CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
Mimi
. Naapa kwamba, nitakuwa mwaminifu na mtiifu kwa Jamiiforums na nitaipenda na kuitumia kwa moyo wangu wote hadi pale kifo kitakaponitenganisha na Jamii forums, na hata huko ahera nikiikuta nitaendelea kuitumia.
Hivyo basi mimi , na mbele ya mashahidi wangu . Na naapa kwamba katika muda wa kazi uliopangwa na ofisi/ shule/chuo nitaugawa nusu kwa nusu ili niweze ku-comment na ku-post thread, kupiga umbeya wote unaohitajika na mara nyingine nitapost pumba kwa kwenda mbele. Ee . Nisaidie..
Imesainiwa mbele ya hakimu ..
Hivyo basi mimi , na mbele ya mashahidi wangu . Na naapa kwamba katika muda wa kazi uliopangwa na ofisi/ shule/chuo nitaugawa nusu kwa nusu ili niweze ku-comment na ku-post thread, kupiga umbeya wote unaohitajika na mara nyingine nitapost pumba kwa kwenda mbele. Ee . Nisaidie..
Imesainiwa mbele ya hakimu ..