemu
hizo za mwili zinazosadikiwa kuwa za Wafaransa hao,
zimefukuliwa baada ya kazi kubwa ya kuvunja zege
kwa kutumia mashine maalumu inayofanywa na Kikosi
cha Zimamoto na Uokoaji kwa kushirikiana na wakazi
wa eneo hilo zege ambalo inasadikiwa lilimwangiwa juu
ya maiti hizo baada ya kuuliwa.
“Tumefanikiwa kutoa sehemu ya miili, imehifadhiwa
katika Hospitali ya Mnazi Mmoja,” alisema mmoja wa
mashuhuda ambaye alitaka jina lake lisiandikwe.
Alisema kuwa kazi ya kuvunja zege hilo ilikuwa ngumu,
walilazimika kuwachukua vijana wengine raia wa
kawaida ili kuifanikisha.
Akielezea mazingira waliyokutana nayo chini ya kisima
walichotupwa Wafaransa hao baada ya kuuliwa,
alisema kuwa baada ya zege kuvunjwa walikuta nguo
nyingi zimejazwa chini yake na juu yake kujengwa zege
hilo kabla ya kumwagwa saruji isiyochanganywa na kitu
ili kufunika kisima kwa lengo la kupoteza ushahidi.
Hata hivyo, vyanzo vya habari vinaeleza kuwa zoezi hilo
lililazimika kusitishwa kutokana na sehemu ya chini ya
kisima kupita mkondo wa maji ya bahari, hivyo
kulazimika kutafuta mashine ya kuvuta maji nchi
imefisidika mpaka hai hata mashine ya kuvutia maji
inasikitisha sana alisema mashuhuda moja.
“Kazi hiyo ikiweza kufanyika ndipo tutakapoweza
kwenda katika kina kirefu zaidi cha kisima hicho ili
kukusanya mifupa. Tukipata idadi ya mifupa na mafuvu
yote, tutaweza kujua waliouawa ni wangapi,” kilieleza
chanzo kimoja kingine.
Habari zilizopatikana zinaeleza kuwa siri ya mauaji
hayo ni baadhi ya watu wasio julikana kama ni
Wazanzibari au ni Mijitu yakutoka nchi nyengine iliyo
jaa humu nchini mwetu Zanzibar kwa faidi ya
MUNGANO FEKI na MAPINDUZI DAIMA kutaka kupora
nyumba, waliyokuwa wakiishi Wafaransa hao pamoja
na fedha zinazodaiwa walikuwa nazo raia hao wa
kigeni wakitaka kununua eneo la kujenga hoteli kwenye
ufukwe wa Urowa.
Inelezwa kuwa kabla ya kuingia nchini Zanzibar,
Wafaransa hao walifikia Nairobi nchini Kenya ambako
walitaka kujenga Hoteli lakini inadaiwa kuwa mmoja wa
wanasiasa wakongwe nchini humo aliwashauri kuja
nchini Zanzibar kuishi na kuwekeza maana Zanzibar
hakuna cha sheria pesa yako tu basi mambo poa.
Taarifa zaidi kutoka ndani ya Jeshi la Polisi la
MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA zinaeleza kuwa
mazingira ya tukio hilo yanaonyesha kuwa kabla ya
watu hao kuuwawa, mbwa wao aliyekuwa akifahamika
kwa jina la Allan, alipewa chakula chenye sumu na kufa
na kwamba sehemu ya mabaki ya chakula hicho
yaliliwa na mbwa wa jirani ambaye pia alikufa huu
kweli ni uchunguzi hata mtoto wa darasa lapili
anaweza kujuwa uchunguzi huu.
Aidha, mifuko mitupu ya saruji inayosadikiwa kutumika
katika ujenzi wa zege la kisima hicho, imeokotwa
nyuma ya ukuta wa nyumba hiyo waliyokuwa wakiishi
Wafaransa hao.
MZEE ABEID AMANI KARUME
OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE.
JULIUS NYERERE BABA WA WATANGANYIKA
OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE.
AFRO FISADI INAENDELEA KUIFISI
ZANZIBAR,WAZANZIBARI NA WAGENI
OYEEEEEEEEEEEEEEE.
MAPINDUZI DAIMA OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE.
MUUNGANO FEKI OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE.
MUKIONA TUNAWAUWA SANA HAMENI
OYEEEEEEEEEEEEEE.
NCHI HII INA MAMLAKA KAMILI TOKA MWAKA 1964
OYEEEEEEEE.
 
