excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,861
Lakini kuna wagumu anakula buku mchana(Rb) na buku jioni vocha ya jero jumla 2500 anasave 5000. Mtu anajipimia adi maji ya kunywa ili yasiishe.
halafu baada ya hapo hiyo pesa aliyokomaa kuitenga unakuta anamalizia kwenye mambo ya starehe na manunuzi ya vitu visivyokuwa na maana kiuchumi...
Wana vyuo ndivyo tulivyo! tunafahamiana kwa vilemba!