Ukiwa muongo usiwe msahaulifu...

Ukiwa muongo usiwe msahaulifu...

msema.kweli

Member
Joined
Sep 3, 2015
Posts
26
Reaction score
64
1442640785657.jpg

Hili ni gazeti la serikali, linaandika uongo mchana kweupe ili iweje???

Magufuli bado hajaenda Chato sasa kaiteka lini?? Mbona mnajitaidi kuwa waongo kiasi hiki nyie waandishi??

Hivi hamuoni kwamba credibility yenu inashuka sana? Tafadhali mkitaka kuwa waongo msiwe wasaulifu.
 
Mwandishi taahira huyu! Yeye anafikri Biharamulo ndo Chato?
 
View attachment 288457

Hili ni gazeti la serikali, linaandika uongo mchana kweupe ili iweje???

Magufuli bado hajaenda Chato sasa kaiteka lini?? Mbona mnajitaidi kuwa waongo kiasi hiki nyie waandishi??

Hivi hamuoni kwamba credibility yenu inashuka sana? Tafadhali mkitaka kuwa waongo msiwe wasaulifu.

Habari ilinichanganya hata mimi
 
Back
Top Bottom