duh kama hujaongeza kitu hawa jamaa ni shida katika kuriport issues!
 
duh kama hujaongeza kitu hawa jamaa ni shida katika kuriport issues!

Mkuu ukiwa Tanganyika ccm wanakuuliza Tanganyika ipi? Ukiwa Zanzibar Huoni Muungano unaona Tanganyika na Zanzibar
 
Wajinga kabisa. Kwa hiyo wanashabikia ukatili waliofanyiwa hao raia wasio na hatia?

Hamna akili kabisa hapo. Afadhali Tanganyika iendeleze tu hilo koloni maana bado hawajawa na ufahamu wa kujitawala.
 
Wajinga kabisa. Kwa hiyo wanashabikia ukatili waliofanyiwa hao raia wasio na hatia?

Hamna akili kabisa hapo. Afadhali Tanganyika iendeleze tu hilo koloni maana bado hawajawa na ufahamu wa kujitawala.

Si wajinga au wanashabikia ila wewe Kiswahili hukijui. 📓
 
Bila Tanganyika kero za muungano hazitaisha
 
Tanganyika yetu .mhimu km Zanzibar ilivyokua na mhimu kwa wazanzibar
 
Wafaransa waliuliwa na Wazanzibari tena wenyeji wa hapo Matemwe, tena zaidi wenye asili ya Pemba, wapo jela Daressalaam baada ya Serikali ya Muungano pamoja na Serikali ya Ufaransa kulishughulikia swala hilo, la sivyo ingekuwa kama kawaida ya Zanzibar ya eti siku zote kuficha ukweli na kusingizia eti Wabongo au Wabara. Wazanzibari hao Bwana AHMED CHIMEDI na Kaka ya wa kuzaliwa wanamiliki mali nyingi na nyingi wamejipatia kwa unyang'anyi kwa Wageni, wamekuwa wakishirikiana na baadhi ya viongozi walafi wa visiwani kupora vya watu eti kutetea uzalendo na Uzanzibari, mfano hoteli ya NYOTA LODGE ya hapo Matemwe ilipata kesi ya miaka mingi kwani mmiliki wake raia wa Italia hajakubali kirahisi anyang'anywe na huyo huyo Chimedi Mpemba, na nyingine ya Minchamvi Kae nayo pia alijipatia kwa dhulma.

Wafaransa hao walinunua nyumba toka kwake ikiwa hiyo nyumba alishauza kwa mwekezaji mwingine alieondoka kidogo lakini alikuwa anakaribia kurudi.
Wafaransa kweli walimuona kama kijana mwema na kwa uweupe wa Upemba wake alionekana bora zaidi ya wenzake.
Walimpa mkataba wa uridhi kama wazee hao wakija kufa uzeeni basi Ahmed Chimedi angeridhi Hoteli pwani ya Urao inayokaribia kuisha, Nyumba hiyo ya ghorofa beach, magari yao na pesa nyingi na teyari yeye ndie alikuwa anawafanyia shuguli zote za kibenki na manunuzi na kwa alivyokuwa mtu wa kunywa sana pombe alihadisia mara kadhaa kuwa anatia panga la hatari.
Chimedi huyo Rasta maarufu sana mwekundu na mfupi, hakuwalea wazee wake bali aliwauwa kinyama, akishiriakiana na marafiki zake wa karibu, na kupoteza ushahidi kwa kuwazika usiku nyuma ya nyumba, mifuko 20 ya saruji alimimina kwenye kisima.
Zanzibar kumekucha kwa uhalifu wa Wazanzibari wenyewe ila kila baya linalotokea wanawasingizia wabara, na polisi ambao wana bendera ya Tanzania nao pia huwakamata Wabara tu.
 
