chuo unapangiwa na wakukaa nae na hujipangii wewe,hata ukipangiwa shoga ndio utakaa nae mwaka nzima na atakua msela wako pia,
Ukipangiwa nae c unajitia uchizi 2
hhahahaaa
tv na subufa ndo maendeleo mkuu umetisha
Inaonyesha hujaelewa ubishi unaozungumzwa hapa....
Lakini kuna wagumu anakula buku mchana(Rb) na buku jioni vocha ya jero jumla 2500 anasave 5000. Mtu anajipimia adi maji ya kunywa ili yasiishe.karibuni sana katika maisha ya buku saba jero... ukiwa na papara na hiyo hela utaishia kupiga pasi ndefu kila siku...