Ukiwa katika mahusiano na baada ya mahusiano

Ukiwa katika mahusiano na baada ya mahusiano

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,905
Reaction score
9,335
Mkiwa kwenye mahusiano bahati mbaya hayakustawi lakini hapo katikati mlipeana vitu/pesa je mahusiano yakiwa yamekufa lazima mdaiane?

Je hii tabia ipo kwa akina dada au akina kaka?.
 
Inategemea na vitu vyenyewe.

Kama ni TECNO, HUAWEI na takataka nyingine za aina hiyo kumdai itakuwa ni nishai.
 
Hata kama ni Gari itategemea na roho ya mtu na uwezo wa mtoaji, wengine wana roho za kitajiri,akitoa ametoa ila kama roho yako ni zile zenye ka-mkunjo au mbonyeo lazima udai kwa nguvu zote.
 
Usiombwe upewe zawadi na mwanamke mkaachana!!! Atakuvizia kwenye sherehe au watu wengi ndo aichukue kwa kukuaibisha!!
Dawa ukiachana nae weka zawadi yake ndani!! Kama ni simu nunua ingine.

Akiitaka mwambie siitumii aje nyumbani akaichukue!! Hapo mtaelewanaAsipokuwa na muda nayo unaweza kuitumia tena au kuitoa zawadi na wewe!!
 
Inategemea na vitu vyenyewe.

Kama ni TECNO, HUAWEI na takataka nyingine za aina hiyo kumdai itakuwa ni nishai.

Duh kumbe simu yangu ni takataka!!!
 
I forgive you,,,,,,, ur status doesnt deserve this sht post,,,,,,, PUNK,
 
Kama ukiamua kumnunulia mwanamke chochote chenye thamani huhitaji kurudisha coz ni aibu, Me Binafsi nikimpa Zawadi mwanamke huwa sikikumbuki tena, coz ni part of love in those days.
 
kama ulimpa usimdai tafadhari,utajiwekea doa ambalo kulifuta haiwezekani maana hatobaki kimya atamsimulia kila anayekujua sasa si shida ingine hiyo
 
kajitolea sana kustawisha penzi na kushtuka lahaulaaaa ameangukia pua......poleyake...,mwite tu aje avichukue,siku mkirudiana atavileta tena....
 
Ni ulugaluga wa hali ya juu kudai chochote...... unless kama ulimkopesha/muazima
 
kwahiyo na yeye akianza kukudai mautamu yake unafanyaje......

basi ukiwa unampa unamwambia kabisa ikitokea tunaachana basi urudishe vitu vyangu vyote......
 
Kosa unaloweza kufanya mwanaume ni kuachana Na mwanamke Kwa ugomvi kwani hujui atakayekufuatia atakuwa ni boss wako ajaye. Ukitoa Zawadi jua hiyo imetoka.
 
Back
Top Bottom