Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,956
- 12,419
Toka bhana useme tu kwamba wewe unatabia ya ubinafsi na uchoyo.Hauli hela yako na mtu,ni bata tu kwanza sai nashusha kuku wali na juisi.nimeanda msosi hapa najisevia tuh. Sitak demu sitaki mke najipenda tu mwenyewe.sitak stress at this age of 30.
Ziada: Mpaka umeandika huu uzi hapa inaonyesha uko kwenye sonona ya kukosa demu 😂🙌
Selikavu Warld Edo kissy