Wafaransa waliuliwa na Wazanzibari tena wenyeji wa hapo Matemwe, tena zaidi wenye asili ya Pemba, wapo jela Daressalaam baada ya Serikali ya Muungano pamoja na Serikali ya Ufaransa kulishughulikia swala hilo, la sivyo ingekuwa kama kawaida ya Zanzibar ya eti siku zote kuficha ukweli na kusingizia eti Wabongo au Wabara. Wazanzibari hao Bwana AHMED CHIMEDI na Kaka ya wa kuzaliwa wanamiliki mali nyingi na nyingi wamejipatia kwa unyang'anyi kwa Wageni, wamekuwa wakishirikiana na baadhi ya viongozi walafi wa visiwani kupora vya watu eti kutetea uzalendo na Uzanzibari, mfano hoteli ya NYOTA LODGE ya hapo Matemwe ilipata kesi ya miaka mingi kwani mmiliki wake raia wa Italia hajakubali kirahisi anyang'anywe na huyo huyo Chimedi Mpemba, na nyingine ya Minchamvi Kae nayo pia alijipatia kwa dhulma.

Wafaransa hao walinunua nyumba toka kwake ikiwa hiyo nyumba alishauza kwa mwekezaji mwingine alieondoka kidogo lakini alikuwa anakaribia kurudi.
Wafaransa kweli walimuona kama kijana mwema na kwa uweupe wa Upemba wake alionekana bora zaidi ya wenzake.
Walimpa mkataba wa uridhi kama wazee hao wakija kufa uzeeni basi Ahmed Chimedi angeridhi Hoteli pwani ya Urao inayokaribia kuisha, Nyumba hiyo ya ghorofa beach, magari yao na pesa nyingi na teyari yeye ndie alikuwa anawafanyia shuguli zote za kibenki na manunuzi na kwa alivyokuwa mtu wa kunywa sana pombe alihadisia mara kadhaa kuwa anatia panga la hatari.
Chimedi huyo Rasta maarufu sana mwekundu na mfupi, hakuwalea wazee wake bali aliwauwa kinyama, akishiriakiana na marafiki zake wa karibu, na kupoteza ushahidi kwa kuwazika usiku nyuma ya nyumba, mifuko 20 ya saruji alimimina kwenye kisima.
Zanzibar kumekucha kwa uhalifu wa Wazanzibari wenyewe ila kila baya linalotokea wanawasingizia wabara, na polisi ambao wana bendera ya Tanzania nao pia huwakamata Wabara tu.

Na huu ndio ukweli.
 
Mkuu ukiwa Tanganyika ccm wanakuuliza Tanganyika ipi? Ukiwa Zanzibar Huoni Muungano unaona Tanganyika na Zanzibar

unajua ukisimama magogoni huwezi kuiona Tanganyika, ila ukiwa unguja, Tanganyika inaonekana hii hapa kabisa.
 
Mkuu babalao 2, kwa hakika ikiwa wewe ni mfuasi wa muungano ambae hupendi kuuona ukivunjika, basi usiwe unaangalia au kufuatilia maoni ya wenzetu kutoka visiwani hususani wale CUF... lazima utakasirika tu na kutamka, potelea mbali, kama hivi ndivyo basi na muungano wenyewe uvujike tu!!! Mimi ni mfuasi sugu wa muungano lakini kila ninapowasikiliza naishia kusema "kama mbwai, mbwai tu!"

Juzi nilimisikia Duni Haji kwenye kongamano la Tanzania Tunayoitaka... yule mzee ana lugha nyepesi mno kueleweka hata na mtoto aliye chini ya miaka kumi!! Mtu mwenye uwezo wa kuongea lugha rahis namna ile ni rahisi sana ku-manipulate watu na ndio maana leo hii ukienda Pemba, wote lugha yao inafana linapokuja suala la muungano! Na kv eneo lenyewe ni dogo, ni rahisi sana kupanda mbegu uitakayo kila sehemu.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu babalao 2, kwa hakika ikiwa wewe ni mfuasi wa muungano ambae hupendi kuuona ukivunjika, basi usiwe unaangalia au kufuatilia maoni ya wenzetu kutoka visiwani hususani wale CUF... lazima utakasirika tu na kutamka, potelea mbali, kama hivi ndivyo basi na muungano wenyewe uvujike tu!!! Mimi ni mfuasi sugu wa muungano lakini kila ninapowasikiliza naishia kusema "kama mbwai, mbwai tu!"

Juzi nilimisikia Duni Haji kwenye kongamano la Tanzania Tunayoitaka... yule mzee ana lugha nyepesi mno kueleweka hata na mtoto aliye chini ya miaka kumi!! Mtu mwenye uwezo wa kuongea lugha rahis namna ile ni rahisi sana ku-manipulate watu na ndio maana leo hii ukienda Pemba, wote lugha yao inafana linapokuja suala la muungano! Na kv eneo lenyewe ni dogo, ni rahisi sana kupanda mbegu uitakayo kila sehemu.

Mkuu lazima muafaka wa nguvu uwekwe kwenye mfumo wa muungano ili hivi vimaneno vya maudhi viwe kosa la jinai kuvitoa.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu lazima muafaka wa nguvu uwekwe kwenye mfumo wa muungano ili hivi vimaneno vya maudhi viwe kosa la jinai kuvitoa.

Hata hivyo mwandishi kuna kitu haweki wazi. Hicho kitu ni chuki ya wazi dhidi ya Watanganyika. Kwani wametokea wapi katika maandiko yake? Ndiyo walioua? Wanyaturu wamehusikaje na kuuawa wafaransa? Mara polisi wa Mkoloni Tanganyika....

Mimi nadhani wakati mwingine unaweza kushindwa kueleweka kwa sababu tu unashindwa kuwa straight. Kama unaumizwa na mauaji ongelea mauaji! Kama tatizo ni Watanganyika sema tuna tatizo na Watanganyika. Kama una shida na Wanyaturu sema hivyo. Na kama unakerwa na polisi sema ninakerwa na Polisi!

Na kama Muungano ndiyo tatizo tuongee matatizo hayo. Hakuna haja ya kujidai tunaumizwa na mauaji ya Wafaransa halafu mara wantokea Watanganyika na Wanyaturu as if wao ndiyo walioua Zanzibar!
 
Mkuu lazima muafaka wa nguvu uwekwe kwenye mfumo wa muungano ili hivi vimaneno vya maudhi viwe kosa la jinai kuvitoa.
Asikudanganye mtu ndugu yangu, asiyetaka muungano hata ukiweka mfumo gani, hautaki tu!! Huku Bara hatuna itikadi kali kuhusu muungano lakini ZNZ, hususani Pemba, wenzetu muungano wana misimamo mikali!! Kimsingi hata viongozi wao hawautaki muungano sema hawana ule uthubutu wa kusema wazi wazi!
 
