Ukiwa single unaenjoy sana!!!

Ukiwa single unaenjoy sana!!!

Hauli hela yako na mtu,ni bata tu kwanza sai nashusha kuku wali na juisi.nimeanda msosi hapa najisevia tuh. Sitak demu sitaki mke najipenda tu mwenyewe.sitak stress at this age of 30.
Toka bhana useme tu kwamba wewe unatabia ya ubinafsi na uchoyo.

Ziada: Mpaka umeandika huu uzi hapa inaonyesha uko kwenye sonona ya kukosa demu 😂🙌

Selikavu Warld Edo kissy
 
Hauli hela yako na mtu,ni bata tu kwanza sai nashusha kuku wali na juisi.nimeanda msosi hapa najisevia tuh. Sitak demu sitaki mke najipenda tu mwenyewe.sitak stress at this age of 30.
Rolling Stone kwenye Albam ya "The Way it Is"_ 1999

LuckyDube anasema "They Think Loneliness is freedom"
 
Usingo wa miji mikubwa raha sana ila jaribu kuwa single, njombe, songea, ndio utajua usingo haufai we vuta picha, mfukoni una laki lakin unakosa dem wa kulala nae yaan unambembeleza malaya naenda bar na ka laki mbili kangu na bado nambembeleza barmed nikamle pesa yangu nyege zangu bado nimnunulie bia aisee bora watu wa miji hiyo polen sana uzi za kataa ndoa haziwahusu
Mimi na Warld tunaosoma comment hii kwa furaha sana😂😂
 
Usingo wa miji mikubwa raha sana ila jaribu kuwa single, njombe, songea, ndio utajua usingo haufai we vuta picha, mfukoni una laki lakin unakosa dem wa kulala nae yaan unambembeleza malaya naenda bar na ka laki mbili kangu na bado nambembeleza barmed nikamle pesa yangu nyege zangu bado nimnunulie bia aisee bora watu wa miji hiyo polen sana uzi za kataa ndoa haziwahusu
Kila kitu chako na bado unambembeleza tena anakupa masharti
 
Usingo wa miji mikubwa raha sana ila jaribu kuwa single, njombe, songea, ndio utajua usingo haufai we vuta picha, mfukoni una laki lakin unakosa dem wa kulala nae yaan unambembeleza malaya naenda bar na ka laki mbili kangu na bado nambembeleza barmed nikamle pesa yangu nyege zangu bado nimnunulie bia aisee bora watu wa miji hiyo polen sana uzi za kataa ndoa haziwahusu
Njombe wanawake ni wengi kuliko wanaume unakosaje mwanamke??
 
Back
Top Bottom