ukiwa home aka nyumbani!!!

ukiwa home aka nyumbani!!!

hivi niambie ukiwa home panaboa au panaudhi au panavutia au panachosha au pakoje. Kwetu sisi vyote vinatokea kwa mida tofauti tofauti.

vitu hivyo avitokei kukia na umeme lakini usipokuwepo umeme panaboa sana.
 
bora BAR kuliko nyumbani.
POPOBAWA.
 
Inategemea nyumba yako ina muonekano gani,
Kama ni safi ,inavutia ,mapambo yamekaa kimpangilio
Miundo mbinu ya home kama TV ,Radio, Laptop or Simu iliyo connected na mtandao
inayokufanya usikosekane JF na kwingineno
hewa ya kutosha ,pasafi ...Utatamani usiondoke ndani tusker or serengeti serengeti kwenye fridge
Ukiingia Room kama ndo kusafi kitandani kinavutia kujilaza ..
Hutaboreka hata kidogo,

hayo maneno bibie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom