Ukiwa chuo, tegemea yafuatayo

Ukiwa chuo, tegemea yafuatayo

Nikiwa first year nilipangwa na jamaa flani wawili mwaka wa 3 kukaa sawa kumbe ni Waislamu wa swala sasa sijui ndio 5, basi wakaleta masharti ya kutosegelea eneo la kuswalia na ukichunguza lile eneo ndio dirishani na kuna socket na huduma nyingine na nikitaka kukaa mezani nijisomee lazima nitapita hapo kwa kusalia basi kwa muda nilivumilia lakini baada ya miezi nikawatolea uvivu na risala ndefu mbona walinyooka, yaani room unaishi kama uko jela, Walitia adabu
 
Tililikeni wadau...jinsi " how your university life was ,,during your stay at university???
 
UKIWA CHUO TEGEMEA YAFUATAYO

1. Kupata room mate ambaye hamuendani itikadi

2. Kupata demu/msela mpya na kumsahau uliemuacha nyumbani &[HASHTAG]#128108[/HASHTAG]; &[HASHTAG]#128108[/HASHTAG];

3. Kuwaza kuwa na smartphone kali, tofauti na ki-tecno chako

4. Kupiga pasi ndefu (kula milo chini ya mitatu kwa siku)

5. Kuamini kuwa tv na sabufa ndio maendeleo katika maisha yako

6. Kununua nguo unazoamini ziko kichuo chuo na kutelekeza ulizo kuja nazo kutoka nyumbani

7. Kuongeza mapenzi kwa girlfriend au boyfriend boom linapokata &[HASHTAG]#128184[/HASHTAG];&[HASHTAG]#128183[/HASHTAG];

8. Kumlaza room mate wako nje boyfriend/girlfriend wako nje usiku wote bila kujali

9. Kuishi kwenye ndoa zisizo rasmi (sogea tukae)

10. Kubeba ujauzito kwa matarajio ya kulinda penzi (wakati chuo kina karibia kumalizika). Kupata shahada mbili

MSAIDIE ANAENDA KUANZA CHUO.
Hayo yapo kwenye vyuo vyenu vya kata tu. Hutayakuta kwenye vyuo responsible such as MUM
 
Back
Top Bottom