Kuna mgombea huku Vunjo (ana mke na watoto) pamoja na kuletwa na kupigiwa debe na Mama yake kaambulia kura **SIFURI** nilishangaa Sana. 1. Unaendaje ujombani ukaacha kwenda kwenu -upande wa Baba (Upareni).Tabia ya kuamka Usiku na kuzunguka Nyumba na Mazingira ni tabia unayopaswa kujifunza tangu ukiwa na geto sio unakoroma tu hadi Asubuhi unapoteza nafasi kubwa kuja kuwa Mshua Uliyechangamka.
Na nimeenda😜🏃🏃
2. Utabebwa na Mama mpaka lini?