Ukiwa mtu makini sana, huwezi kujihusisha siasa za Tanzania

Ukiwa mtu makini sana, huwezi kujihusisha siasa za Tanzania

MIXOLOGIST

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2016
Posts
14,727
Reaction score
37,028
Sina matatizo na watu makini ambao wapo kwenye siasa hapa nchini, lakini, unapojihusisha na siasa, hakika umakini wako uta hojiwa.

Siasa za Tanzania ni kama zimelaaniwa, waliopo ndani ya siasa hawaamini wanachokisema na kile wanachokiamini hawakisemi

Uchawa umetamalaki, hofu za kupoteza mkate ni kubwa kuliko hofu ya kukosa mbingu, wasomi wamekua majuha na majuha wamekua wasomi

ili kuleta sanity, tunahitaji elimu nyingi ya uraia, watu wafundishwe elimu ya uraia kutoka shule ya checkechea mpaka PhD

Hakuna anajua kutofautisha maslahi ya nchi na ya serikalli, askari wanatetea wahalifu, wahalifu wanawaumiza wazalendo

Machawa wanaheshimika, wazalendo wanahadhirika, mimi nimesema siasa ya Tanzania kwangu ni ugonjwa ambao mganga wake hajazaliwa

Atakaye elewa na eelewe.
 
Uko sahihi,

Tukisema tuache na kuangalia maana yake tumeruhusu wajinga waendelee kuwa viongozi.

Umezungumza vizuri, Elimu ya Uraia itolewe.
Sasa tunategemea huyu mjinga ambaye shida yake ni kutawala kwa maslahi binafsi atoe hii elimu ya uraia?.

Mimi na wewe ambao tunauelewa na kujua haya yote uliyoandika ndio tuanze kutoa hii elimu ya Uraia ili watu wajue umuhimu wa kuongozwa na watu wanaojielewa.
 
Sina matatizo na watu makini ambao wapo kwenye siasa hapa nchini, lakini, unapojihusisha na siasa, hakika umakini wako uta hojiwa.

Siasa za Tanzania ni kama zimelaaniwa, waliopo ndani ya siasa hawaamini wanachokisema na kile wanachokiamini hawakisemi

Uchawa umetamalaki, hofu za kupoteza mkate ni kubwa kuliko hofu ya kukosa mbingu, wasomi wamekua majuha na majuha wamekua wasomi

ili kuleta sanity, tunahitaji elimu nyingi ya uraia, watu wafundishwe elimu ya uraia kutoka shule ya checkechea mpaka PhD

Hakuna anajua kutofautisha maslahi ya nchi na ya serikalli, askari wanatetea wahalifu, wahalifu wanawaumiza wazalendo

Machawa wanaheshimika, wazalendo wanahadhirika, mimi nimesema siasa ya Tanzania kwangu ni ugonjwa ambao mganga wake hajazaliwa

Atakaye elewa na eelewe.
How can I give you elimu ya uraia ili ikishakukaa uje kunisumbua au kuweka ugali wangu mashakani chief
 
Sina matatizo na watu makini ambao wapo kwenye siasa hapa nchini, lakini, unapojihusisha na siasa, hakika umakini wako uta hojiwa.

Siasa za Tanzania ni kama zimelaaniwa, waliopo ndani ya siasa hawaamini wanachokisema na kile wanachokiamini hawakisemi

Uchawa umetamalaki, hofu za kupoteza mkate ni kubwa kuliko hofu ya kukosa mbingu, wasomi wamekua majuha na majuha wamekua wasomi

ili kuleta sanity, tunahitaji elimu nyingi ya uraia, watu wafundishwe elimu ya uraia kutoka shule ya checkechea mpaka PhD

Hakuna anajua kutofautisha maslahi ya nchi na ya serikalli, askari wanatetea wahalifu, wahalifu wanawaumiza wazalendo

Machawa wanaheshimika, wazalendo wanahadhirika, mimi nimesema siasa ya Tanzania kwangu ni ugonjwa ambao mganga wake hajazaliwa

Atakaye elewa na eelewe.
Hata penye ukweli watalazimisha uwe UONGO,penye uongo patalazimishwa uwe ukweli,Aibu!
 
Sina matatizo na watu makini ambao wapo kwenye siasa hapa nchini, lakini, unapojihusisha na siasa, hakika umakini wako uta hojiwa.

Siasa za Tanzania ni kama zimelaaniwa, waliopo ndani ya siasa hawaamini wanachokisema na kile wanachokiamini hawakisemi

Uchawa umetamalaki, hofu za kupoteza mkate ni kubwa kuliko hofu ya kukosa mbingu, wasomi wamekua majuha na majuha wamekua wasomi

ili kuleta sanity, tunahitaji elimu nyingi ya uraia, watu wafundishwe elimu ya uraia kutoka shule ya checkechea mpaka PhD

Hakuna anajua kutofautisha maslahi ya nchi na ya serikalli, askari wanatetea wahalifu, wahalifu wanawaumiza wazalendo

Machawa wanaheshimika, wazalendo wanahadhirika, mimi nimesema siasa ya Tanzania kwangu ni ugonjwa ambao mganga wake hajazaliwa

Atakaye elewa na eelewe.
Wasomi baadala ya kubadilisha fikra baado tu wanaenda kuleee kule
 
Back
Top Bottom