Mkuu haya mambo ya muungano yangekua yaananda taratibu lakini kwa hawa viongozi wetu tena tulioawachagua sisi wenyewe kwa ahadi hewa matokeo yake kugeuka mafisadi papaa na kila kiongozi anamshinda mwenzake kwa ulafi wa hali ya juu na ni bora huo muungano upasuki au utatuki hauna maana yoyote kama umasikini upo na ulofa wa kiiza utunao na omba omba nchi za nje za wazungu na kwa wahindi na kwa waaarabu tena ni wale wale ambao tulioyo wapindua kule zanzibar na tuna jisifu na mapinduzi daima kumbe tunachukua kiatu chetu wenyewe na kujipiga nacho usoni na kama maendeleo basi ni omba omba na tutaomba mpaka yesu arudi duniani
 
Walisema eti Nyerere akifa machafuko yatatokea na damu itamwagika, mbona sijasikia hayo. Eti Muungano ukizimia eti tutaangamia, huo ni utovu wa nidhamu. Mbona Azimio la Arusha lilizimia na Kufa puu na hakua liyekufa? Mbona Zanzibar haiku badili jina na badala yake iwe kwa Tanganyika kuwekwa kapuni. Labda neon Tanganyika ni Tusi kwa Dunia
 
kwa mlevi lolote linawezekana na kudhulumu kwake ni kitu kidogo sana kama kunywa maji tu.

Wafaransa waliuliwa na Wazanzibari tena wenyeji wa hapo Matemwe, tena zaidi wenye asili ya Pemba, wapo jela Daressalaam baada ya Serikali ya Muungano pamoja na Serikali ya Ufaransa kulishughulikia swala hilo, la sivyo ingekuwa kama kawaida ya Zanzibar ya eti siku zote kuficha ukweli na kusingizia eti Wabongo au Wabara. Wazanzibari hao Bwana AHMED CHIMEDI na Kaka ya wa kuzaliwa wanamiliki mali nyingi na nyingi wamejipatia kwa unyang'anyi kwa Wageni, wamekuwa wakishirikiana na baadhi ya viongozi walafi wa visiwani kupora vya watu eti kutetea uzalendo na Uzanzibari, mfano hoteli ya NYOTA LODGE ya hapo Matemwe ilipata kesi ya miaka mingi kwani mmiliki wake raia wa Italia hajakubali kirahisi anyang'anywe na huyo huyo Chimedi Mpemba, na nyingine ya Minchamvi Kae nayo pia alijipatia kwa dhulma.

Wafaransa hao walinunua nyumba toka kwake ikiwa hiyo nyumba alishauza kwa mwekezaji mwingine alieondoka kidogo lakini alikuwa anakaribia kurudi.
Wafaransa kweli walimuona kama kijana mwema na kwa uweupe wa Upemba wake alionekana bora zaidi ya wenzake.
Walimpa mkataba wa uridhi kama wazee hao wakija kufa uzeeni basi Ahmed Chimedi angeridhi Hoteli pwani ya Urao inayokaribia kuisha, Nyumba hiyo ya ghorofa beach, magari yao na pesa nyingi na teyari yeye ndie alikuwa anawafanyia shuguli zote za kibenki na manunuzi na kwa alivyokuwa mtu wa kunywa sana pombe alihadisia mara kadhaa kuwa anatia panga la hatari.
Chimedi huyo Rasta maarufu sana mwekundu na mfupi, hakuwalea wazee wake bali aliwauwa kinyama, akishiriakiana na marafiki zake wa karibu, na kupoteza ushahidi kwa kuwazika usiku nyuma ya nyumba, mifuko 20 ya saruji alimimina kwenye kisima.
Zanzibar kumekucha kwa uhalifu wa Wazanzibari wenyewe ila kila baya linalotokea wanawasingizia wabara, na polisi ambao wana bendera ya Tanzania nao pia huwakamata Wabara tu.
 
nchi hii ilitakiwa itawaliwe kijeshi na mganda aliyeikomboa okelo haya matabaka yasingelikuwepo wote tunajua Zanzibar hakuna mzawa Bali ni mazalia ya makabila mengi yaliyoenda kwa shughuli za uvuvi salsa wengi wao ambao ni masalia ya vizazi korofi vya kiarabu ndio wenye fujo.
 
Back
Top Bottom